Msanii wa Komedy wa Nigeria awasifu wasanii wa Tanzania
![](http://2.bp.blogspot.com/-RQYLfxuq9zI/VHg6tZkjMTI/AAAAAAACvh4/Td7Qm1ZyjDY/s72-c/BasketMouth.jpg)
MSANII wa vichekesho (komedy) kutoka Nigeria,Okopcha Bright Onyekere maarufu kama Basket Mouth amewasifu wasanii wa Tanzania kwa juhudi wanazofanya kuelimisha jamii kutumia vipaji vyao.
Akizungumza Dar es Salaam jana baada ya kuwasili kutoka Nigeria kwa ajili ya onesho maalum kushirikiana na wasanii wa Tanzania juzi Dar es Salaam alisema kutoka aanze sanaa ya vichekesho miaka 16 iliyopita amekuwa akipata sifa za wasanii wa Tanzania wakiwika katika fani za muziki, sanaa za filamu, ...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo509 Oct
Msanii wa Nigeria Runtown awataja wasanii wawili wa Tanzania anaowakubali zaidi
9 years ago
Bongo501 Dec
Msanii wa Nigeria Burna Boy aponda mfumo wa muziki wa Nigeria, adai umejaa siasa
![Burna-Boy](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Burna-Boy-300x194.jpg)
Muimbaji wa Dancehall kutoka Nigeria, Burna Boy ameponda mfumo wa muziki wa Nigeria na kudai kuwa umejaa siasa ndio sababu hapati tuzo nyingi anazostahili.
Akizungumza na jarida la Fader, Burna amesema kutokana na hayo anajiona kama yeye si sehemu ya muziki wa Nigeria kwasababu kuna baadhi ya watu walioutawala muziki huo wasiompenda.
“Kusema kweli ni siasa tupu, sijioni kama ni sehemu ya kiwanda cha muziki, angalia tuzo, sipati tuzo kwasababu wanaoutawala hawanipendi, mimi sio kama...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s72-c/1.jpg)
Msanii Davido kutoka nchini Nigeria kutumbuiza jukwaa moja na msanii T.I kutoka nchini Marekani tamasha la Fiesta 2014.
![](http://3.bp.blogspot.com/-9S3V-Rv7R90/VEJ2_t-r1nI/AAAAAAAGrdA/_yogDFqZLPM/s1600/1.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-rIH0WR7WlvY/VEJ3RwGPZGI/AAAAAAAGrdI/URaG4XbjidI/s1600/3.jpg)
9 years ago
Mtanzania14 Dec
Wasanii watunukiwa tuzo Siku ya Msanii
NA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
WASANII wanne wa sanaa mbalimbali nchini juzi wametunukiwa tuzo maalumu katika usiku wa tuzo za wasanii zilizofanyika katika ukumbi wa Nyumba ya Sanaa, Posta Dar es Salaam.
Tuzo hizo zilitolewa na Katibu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Michezo na Wasanii, Elisante Gabriel, huku ikihudhuriwa na wasanii mbalimbali.
Tuzo ya kwanza ya heshima ya sanaa za maonyesho ilikwenda kwa mwigizaji mkongwe nchini ambaye michezo yake ilikuwa ikisikika kwenye redio Tanzania...
9 years ago
Bongo509 Nov
Wasanii watakiwa kushiriki kwenye maadhimisho ya ‘Msanii Day’ mwezi ujao
![wasanii](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/wasanii-300x194.jpg)
Wasanii nchini wametakiwa kuwa mstari wa mbele kuhamasika na kushiriki kikamilifu kwenye maazimisho ya Siku ya Msanii maarufu kama Msanii Day ambayo yanatazamiwa kufanyika mwezi Desemba mwaka huu wa 2015 jijini Dar es Salaam na maeneo mbalimbali nchini.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti kwenye programu maalum ya kujadili ushiriki wa wasanii kwenye siku hii muhimu kwao marais wa mashirikisho ya wasanii nchini walisema kwamba wakati umefika kwa wasanii wote nchini kuamka na kuwa mstari wa...
10 years ago
BBCSwahili13 Apr
Sophia Mwasikili awasifu wenzake
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s72-c/download.jpg)
wasanii kutoka Marekani wawasili nchini kuendesha mafunzo kwa wasanii wa tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-_aEVNIHNAJ8/U8FW1jeuMBI/AAAAAAAF1kQ/KEWVytqu31U/s1600/download.jpg)
11 years ago
Dewji Blog29 Jul
Msanii wa Bongo Movie Ester Kiama afuturisha wasanii wenzake jijini Dar
![](http://2.bp.blogspot.com/-q1HH4vkWT4U/U9ZNcUvbU0I/AAAAAAAA-No/7fkpptgDKos/s1600/IMG_2932.jpg)
Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama leo alifuturisha wasanii, ndugu,jamaa na marafiki zake ikiwa ni ishara ya kumkumbuka marehemu mama yake mzazi ambaye alishatangulia mbele ya haki. Akitoa shukrani zake kwa waalikwa, alisema ameona vyema kuandaa chakula cha pamoja ili waweze kumuenzi mama yao mzazi kwa vile alipenda sana watu hasa kukutana na kupata chakula pamoja.
![](http://4.bp.blogspot.com/-siRZUwT185A/U9ZNfzoILhI/AAAAAAAA-N4/fQ7ALu1IESw/s1600/IMG_2936.jpg)
Msanii chupukizi wa Bongo Movie, Ester Kiama akiendelea kutoa shukrani zake za pekee.
Mjomba wa Msanii...
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-jRA7S6PYTiA/VmZkGOMA4wI/AAAAAAAAX70/JwwAbvSHKxE/s72-c/IMG_0013%2B%25281024x683%2529.jpg)
RC KILIMANJARO AWASIFU WAANDAAJI WA BONANZA LA MADESHO DAY
![](http://4.bp.blogspot.com/-jRA7S6PYTiA/VmZkGOMA4wI/AAAAAAAAX70/JwwAbvSHKxE/s640/IMG_0013%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-_BRzwhzPaAc/VmZlbxBY7MI/AAAAAAAAX_4/ASsJV_UzR-Y/s640/IMG_9958%2B%25281024x683%2529%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-8KxdXTjp8MY/VmZkmUX2MZI/AAAAAAAAX9Y/KeS3VQCh7GQ/s640/IMG_0052%2B%25281024x683%2529%2B%25281024x683%2529.jpg)