Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


STAR TIMES WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA JIJINI DAR

  Balozi wa Star Times ambae pia ni mchambuzi wa soka Shafii Dauda akikata keki ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya huduma kwa wateja inayoadhimishwa kila mwaka kuanzia wiki ya kwanza. Balozi wa Star Times ambae pia ni mchambuzi wa soka Shafii Dauda akizungumza na waandishi wa habari jana kuhusiana na ushiriki wa king'amuzi hicho katika kuendeleza soka nchini, hiyo ilikuwa ni wakati wa maadhimisho ya wiki yahuduma kwa wateja pembeni yake ni Meneja wa Operesheni wa Star Times Gaspa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

STAR TIMES YAJIVUNIA MABORESHO YA HUDUMA ZAKE KWA WATEJA

Meneja wa Star Times Tanzania Bw,Gaspa Ngowi akizungumza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo (pichani) Balozi wa Star Time Shafii Dauda,akizungumza jambo. Shafii Dauda,akisisitiza jambo…

 

9 years ago

Michuzi

BANKI YA DCB YA SHEREKEA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA LEO JIJINI DAR

Meneja Mwandamizi wa  Biashara Ndogo na Kubwa  wa Benki ya DCB, Haika Machaku akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani juu ya kuwapatia shuhulisho la masuala ya kifedha wateja na kuongeza kasi ya ukuaji wa biashara zao  ameyasema hayo leo katika hafla ya kusherekea wiki ya huduma  kwa wateja iliyofanyika makao makuu jijini Dar es Salaam. Kulia ni Meneja Mwandamizi wa Technolojia ya Habari na mawasiliano Mohamed Mtulia.Meneja Masoko wa Benki ya DCB,Boyd Mwaisame akisisitiza jambo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo yawatembeza wateja wake katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) katika kuhadhimisha wiki ya Huduma kwa wateja

IMG_5019

Wateja wakisikiliza mazungumzo mojakwamoja Baina ya mteja na muhudumu wetu katika kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter)  IMG_5004 IMG_4911 Mkuu wa idara ya Huduma kwa wateja, Ndugu Zaeem Khan akikabidhi kadi za kipaumbele kwa wateja waliohudhuria hafla hiyo. IMG_5035 Wateja waliopata nafasi ya kutembelea kituo cha huduma kwa wateja kwa njia ya simu (Callcenter) wakipata maelekezo kuhusu huduma za Tigo. picha 02 Picha ya pamoja ya Wafanyakazi  na wateja wa Tigo waliotembelea kituo cha Huduma kwa...

 

9 years ago

Dewji Blog

TTCL Wazinduwa Wiki ya Huduma kwa Wateja, Kuwatembelea Wateja Popote

Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura (kulia) akikata keki katika moja ya tawi la ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kuzinduwa wiki ya huduma kwa wateja leo. Kampuni ya simu ya TTCL leo imezinduwa wiki ya huduma kwa wateja ambapo inaanzia Oktoba 12 hadi 16, 2015. Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha Kazaura akisaini kitabu cha wageni katika moja ya tawi la ofisi za kampuni hiyo jijini Dar es Salaam kwenye...

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA MTEJA LEO

Mkurugenzi msaidizi wa benki ya CRDB huduma kwa wateja, Saugata Bandyopadhyay akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kufika katika benki ya  CRDB tawi la Water Front leo jijini Dar es Salaam,  wakati wa kuadhimisha wiki ya utumisha wa huduma kwa mteja ambayo hufanyika kila Oktoba 5 kila mwaka katika banki hiyo.Keki ya kuwashukuru wateja wanaotembelea katika tawi la Water Front.Wateja waliotembelea tawi la Water Front, Mr &Mrs Prakash Shah wakishirikiana na Genoveva Kiliba kukata keki...

 

10 years ago

Tanzania Daima

CRDB yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja

BENKI ya CRDB inaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kusikiliza matatizo yanayowakabili wateja wa benki hiyo. Akizungumza jana alipotembelea matawi ya Holland, Premier na PPF jijini Dar es Salaam,...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Airtel yazindua wiki ya huduma kwa wateja

KAMPUNI ya simu za mkononi ya Airtel imejipanga kikamilifu kusheherekea wiki ya huduma kwa wateja kwa kuzitambua jitihada na michango ya watoa huduma wao na kuthamini umuhimu wa wateja. Airtel,...

 

10 years ago

Michuzi

Airtel yahitimisha wiki ya huduma kwa wateja

Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imehitimisha wiki hii inayosherehekewa duniani kwa kuwatembelea wateja wake mbali mbali na kuwashukuru kwa kutumia huduma na bidhaa zake.
Airtel imetembelea wateja wake katika maeneo mbalimbali ikiwa pamoja na Tandika, magomeni, Temeke , sinza, Mbagala, illala , kinondoni na katika maeneo yenye watu wengi na kuongea nao kwa nyakati tofauti lengo likiwa ni kupata maoni juu ya huduma na pia kuwaelimisha kuhusu...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YAADHIMISHA WIKI YA HUDUMA KWA WATEJA

Mkurugenzi Mkuu wa Airtel , Sunil Colaso (wa kwanza kulia), Mkurugenzi wa Kitengo cha huduma kwa wateja, Adrian Lyamba (katika) na wafanyakazi wa Airtel kwa pamoja wakikata keki kuzindua wiki ya huduma kwa wateja duniani inayoanza rasmi leo, Octoba 5, 2015. Hafla hiyo ya uzinduzi ilifanyika Makao Makuu ya Airtel Morocco jijini Dar es Salaam. Meneja wa Kitengo cha huduma kwa wateja, Airtel Tanzania, Bw. Deo Hugo akiongea...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani