Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Obama ajiunga na Twitter

Rais wa Marekani Barack Obama amejiunga na mtandao wa twitter, ikulu ya White House imethibitisha.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

mtangazaji wa efm dennis ssebo hatimaye ajiunga na twitter

Mtangazaji mkongwe wa radio anaesikika siku hizi kupitia radio EFM 93.7, Dennis Ssebo (pichani), hatimaye amejiunga na mtandao wa kijamii  wa twitter, baada ya miaka yote kuweka msimamo wa kutojihushisha na mitandao ya kijami kwa kuwa alikua haoni faida zake.
Alipo ulizwa na Globu ya Jamii  kwanini ameamua kujiunga, Ssebo alijibu, "Radio yangu ya EFM na hususani Manager wa Radio, Bwana Geoffrey Ndawula amenifungua macho juu ya faida za twitter, 
"Hata hivyo najiunga na twitter tu. Sintojiunga...

 

9 years ago

BBCSwahili

Obama hatimaye ajiunga na Facebook

Rais wa Marekani Barack Obama hatimaye amejiunga na Facebook, na ujumbe wake wa kwanza umekuwa ni wa kuhimiza watu kuchukua hatua kukabiliana na mabadiliko ya tabia nchi.

 

10 years ago

BBC

Twitter row over Kenya's Obama grass

Nairobi's governor denies hiring grass to impress President Obama as a video emerges appearing to show plants being dug up after his visit to Kenya.

 

10 years ago

Africanjam.Com

BARACK OBAMA AKABIDHIWA RASMI ACCOUNT YA TWITTER

Ni miaka sita imepita tangu Rais Obama amekabidhiwa Ikulu ya White House na kuwa Rais wa nchi hiyo.. labda umewahi kuona Tweets kwenye account ya Obama, lakini kumbe tweets hizo hata hakuhusika kuandika!!Sasa Obama amekabidhiwa rasmi kuendesha ukurasa wake mpya wa Twitter yeye mwenyewe.
Idadi ya followers alionao ni Mil. 1.99 mpaka sasa hivi ambapo ni siku mbili tangu ifunguliwe na kila wakati idadi ya followers inaongezeka kwa sababu watu wengi wanaendelea kumfollow  baada ya kufikiwa na hii...

 

5 years ago

Quartz

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts

Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts  QuartzRepublican mega-donor buys stake in Twitter and seeks to oust Jack Dorsey – report  The GuardianNew Twitter Investor May Remove Bitcoin Advocate Jack Dorsey as CEO - CoinDesk  CoinDeskElliott looks to remove Jack Dorsey as Twitter chief executive  Financial TimesJack Dorsey: Billionaire Investor ‘Wants to Oust Twitter CEO’ Over His Planned Move to Africa  Sputnik InternationalView Full coverage on Google...

 

10 years ago

BBCSwahili

Unamfahamu dadake rais Obama,Auma Obama?

Je ulimwona rais Obama akimkumbatia mwanamke aliyekuwa mwisho kabisa katika foleni ya wale waliomkaribisha Kenya ijumaa usiku

 

10 years ago

Bongo5

Ujio wa Obama nchini Kenya waacha historia, watoto waliozaliwa siku aliyowasili waitwa Barack Obama na wengine ‘AirForceOne’

Ujio wa Rais wa Marekani, Barack Obama umeacha historia ya mambo mengi kwa wananchi wa Kenya. Baadhi ya wazazi wa watoto waliozaliwa siku ambayo Obama alitua nchini Kenya Ijumaa ya July 24, wamewapa watoto wao majina yanayohusiana na Rais huyo. Mzazi mmoja aliyejifungua mtoto wa kiume siku hiyo aliamua kumpa mtoto wake jina la Rais […]

 

11 years ago

Dewji Blog

SSebo ajiunga E fm

D4S_3487

Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo (pichani)amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini.

Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji kutokana na staili na vituko vyake awapo hewani. 

“Mashabiki wangu watarajie...

 

11 years ago

GPL

SSEBO AJIUNGA EFM

Dennis Busulwa a.k.a Ssebo. Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo amejiunga na Radio ya Efm ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini. Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani