Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stars mpya majanga

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitibua furaha ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Burundi katika mechi ya kirafiki iliyopigwa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

UMAKINI: Mabeki Stars majanga

>Taifa Stars inakabiliwa na mchezo mgumu wa marudiano dhidi ya Msumbiji utakaochezwa ugenini kati ya  Agosti 3 au 4, lakini  bado safu ya ulinzi imeendelea kuwa majanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars majanga tupu Sauzi

Dar es Salaam. Majanga! Hiyo ndiyo lugha rahisi unayoweza kuelezea   baada ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kupokea kipigo cha  mabao 2-0 kutoka kwa Madagascar na kufuta matumaini yake ya kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Cosafa.

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga

Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ndege ‘mpya’ ATCL majanga

SIKU chache baada ya Shirika la Ndege Air Tanzania (ATCL), kujinadi kwamba limenunua ndege mpya aina ya CRJ 200, imebainika kwamba ndege hiyo ni chakavu na ni mzigo kwa taifa...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Tutafute mbinu mpya za kukabili majanga

>Tukio la juzi ambapo familia moja ya watu sita iliteketea kwa moto jijini Dar es Salaam limetuthibitishia pasipo shaka kwamba nchi yetu imeshindwa kubuni mbinu na mikakati ya kisasa kukabiliana na majanga.

 

11 years ago

Michuzi

KOCHA MPYA WA TAIFA STARS AONGEZA WACHEZAJI TISA STARS

Kocha mpya wa Taifa Stars, Mart Nooij ameongeza wachezaji tisa katika kikosi hicho kinachojiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi ya Malawi (The Flames) itakayochezwa Mei 4 mwaka huu katika Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya.
Wachezaji walioongezwa ni Edward Charles Manyama (JKT Ruvu), Elias Maguli (Ruvu Shooting), Hassan Dilunga (Yanga), Hussein Javu (Yanga), John Bocco (Azam), Kelvin Friday (Azam), Oscar Joshua (Yanga), Nadir Haroub (Yanga) na Shomari Kapombe (AC Cannes, Ufaransa).
Naye beki...

 

11 years ago

GPL

KOCHA MPYA STARS

Martinus Ignatius "Mart" Nooij. Kocha mpya wa Taifa Stars ni Mholanzi, Martinus Ignatius "Mart" Nooij anayetarajiwa kutambulishwa rasmi Machi 24 mwaka huu na Rais wa TFF, Jamal Malinzi! CHANZO NI BIN ZUBEIRY…

 

10 years ago

Habarileo

Stars `mpya’ yaanza mazoezi

TIMU ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) imeanza mazoezi katika Uwanja wa Karume kujiandaa na mchezo dhidi ya Nigeria kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika mwaka 2017 nchini Gabon.

 

10 years ago

BBCSwahili

Taifa Stars yapata kocha mpya

Charles Boniface Mkwasa kocha mpya wa timu ya Taifa ya Tanzania akisaidiwa na Hemed Moroco

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani