Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SSEBO AJIUNGA EFM

Dennis Busulwa a.k.a Ssebo. Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya Efm ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini. Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mtangazaji wa efm dennis ssebo hatimaye ajiunga na twitter

Mtangazaji mkongwe wa radio anaesikika siku hizi kupitia radio EFM 93.7, Dennis Ssebo (pichani), hatimaye amejiunga na mtandao wa kijamii  wa twitter, baada ya miaka yote kuweka msimamo wa kutojihushisha na mitandao ya kijami kwa kuwa alikua haoni faida zake.
Alipo ulizwa na Globu ya Jamii  kwanini ameamua kujiunga, Ssebo alijibu, "Radio yangu ya EFM na hususani Manager wa Radio, Bwana Geoffrey Ndawula amenifungua macho juu ya faida za twitter, 
"Hata hivyo najiunga na twitter tu. Sintojiunga...

 

11 years ago

Dewji Blog

SSebo ajiunga E fm

D4S_3487

Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo (pichani)amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini.

Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji kutokana na staili na vituko vyake awapo hewani. 

“Mashabiki wangu watarajie...

 

11 years ago

BBCSwahili

Curbishley ajiunga na Fulham

Alan Curbishley, ameteuliwa kuwa mkurugenzi wa kiufundi wa timu ya Fulham

 

10 years ago

BBCSwahili

Obama ajiunga na Twitter

Rais wa Marekani Barack Obama amejiunga na mtandao wa twitter, ikulu ya White House imethibitisha.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Mfadhili Chadema ajiunga ACT

MFADHILI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Jimbo la Musoma Mjini, Dk. Eliud Tongola, amejiengua chama hicho na kujiunga na ACT-Wazalendo.

Kwa mujibu wa taarifa kwa vyombo vya habari iliyotolewa jana na ACT –Wazalendo, chama hicho kimekiri Dk. Tongola kujiunga nacho.

Kwa takriban miaka minne alikuwa akilipia pango la ofisi za Chadema jimboni humo.

Dk. Tongola alisema kilichomtoa Chadema ni kuona viongozi wakiwa na wagombea wao mfukoni.

Alisema mchakato wa kuchukua...

 

11 years ago

BBCSwahili

Diego Costa ajiunga na Chelsea

Mshambulizi wa Atletico Madrid,Diego Costa hatimaye amejiunga na Chelsea kwa miaka 5 ijayo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama hatimaye ajiunga na Facebook

Rais wa Marekani Barack Obama hatimaye amejiunga na Facebook, na ujumbe wake wa kwanza umekuwa ni wa kuhimiza watu kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

 

10 years ago

Mwananchi

Mjumbe wa CCM ‘ajiunga’ Ukawa

>Jana ilikuwa kama sinema pale viongozi wa Kamati Namba Moja ya Bunge Maalumu walipojikuta wakibishana na mjumbe wao mbele ya waandishi wa habari, huku siri za mambo ya ndani ya vikao zikianikwa hadharani.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani