Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stamico yatwaa mgodi wa Kiwira

HATIMAYE mgodi wa Makaa Mawe wa Kiwira uliopo wilayani Ileje, umerudishwa rasmi serikalini kutoka Tan Power Resources (TPR) na kukabidhiwa kwa Shirika la Madini la Taifa (Stamico), kwa ajili ya kufufua na kuendeleza mgodi huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

TheCitizen

Kiwira needs over Sh736 billion just for take-off

>The State Mining Corporation (Stamico) is in dire need of at least $460 million (Sh736 billion) to accomplish the task of commencing coal production and electricity generation at Kiwira Coal Mine.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Diwani Kiwira akalia kuti kavu

DIWANI wa Kata ya Kiwira wilayani Rungwe Mbeya, Raulent Mwakalebule  (CHADEMA), amewekwa kiti moto na madiwani wa kambi ya upinzani baada ya kupingana na uamuzi wa Umoja wa Katiba ya...

 

10 years ago

Vijimambo

WATU 19 WAMEFARIKI KATIKA AJALI YA HIACE KIWIRA MBEYA

 Kwa habari zilizotufikia hivi punde kutoka Mkoani Mbeya zinasema kuwa Watu 19 wamefariki dunia baada ya Hiace waliokuwa wakisafiria kuacha njia na kupinduka maeneo ya Kiwira wilayani Rungwe Mkoani Mbeya.Endelea kufuatilia kwa taarifa zaidi.


 

10 years ago

Vijimambo

MAFUNZO YA AWALI YA UASKARI MAGEREZA KOZI NA. 27 YAENDELEA VYEMA CHUO KIWIRA, MBEYA

Bango Kuu linaloonyesha unapoingia Chuo cha Mafunzo ya Uaskari Magereza kilichopo Kiwira, Mkoani Mbeya.Askari Wanafunzi wa Mafunzo ya Awali ya Uaskari Magereza wakiendelea na masomo ya Darasani. Katika Mafunzo hayo hujifunza masomo mbalimbali ikiwemo Utawala na Uendeshaji wa Magereza, Sheria zinazoongoza Jeshi la Magereza, Ustawi wa Jamii, Afya, Uraia na Utawala na UongoziAskari Wanafunzi(Recruits) wa Mafunzo ya Awali ya Uaskari Magereza Kozi Na. 27 wakiendelea na masomo kwa vitendo katika...

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA AWALI YA UASKARI MAGEREZA KOZI NA. 27 YAENDELEA VYEMA CHUONI KIWIRA, TUKUYU, MBEYA

 Askari Wanafunzi(Recruits) wa Mafunzo ya Awali ya Uaskari Magereza Kozi Na. 27 wakiendelea na masomo kwa vitendo katika Gwaride la silaha kama wanavyoonekana kikakamavu wakiwa na Walimu wao uwanjani huku silaha zao zikiwa begani. Askari Wanafunzi wa Mafunzo ya Uaskari Magereza Kozi Na. 27 wakiendelea na somo la Gwaride la Salaam ya Utii wakiwa na silaha kama inavyoonekana katika picha. Bango Kuu linaloonyesha unapoingia Chuo cha Mafunzo ya Uaskari Magereza kilichopo Kiwira, Mkoani Mbeya.

 

11 years ago

Michuzi

STAMICO yaipongeza SUMA JKT

Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Uzalishaji Mali  la Jeshi la Kujenga Taifa,  SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera.
Mgodi huo kwa sasa umekabidhiwa kwa serikali ambapo unaendeshwa chini ya shirika la madini la STAMICO.
Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi  wa STAMICO,  Rumisha Kimambo katika kikao kilichojumuisha Bodi yake na uongozi wa mgodi wa huo kilichofanyika...

 

9 years ago

TheCitizen

Stamico hands over projects to schools

The State Mining Corporation (Stamico), through its subsidiary, Stamigold, has handed over education projects worth Sh40 million to the education sector particularly areas near mines .

 

10 years ago

TheCitizen

As StaMiCo takes over four mining entities

After a series of unquestionably negative reports regarding the mining sector in Tanzania over the last 15 years or so, two somewhat positive developments were reported by two Dar-based newspapers on their front page - and on the same date: Sept. 1 this year!

 

10 years ago

TheCitizen

Stamico to take charge of four mining firms

>The government has decided to take over four private mining firms and place them under the charge of the State Mining Corporation Stamico).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani