Spika Makinda ulitaka afe nani?
KATIKA Biblia takatifu, kitabu cha Mhubiri 3:1-2 kinasema kila jambo lina majira yake, wakati kwa kila kusudi chini ya mbingu, wakati wa kuzaliwa na wakati wa kufa. Nimelazimika kulijadili andiko...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
10 years ago
Tanzania Daima10 Nov
Mawaziri wamtosa Spika Makinda
BAADHI ya Mawaziri na Manaibu wao, wamekacha kuhudhuria hafla maalum ya kumpongeza Spika wa Bunge la Muungano, Anne Makinda, ambaye hivi karibuni alichaguliwa kwa kishindo kuwa Rais wa Bunge SADC...
10 years ago
Mwananchi24 Jan
Spika Anna Makinda achachamaa
Spika wa Bunge, Anne Makinda amezitaka kamati tatu za Bunge ambazo wenyeviti wake walitakiwa kuwajibika kutokana na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow, kufanya uchaguzi wa wenyeviti wengine kabla ya kuanza kwa Mkutano wa 18 wa Bunge, Januari 27 mwaka huu mjini Dodoma.
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
Anne Semamba Makinda alizaliwa Julai 26,1949 mkoani Njombe, zamani sehemu ya Iringa (atafikisha miaka 66, Julai mwaka huu).
11 years ago
Mwananchi17 May
Kambi ya upinzani yamshukia Spika Anne Makinda
Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni, imesema kauli ya kuudhi iliyotolewa bungeni juzi jioni na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), Frederick Werema imekuzwa na kuyumba kwa Kiti cha Spika.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s72-c/IMG_20150427_104647.jpg)
Spika Anne Makinda ziarani nchina China
![](http://2.bp.blogspot.com/-YK97hPq8ReE/VT4V5j8p4RI/AAAAAAAHTd4/zk5Z1s-I_mU/s1600/IMG_20150427_104647.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-MIQkBdoHvqA/VT4WAJHHSZI/AAAAAAAHTeA/YK2hdSFavw8/s1600/IMG_20150427_112753.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-LhAZh_wmxa4/VT4WEVFT1DI/AAAAAAAHTeI/bul2RHOibUg/s1600/IMG_20150427_120550.jpg)
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Mwigulu Nchemba amwonya Spika Anne Makinda
>Naibu Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mwigulu Nchemba, amemwonya Spika wa Bunge, Anne Makinda kuacha kutumia vibaya fedha za Serikali kwa kuwapa posho wabunge kwa ajili ya kwenda kwenye michezo nje ya nchi.
11 years ago
Mwananchi22 Dec
Spika Makinda awashauri mawaziri kuwabana watendaji
>Muda mfupi kabla ya kuahirisha Bunge jana, Spika Anne Makinda amesema moto uliotokea kwenye kikao hicho, ndivyo itakavyokuwa katika siku zijazo wakati wa kujadili taarifa za kamati .
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania
Magazeti ya Leo
Zinazosomwa Sasa
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10