Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SSRA YAZINDUA KANUNI MPYA ZA KUHUISHA MAFAO YA PENSHENI

Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma juzi kuhusu mabadiliko ya Kanuni za Kuhuisha Mafao ya Pensheni kwa Mifuko ya  Hifadhi ya Jamii ya kuwa na aina moja kwa wastaafu.Katikati ni Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Juma Muhimbi na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo, Irene Isaka.Ofisa Mtendaji Mkuu wa  Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Irene Isaka...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

SSRA yazidua kanuni mpya za kuhuisha mafao ya pensheni

A

Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma juzi kuhusu mabadiliko ya Kanuni za Kuhuisha Mafao ya Pensheni kwa Mifuko ya  Hifadhi ya Jamii ya kuwa na aina moja kwa wastaafu.Katikati ni Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Juma Muhimbi na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo, Irene Isaka.

E

Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.

B

Ofisa Mtendaji Mkuu...

 

10 years ago

Habarileo

SSRA yafafanua kanuni za mafao

MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) imesema kanuni mpya za uainishaji wa mafao ya pensheni kwa wanaostaafu kwa hiari, una lengo la kulinda na kutetea maslahi ya wanachama.

 

10 years ago

Michuzi

SSRA yatoa ufafanuzi kuhusu Kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu

Mkuu wa Kitengo na Uhusiano na Uhamasishaji cha Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Sarah Kibonde, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo, wakati mamlaka hiyo, ilipokuwa ikitoa ufafanuzi kuhusu kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu. Kulia ni Ofisa Mwandamizi Tafiti, Tathmini na Sera wa SSRA, Joseph Mutashubilwa.  Mkurugenzi wa Sheria wa Mamlaka ya Udhibiti na Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), Ngabo Ibrahim, akifafanua jambo kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Kanuni mpya za kukokotoa mafao

SERIKALI imetangaza kanuni mpya, mbazo zinatoa viwango sawa vya vikokotoa kwa mifuko yote ya hifadhi ya jamii, ambapo sasa watalipwa asilimia 72.5 kutoka asilimia 60-67 kwa baadhi ya mifuko iliyokuwa ikilipwa awali. Pia, kiwango cha chini cha pensheni, kimeongezwa kwa mifuko ambayo haikuwa na kiwango cha chini.

 

10 years ago

GPL

MFUKO WA PESHENI WA SSRA WATOA UFAFANUZI MAFAO

Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano na Uhamasishaji wa SSRA, Sarah Kibonde Msika (katikati) akiongea katika mkutano huo.  Kushoto ni Mkurugenzi wa Sheria wa mfuko huo, Ngabo Ibrahim, na Ofisa Utafiti wa kitengo hicho, Joseph Mulashumbilwa. Viongozi hao wakisikiliza maswali kutoka kwa wanahabari (hawapo pichani). MAMLAKA YA  Udhibiti na Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) umetoa ufafanuzi juu ya kanuni ya uwianishaji wa...

 

10 years ago

Habarileo

TALGWU bado walia na SSRA ukokotoaji mafao

CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kimeshutumu Mamlaka ya Hifadhi ya Mifuko ya Jamii (SSRA) kwa kutumia vibaya mamlaka yake kwa kupunguza kanuni ya vikokotoo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani