Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


UMAKINI: Mabeki Stars majanga

>Taifa Stars inakabiliwa na mchezo mgumu wa marudiano dhidi ya Msumbiji utakaochezwa ugenini kati ya  Agosti 3 au 4, lakini  bado safu ya ulinzi imeendelea kuwa majanga.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Stars kuanza mabeki watatu

Kuyumba kwa safu ya ulinzi ya timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ kwa siku za karibuni kumemlazimu kocha mkuu, Mart Nooij kuwapanga mabeki watatu katika mchezo wa kesho dhidi ya Benin.

 

11 years ago

Mwananchi

Nooij ataka umakini zaidi Taifa Stars

 Kocha wa Taifa Stars, Martinus Nooij amewaonya wachezaji wake na kuwataka waongeze umakini dakika zote 90 za mchezo, huku akiahidi ushindi ugenini dhidi ya Msumbiji.

 

9 years ago

Mwananchi

Pasi, umakini kuamua mshindi Stars, Algeria

Soka la pasi za chini, umakini ndizo mbinu muhimu zitakazoibeba Taifa Stars leo dhidi ya Algeria.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Stars mpya majanga

TIMU ya soka ya Tanzania, Taifa Stars, jana ilitibua furaha ya sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, baada ya kuchapwa mabao 3-0 na Burundi katika mechi ya kirafiki iliyopigwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Taifa Stars majanga tupu Sauzi

Dar es Salaam. Majanga! Hiyo ndiyo lugha rahisi unayoweza kuelezea   baada ya timu ya Taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars’ kupokea kipigo cha  mabao 2-0 kutoka kwa Madagascar na kufuta matumaini yake ya kufuzu kwa robo fainali ya Kombe la Cosafa.

 

10 years ago

Mwananchi

NATOA HOJA : Taifa Stars majanga, halafu tumeitia janga

Mwishoni mwa wiki iliyopita, nilisikia habari kuwa Shirikisho la Soka Tanzania (TFF), limepitisha utaratibu wa klabu za Ligi Kuu kusajili wachezaji saba wa kigeni kwa ajili ya kuchezea klabu hizo.

 

10 years ago

Mwananchi

Morocco: Mabeki Simba tatizo

Kocha wa timu ya Mafunzo, Hemed Morocco amesema kikosi cha Simba kinaendelea kuimarika, hasa safu ya viungo na ushambuliaji huku akidai bado kuna tatizo kubwa katika ulinzi wa pembeni.

 

9 years ago

Mtanzania

Stewart alia na mabeki, Cecafa

azam fcNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema safu ya ulinzi ya timu hiyo ilicheza vibaya dhidi ya Simba juzi na kusababisha matokeo ya sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Licha ya sare hiyo, Azam imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi 26, Yanga ikifuatia kwa pointi 24, Mtibwa Sugar 23 na Simba ikijikusanyia pointi 22 katika nafasi ya nne.

Akizungumza mara baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Usiombe kukutana na mabeki hawa

Utamu wa soka ni mabao na hilo ndilo jambo linalowavutia mashabiki wengi duniani kote, lakini msimu huu Ligi Kuu Bara tumeshuhudia mabeki wakitamba.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani