mtangazaji wa efm dennis ssebo hatimaye ajiunga na twitter
![](http://3.bp.blogspot.com/-q2ZVjwUXDcU/VHD5TCZY1XI/AAAAAAAGy9U/gBHqngyjycA/s72-c/images.jpg)
Mtangazaji mkongwe wa radio anaesikika siku hizi kupitia radio EFM 93.7, Dennis Ssebo (pichani), hatimaye amejiunga na mtandao wa kijamii wa twitter, baada ya miaka yote kuweka msimamo wa kutojihushisha na mitandao ya kijami kwa kuwa alikua haoni faida zake.
Alipo ulizwa na Globu ya Jamii kwanini ameamua kujiunga, Ssebo alijibu, "Radio yangu ya EFM na hususani Manager wa Radio, Bwana Geoffrey Ndawula amenifungua macho juu ya faida za twitter,
"Hata hivyo najiunga na twitter tu. Sintojiunga...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EiPRnn58uVn-cmGD*dXiNzX5XG2J1yPRszAwOpz8MXB0-maWR-*TpMKNtzPgixefUVY8lOpEg6jFMOr-*t8rZVcUWj4-XD0g/Ssebo.jpg?width=650)
SSEBO AJIUNGA EFM
11 years ago
Dewji Blog29 Jun
SSebo ajiunga E fm
Mtangazaji maarufu nchini wa vipindi vya Radio na Television Dennis Busulwa a.k.a Ssebo (pichani)amejiunga na Radio ya E FM ambayo imekwishajizolea umaarufu mkubwa jijini Dsm kwa kipindi kifupi tu kutokana na staili yake tofauti ya urushaji matangazo nchini.
Ssebo mwenye uzoefu wa zaidi ya miaka mitano kwenye vituo mbalimbali vya Radio na TV amejizolea sifa na mashabiki lukuki katika tasnia hii ya utangazaji kutokana na staili na vituko vyake awapo hewani.
“Mashabiki wangu watarajie...
10 years ago
BBCSwahili19 May
Obama ajiunga na Twitter
9 years ago
BBCSwahili10 Nov
Obama hatimaye ajiunga na Facebook
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-RYQDG0rAs64/VbeNWUcc2rI/AAAAAAABS28/TIU8qjpJkrw/s72-c/10562711_10204074093922128_6179217914902152704_o.jpg)
HATIMAYE EDWARD LOWASSA AJIUNGA RASMI CHADEMA NA AKABIDHIWA KADI
![](http://1.bp.blogspot.com/-RYQDG0rAs64/VbeNWUcc2rI/AAAAAAABS28/TIU8qjpJkrw/s640/10562711_10204074093922128_6179217914902152704_o.jpg)
Lowassa: Namshukuru mke wangu Regina, wanangu na wanafamilia katika kipindi hiki kigumu kilichojitokeza.Lowassa: Nawashukuru wanaCCM waliojitokeza kuniunga mkono wakati nikitafuta wadhamini.
Lowassa: Kilichotokea Dodoma, ni kupora madarakani ya kamati kuu, waswahili wanasema kubaka madaraka.Lowassa: Chuki na roho mbaya zilitawala licha ya mimi kuwa mgombea mwenye ushawishi na...
5 years ago
Quartz01 Mar
Elliott Management to oust Twitter CEO Jack Dorsey? Twitter reacts
9 years ago
Michuzi02 Dec
9 years ago
Mtanzania24 Aug
Dennis akomba milioni 50/- za TMT
UKILALA masikini unaamka tajiri, ndivyo ilivyokuwa kwa mwigizaji chipukizi, Denis Lwasai, aliyewahi kufanyakazi na marehemu Steven Kanumba, baada ya usiku wa kuamkia jana kuibuka na kitita cha shilingi milioni 50 alizopata baada ya kuibuka mshindi katika shindano la Tanzania Movie Talent (TMT).
Katika shindano hilo, washiriki 10 waliingia fainali na kisha kuchezeshwa wawili wawili katika igizo lililokuwa likionyesha unyenyekevu wakati wa kuomba kazi. Hata hivyo, washiriki wote 10 wataigiza...
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/72776000/jpg/_72776989_lota.jpg)
Zambia mourns Dennis Lota