Stamico hands over projects to schools
The State Mining Corporation (Stamico), through its subsidiary, Stamigold, has handed over education projects worth Sh40 million to the education sector particularly areas near mines .
TheCitizen
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s72-c/banner.jpg)
STAMICO yaipongeza SUMA JKT
![](http://4.bp.blogspot.com/-Ym9FR2BsclM/UxhWp-V-T8I/AAAAAAAFRYU/9vXq67Hpthw/s1600/banner.jpg)
SHIRIKA la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa, SUMA JKT, limepongezwa kwa juhudi zake katika kuhakikisha ulinzi unaimarika katika maeneo ya mgodi wa STAMIGOLD uliopo Biharamulo Kagera.
Mgodi huo kwa sasa umekabidhiwa kwa serikali ambapo unaendeshwa chini ya shirika la madini la STAMICO.
Pongezi hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa STAMICO, Rumisha Kimambo katika kikao kilichojumuisha Bodi yake na uongozi wa mgodi wa huo kilichofanyika...
11 years ago
Habarileo05 Jun
Stamico yatwaa mgodi wa Kiwira
HATIMAYE mgodi wa Makaa Mawe wa Kiwira uliopo wilayani Ileje, umerudishwa rasmi serikalini kutoka Tan Power Resources (TPR) na kukabidhiwa kwa Shirika la Madini la Taifa (Stamico), kwa ajili ya kufufua na kuendeleza mgodi huo.
10 years ago
TheCitizen01 Sep
Stamico to take charge of four mining firms
11 years ago
Habarileo23 May
Msemaji Stamico aibiwa gari
MSEMAJI Mkuu wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico), Leornad Mwakalebela ameibiwa gari lake aina ya Spacio huko nyumbani kwake maeneo ya Tabata Kwa Baharia.
10 years ago
TheCitizen18 Sep
As StaMiCo takes over four mining entities
11 years ago
Habarileo13 Aug
Stamico yatoa milioni 800/- Buhemba
SERIKALI kupitia Shirika la Madini la Taifa (Stamico) limetoa takribani Sh milioni 800 kwa ajili ya ujenzi wa vyumba vya madarasa, nyumba ya mwalimu na kituo cha afya katika eneo la mgodi wa Buhemba ulioko Musoma, mkoani Mara.
10 years ago
Dewji Blog01 Jul
Edwin Ngonyani Mkurugenzi Mtendaji mpya wa STAMICO
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Mhandisi Edwin Amandus Ngonyani kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (Stamico). Uteuzi huo umeanza Jumapili iliyopita, Juni 28, 2015.
Taarifa ya kuthibitisha uteuzi huo iliyotolewa Ikulu, Dar es salaam na Katibu Mkuu Kiongozi (KMK) leo, Jumanne, Juni 30, 2015, inasema kuwa kabla ya uteuzi wake Mhandisi Ngonyani alikuwa Mkaguzi Mkuu wa Migodi na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Stamico.
Mhandisi...
5 years ago
MichuziWafanyakazi STAMICO wapata mafunzo dhidi ya Corona
Katika kufanikisha hilo, uongozi wa STAMICO uliandaa mafunzo ya siku moja yaliyofanyika kwenye viunga vya wazi vya ofisi hiyo kwa ajili ya wafanyakazi wake waliopo Dar es Salaam ambapo, pamoja na mambo mengine, walihimizwa kujilinda na maambukizi ya ugonjwa wa COVID...
10 years ago
MichuziSTAMICO KUANZISHA MTANDAO WA KUWASAIDIA WACHIMBAJI WADOGO