Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake- Sophia
SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.
“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies24 Apr
“Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake”
SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.
“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...
10 years ago
Dewji Blog07 Oct
Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar
Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.
Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.
Wapendanao nao walikuwepo.
Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.
![IMG_0396](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0396.jpg)
Shampeni ikigawiwa.
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s72-c/sophia%2B13.jpg)
SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK
![](http://2.bp.blogspot.com/-koSx2at3t04/VI2TDM3T8WI/AAAAAAADR2E/vktVFfVYnmc/s1600/sophia%2B13.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-T5vYBUU3jYg/VI2RNI_v_lI/AAAAAAADR1g/sSt0i6hrnrE/s1600/sophia%2B8.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-9rbzP8ky3oI/VI2RKOXbR3I/AAAAAAADR0o/iMKNfs4y4WU/s1600/Sophia%2B1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-h79jAC2F-rg/VI2RKA84GgI/AAAAAAADR0g/7y8ih5Zfohg/s1600/Sophia%2B11.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-n3c_XxNcb2o/VI2RKvnJb-I/AAAAAAADR08/IISJRVPCkQ4/s1600/Sophia.jpg)
10 years ago
GPLMDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR
9 years ago
Mtanzania06 Jan
Uwoya hapendi kuweka wazi mambo yake
NA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM
MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine.
Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii.
Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii kama wanavyofanya baadhi ya wasanii.
“Ukweli ni kwamba, sipendi kuweka...
10 years ago
Bongo Movies06 May
Uwoya Kuyaanika Maisha Yake Hivi Karibuni
Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.
Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.
“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Irene Uwoya Njia Panda Kuachia Filamu Yake!
Muigizaji wa filamu, Irene Uwoya amedai kuwa yupo njia panda kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’ kutokana na gharama iliyotumika kuiandaa.
Irene amedai kuwa akipata mnunuzi atakayefika bei ya filamu hiyo ataizua na asipopata atakaa nayo hadi soko litakapokaa vyema.
“Bado sijaamua nini cha kufanya,” amesema. “Gharama zangu nilizozitumia ni kubwa sana. Hili kuhusu bei imenitatiza lakini sasa tutaangalia kwa upande wangu akijitokeza mtu wa kuinunua nitamuuzia. Lakini ikishindikana basi...
10 years ago
Bongo Movies21 Feb
PICHA: Uwoya aonyesha Tatoo yake ili watu waisome?
Vijimambo: Picha hii ya mrembo na mwigizaji wa filamu anaezimikiwa na mashabiki wengi, Irene Uwoya imewaacha midomo wazi mashabiki wake huku wakiwa na alamaza kujiuliza vichwani mwao.
Irene aliibandika picha hii mtandaoni bila kuandika kitu chochote kwahiyo ikawa kawa amewaachia fursa mashabiki wake watiririke.
Mbali na watu kusifia uzuri wake kwa ujumla, watu wengi walijikita kwenye tattoo yake ambayo amejichora juu ya kifua, karivu kabisa na shingo yake.
Wengi walijiongeza kuwa...
10 years ago
Bongo Movies18 Dec
VIJIMAMBO:Uwoya Amwagiwa Ndoo Nzima ya Maji -Siku Yake Yakuzaliwa
Leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya katika hali asiyoitalajia alijikuta akimwagiwa ndoo mzima ya maji ya baridi jana usiku huku akiimbiwa wimbo wa “Happy Birhday”.
Ndoo hiyo ya maji alimwagiwa na mwigizaji mwenzake Kajala nakushangiliwa na wenzake akiwemo Wolper.
Leo Uwoya aliandika bandiko hili mtandaoni
“Yani sina chakusema mlicho nifanya janaaa!asanteni sana nawapenda wote ila Kajala maji yalikuwa ya baridiii” Kisha akaweka kipande kifupi cha video cha...