Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Westgate:Stakabadhi za usajili zilibiwa

Stakabadhi zilizotumika kusajili simu zilizotumika na magaidi walioshambulia maduka ya Westgate ziliibiwa.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

MillardAyo

Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika …

Mtu wangu wa nguvu najua headlines za usajili wa dirisha dogo kwa Bongo zimepita na sasa tunaelekea katika usajili wa dirisha dogo la mwezi January barani Ulaya, tumeona vilabu vya Man United na Tottenham Hotspurs vikiwania saini ya mchezaji wa Algeria anayekipiga katika klabu ya Leicester City Riyad Mahrez. Mtu wangu wa nguvu kabla ya dirisha […]

The post Kuelekea dirisha dogo la usajili barani Ulaya, huu ni usajili mbovu wa wachezaji uliowahi kufanyika … appeared first on...

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Mfumo wa stakabadhi ghalani ubadilishwe’

BAADHI ya wakulima wa korosho nchini, wameiomba serikali kupitia Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika, kuufanyia mabadiliko makubwa mfumo wa stakabadhi ghalani, ili kumwezesha mkulima kunufaika na zao hilo. Wakizungumza...

 

10 years ago

BBCSwahili

Stakabadhi za Nyamwasa hazina kasoro

Jaji apuuza malalamiko ya mshirika kadhaa ya kujitegemea kuwa Generali Kayumba Nyamwasa anaishi Afrika Kusini kinyume na sheria

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Mfumo stakabadhi ghalani haulazimishi kukopa’

MKURUGENZI wa Bodi ya Korosho Tanzania (CBT), Mfaume Juma, amesema kuwa mfumo wa stakabadhi ghalani haumlazimishi mkulima kukopa fedha benki kabla ya kuuza korosho zake. Kauli hiyo, aliitoa juzi katika...

 

10 years ago

Habarileo

Muswada wa Sheria ya stakabadhi ghalani wapitishwa

MUSWADA wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Stakabadhi Ghalani wa mwaka 2014, umepitishwa rasmi na Bunge, huku Serikali ikiwahakikishia wananchi kuwa changamoto zote za usimamizi zinazohusu masuala ya stakabadhi ghalani, zitapatiwa ufumbuzi kupitia muswada huo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiza ataka maboresho stakabadhi ghalani

WAZIRI wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Mhandisi Christopher Chiza, amesema njia pekee na nzuri ya kumsaidia mkulima ni kuhakikisha  mfumo wa stakabadhi ghalani unaboresha. Chiza aliyasema hayo juzi kwenye katika siku ya...

 

5 years ago

Michuzi

WANANCHI WAISHUKURU SERIKALI KUANZISHA STAKABADHI GHALANI.


NA YEREMIAS NGERANGERA…NAMTUMBO

Wananchi na wakulima wa mazao ya ufuta .soya ,choroko wilayani Namtumbo Mkoani Ruvuma wanaishukuru serikali kwa kuanzisha mfumo wa mauzo kwa njia ya stakabadhi ghalani ambao unawanufaisha wakulima.

Wakiongea kwenye mnada wa kwanza, wa pili na watatu katika ghala la ushirika lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Namtumbo ulikokuwa unafanyika mnada huo ,wananchi na wakulima waliohudhuria mnada huo walisema serikali imelenga kuwanufaisha...

 

10 years ago

Mwananchi

Stakabadhi ghalani yapaisha bei ya korosho Mtwara

Bei ya korosho ghafi katika soko la minada chini ya mfumo wa stakabadhi ghalani imeimairika na kufikia Sh1,660 kutoka Sh1,500 kwa kilo katika wiki mbili zilizopita.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wanasiasa waache kuchanganya wakulima mfumo wa stakabadhi ghalani

UONGOZI imara wa Vyama vya Ushirika umewezesha ufanisi kwenye mfumo wa stakabadhi ghalani katika maeneo yanayolima kahawa mkoani Kilimanjaro, lakini wanasiasa ni changamoto katika hilo kwa kuwa wanatumia majukwaa kupanga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani