Stakabadhi za Nyamwasa hazina kasoro
Jaji apuuza malalamiko ya mshirika kadhaa ya kujitegemea kuwa Generali Kayumba Nyamwasa anaishi Afrika Kusini kinyume na sheria
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili29 Aug
4 hatiani kwa jaribio la kumuua Nyamwasa
11 years ago
Tanzania Daima30 May
‘Mfumo wa stakabadhi ghalani ubadilishwe’
BAADHI ya wakulima wa korosho nchini, wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, kuufanyia mabadiliko makubwa mfumo wa stakabadhi ghalani, ili kumwezesha mkulima kunufaika na zao hilo. Wakizungumza...
11 years ago
BBCSwahili05 Aug
Westgate:Stakabadhi za usajili zilibiwa
10 years ago
Habarileo22 Mar
Muswada wa Sheria ya stakabadhi ghalani wapitishwa
MUSWADA wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Stakabadhi Ghalani wa mwaka 2014, umepitishwa rasmi na Bunge, huku Serikali ikiwahakikishia wananchi kuwa changamoto zote za usimamizi zinazohusu masuala ya stakabadhi ghalani, zitapatiwa ufumbuzi kupitia muswada huo.
11 years ago
Tanzania Daima09 Aug
Chiza ataka maboresho stakabadhi ghalani
WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza, amesema njia pekee na nzuri ya kumsaidia mkulima ni kuhakikisha mfumo wa stakabadhi ghalani unaboresha. Chiza aliyasema hayo juzi kwenye katika siku ya...
10 years ago
Tanzania Daima08 Nov
‘Mfumo stakabadhi ghalani haulazimishi kukopa’
MKURUGENZI wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Mfaume Juma, amesema kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani haumlazimishi mkulima kukopa fedha benki kabla ya kuuza korosho zake. Kauli hiyo, aliitoa juzi katika...
10 years ago
Mwananchi05 Dec
Stakabadhi ghalani yapaisha bei ya korosho Mtwara
5 years ago
Michuzi
WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.

NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO
Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.
Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...
11 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Wanasiasa waache kuchanganya wakulima mfumo wa stakabadhi ghalani
UONGOZI imara wa Vyama vya Ushirika umewezesha ufanisi kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani katika maeneo yanayolima kahawa mkoani Kilimanjaro, lakini wanasiasa ni changamoto katika hilo kwa kuwa wanatumia majukwaa kupanga...