Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake- Sophia

SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.

“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

“Ninamkubali Uwoya kwa Sanaa Yake”

SOPHIA Mohamed mwigizaji wa kike kutoka Bongo Movie anafunguka kuwa anamkubali sana mwigizaji wa kike Irene Uwoya kwa uigizaji wake siyo kwa sababu anafananishwa naye katika muonekano na uigizaji wake, na anafurahia kufanishwa na msanii mwigizaji mahiri na mwenye uwezo.

“Namkubali sana Irene Uwoya siyo kwa sababu nafananishwa naye hapana bali namkubali sana Irene Uwoya kwa ajili ya uigizaji wake katika kuvaa uhalisia na ndio nafananishwa naye nikiigiza wengi wanaona kama Irene inatia...

 

10 years ago

Dewji Blog

Sophia Nyagasha aadhimisha siku yake ya kuzaliwa Jijini Dar

Mwishoni mwa wiki iliyopita ilikuwa ni sherehe ya kuazimisha siku ya kuzaliwa Oktoba 4, 2014 kwa mwanadada Sophia Nyagasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge iliyopo jijini Dar.

Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.

Wapendanao nao walikuwepo.

Ilikuwa ni furaha maana wafanyakazi wa Airtel Tanzania walipokutana pamoja kumpongeza mwenzao.

IMG_0396

Shampeni ikigawiwa.

 

10 years ago

Vijimambo

SOPHIA ASHEREHEKEA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWENYE MGAHAWA WA SAPHIRE NEW YORK

Sophia mkazi wa DMV akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 aliposherehekea siku yake ya kuzaliwa ndani ya jiji la wasiolala.Sophia(kulia) akiwa na ndugu zake siku ya Jumamosi Desemba 13, 2014 alipokua jiji la wasiolala kusherehekea siku yake ya kuzaliwa.Sophia akiwa ndani ya mgahawa wa Saphire uliopo Harlem, Lenox New York akisherehekea siku yake ya kuzaliwa.  Sophia akipata picha ya pamoja na BahiaKutoka kushoto ni Issa, Farida,...

 

10 years ago

GPL

MDAU SOPHIA NYANGASHA AADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA JIJINI DAR

Mwishoni mwa wiki iliyopita, Oktoba 4, 2014 ilikuwa ni sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa  kwa mwanadada Sophia Nyangasha ambaye ni mfanyakazi wa Airtel Tanzania (Kulia mwenye nguo nyeupe) ambapo hafla hiyo fupi iliweza kufana ndani ya Kiota cha Maraha cha High Spirit Lounge jijini Dar. Shangwe za marafiki katika hafla hiyo.…

 

9 years ago

Mtanzania

Uwoya hapendi kuweka wazi mambo yake

 

uwoyaNA THERESIA GASPER, DAR ES SALAAM

MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine.

Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii.

Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye mitandao ya kijamii kama wanavyofanya baadhi ya wasanii.

“Ukweli ni kwamba, sipendi kuweka...

 

10 years ago

Bongo Movies

Uwoya Kuyaanika Maisha Yake Hivi Karibuni

Staa wa Bongo Movies, Irene Uwoya amesema anajiandaa kuweka wazi historia yake ya maisha maana kuna watu wanapotosha mashabiki wake kwa taarifa za uongo ambazo hazina uhusiano na maisha yake halisi.

Uwoya amesema atafanya hivyo kwa kuwa anataka mashabiki wake waelewe maisha yake halisi na wawapuuze wanaompakazia kwa historia za ajabu zenye lengo la kumchafua na kumrudisha nyuma katika kazi zake na uhusiano wake wa kimapenzi.

“Nitayaanika maisha yangu halisi ili wote wanielewe vema na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Irene Uwoya Njia Panda Kuachia Filamu Yake!

Muigizaji wa filamu, Irene Uwoya amedai kuwa yupo njia panda kuachia filamu yake mpya iitwayo ‘Kisoda’ kutokana na gharama iliyotumika kuiandaa.

Irene amedai kuwa akipata mnunuzi atakayefika bei ya filamu hiyo ataizua na asipopata atakaa nayo hadi soko litakapokaa vyema.

“Bado sijaamua nini cha kufanya,” amesema. “Gharama zangu nilizozitumia ni kubwa sana. Hili kuhusu bei imenitatiza lakini sasa tutaangalia kwa upande wangu akijitokeza mtu wa kuinunua nitamuuzia. Lakini ikishindikana basi...

 

10 years ago

Bongo Movies

PICHA: Uwoya aonyesha Tatoo yake ili watu waisome?

Vijimambo: Picha hii ya mrembo na mwigizaji  wa filamu anaezimikiwa na mashabiki wengi, Irene Uwoya imewaacha midomo wazi mashabiki wake huku wakiwa na alamaza kujiuliza vichwani mwao.

Irene aliibandika picha hii  mtandaoni bila kuandika kitu chochote kwahiyo ikawa kawa amewaachia fursa mashabiki wake watiririke.

Mbali na watu kusifia uzuri wake kwa ujumla, watu wengi walijikita kwenye tattoo yake ambayo amejichora juu ya kifua, karivu kabisa na shingo yake.

Wengi walijiongeza kuwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

VIJIMAMBO:Uwoya Amwagiwa Ndoo Nzima ya Maji -Siku Yake Yakuzaliwa

Leo ikiwa ni siku ya kuzaliwa ya mwigizaji wa filamu, Irene Uwoya katika hali asiyoitalajia alijikuta akimwagiwa ndoo mzima ya maji ya baridi  jana usiku huku akiimbiwa wimbo wa “Happy Birhday”.

Ndoo hiyo ya maji alimwagiwa na mwigizaji mwenzake Kajala nakushangiliwa na wenzake akiwemo Wolper.

Leo Uwoya aliandika bandiko hili mtandaoni

“Yani sina chakusema mlicho nifanya janaaa!asanteni sana nawapenda wote ila Kajala maji yalikuwa ya baridiii”  Kisha akaweka kipande kifupi cha video cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani