TALGWU bado walia na SSRA ukokotoaji mafao
CHAMA cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa (TALGWU) kimeshutumu Mamlaka ya Hifadhi ya Mifuko ya Jamii (SSRA) kwa kutumia vibaya mamlaka yake kwa kupunguza kanuni ya vikokotoo.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo24 May
‘Hakuna mpango wa kurekebisha ukokotoaji mafao’
SERIKALI imesema kwa sasa haina mpango wa kurekebisha ukokotoaji wa mafao yanayolipwa kwa wastaafu, kutokana na kuwa unazingatia sheria ya pensheni na hulipwa baada ya kukaguliwa na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali (CAG).
10 years ago
Mwananchi22 Aug
Talgwu yapinga mafao ya wastaafu kupunguzwa
10 years ago
Habarileo20 Jun
SSRA yafafanua kanuni za mafao
MAMLAKA ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) imesema kanuni mpya za uainishaji wa mafao ya pensheni kwa wanaostaafu kwa hiari, una lengo la kulinda na kutetea maslahi ya wanachama.
10 years ago
GPLMFUKO WA PESHENI WA SSRA WATOA UFAFANUZI MAFAO
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s72-c/DSC04406.jpg)
SSRA yatoa ufafanuzi kuhusu Kanuni No. 13 ya mafao ya wastaafu
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZIdjl36CuVI/VVtjxnqCavI/AAAAAAABTiw/jrYNsecPhJ0/s640/DSC04406.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-nQ47uTNjpsk/VVtjw3Bsi5I/AAAAAAABTio/qAf-u-uQ5k4/s640/SSRA.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-H8M5wY6ap2w/U-Ja7cguHpI/AAAAAAACm7k/YgMfP1LZ-lo/s72-c/A.jpg)
SSRA YAZINDUA KANUNI MPYA ZA KUHUISHA MAFAO YA PENSHENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-H8M5wY6ap2w/U-Ja7cguHpI/AAAAAAACm7k/YgMfP1LZ-lo/s1600/A.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-z75K5U73cqQ/U-Ja629R26I/AAAAAAACm7g/WnVTNkbPo_8/s1600/B.jpg)
11 years ago
Dewji Blog06 Aug
SSRA yazidua kanuni mpya za kuhuisha mafao ya pensheni
Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma juzi kuhusu mabadiliko ya Kanuni za Kuhuisha Mafao ya Pensheni kwa Mifuko ya Hifadhi ya Jamii ya kuwa na aina moja kwa wastaafu.Katikati ni Mwenyekiti wa Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA),Juma Muhimbi na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka hiyo, Irene Isaka.
Waziri wa Kazi na Ajira, Dk.Gaudensia Kabaka, akifafanua jambo kwa waandishi wa habari.
Ofisa Mtendaji Mkuu...
10 years ago
Michuzi30 Apr
10 years ago
Habarileo23 Feb
NCCR-Mageuzi bado‘walia’ na Tume ya Elimu
CHAMA cha NCCR-Mageuzi kimeshauri Serikali kuunda Tume ya Kudumu ya Elimu itakayoshughulikia pamoja na mambo mengine, ubora wa elimu na kudhibiti mambo yote yanayosababisha kutetereka kwa ubora huo.