Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Usiombe kukutana na mabeki hawa

Utamu wa soka ni mabao na hilo ndilo jambo linalowavutia mashabiki wengi duniani kote, lakini msimu huu Ligi Kuu Bara tumeshuhudia mabeki wakitamba.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

USIOMBE KUZALIWA WA PILI!

Unajua uzuri wa makala hii iliyotukuka ni kuwa kabla sijaandika kitu huwa nafanya utafiti wa hali ya juu. Naanza mwaka kwa kutangaza kuwa nimetumia fedha nyingi kulipa kamati mbalimbali kufanya utafiti na kugundua kuwa magazeti yetu ya hapa Bongo kumbe yanasomwa mpaka peponi. Najua wapinzani wa makala hii iliyotukuka tayari wameshaanza kunyanyua mabango ya kubisha, ngojeni niwape ushahidi. Nyie hamjaona kwenye magazeti mtu akifa...

 

11 years ago

GPL

USIOMBE GONJWA HILI LIKUPATE

Stori: MAKONGORO OGING’
MARY Izengo (52), mkazi wa Kijiji cha Umanda- Msalala, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza anateseka kiasi cha kutamani afe kufuatia gonjwa la ajabu alilonalo huku akisema ndugu, wakiwemo watoto wake wamemtenga. Mchungaji Mary Izengo.
Akizungumza na Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Wadi Namba 23, Jengo la Sewa Haji kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, mwanamke huyo alisema usiombe...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maradhi yote ugua ila BT usiombe

“…Eee bwana wee isiwe tabu huu muembe chukua wewe isipokua embe tu zikizaliwa nitachukua mie! Sasa huo muembe unautaka wa nini? Kivuli?…”Alihoji bwana Othman. Hio ilikua ni shabihisho ya funga mwaka alioitoa bwana Othman Masoud, aliyekua […]

The post Maradhi yote ugua ila BT usiombe appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

USIOMBE YAKUKUTE YALIYOMTOKEA MREMBO HUYU

Issa Mnally
MAMBO mengine ni ya kuyasikia yakiwatokea wenzako na usiombe yakakukuta kama ilivyomtokea msichana huyu ambaye hakufahamika jina lake mara moja baada ya kuchukua kipigo ‘hevi’ ambacho nusura apoteze maisha yake, maeneo ya Sinza Afrikasana, juzi Jumatatu. Dada huyo akilia baada ya kupokea kichapo kikali. Mashuhuda wa tukio hilo wanasema, binti huyo akiwa na mwanaume mmoja, walionekana wakitoka katika...

 

9 years ago

Vijimambo

DR SLAA AKIRI KUKUTANA NA MWAKYEMBE SIKU MOJA KABLA YA KUKUTANA NA WAANDISHI WA HABARI, AMWAMBIA LISSU AONYESHE VOCHA YA YEYE KUCHUKUA MSHAHARA CHADEMA

NA ELIZABETH HOMBO, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Dk. Willibrod Slaa, kutangaza kuachana na siasa na kushusha tuhuma kwa chama chake, maaskofu wa Kanisa Katoliki na Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT), imebainika kuwa kabla ya kuzungumza na waandishi wa habari alikutana na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiwamo Dk. Harison Mwakyembe.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Dk. Slaa ambaye alimshambulia mgombea...

 

11 years ago

Mwananchi

UMAKINI: Mabeki Stars majanga

>Taifa Stars inakabiliwa na mchezo mgumu wa marudiano dhidi ya Msumbiji utakaochezwa ugenini kati ya  Agosti 3 au 4, lakini  bado safu ya ulinzi imeendelea kuwa majanga.

 

10 years ago

Mwananchi

Stars kuanza mabeki watatu

Kuyumba kwa safu ya ulinzi ya timu ya Taifa ya Tanzania, ‘Taifa Stars’ kwa siku za karibuni kumemlazimu kocha mkuu, Mart Nooij kuwapanga mabeki watatu katika mchezo wa kesho dhidi ya Benin.

 

9 years ago

Mtanzania

Stewart alia na mabeki, Cecafa

azam fcNA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Stewart Hall, amesema safu ya ulinzi ya timu hiyo ilicheza vibaya dhidi ya Simba juzi na kusababisha matokeo ya sare ya mabao 2-2 katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliopigwa katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Licha ya sare hiyo, Azam imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwa na pointi 26, Yanga ikifuatia kwa pointi 24, Mtibwa Sugar 23 na Simba ikijikusanyia pointi 22 katika nafasi ya nne.

Akizungumza mara baada ya...

 

10 years ago

Mwananchi

Morocco: Mabeki Simba tatizo

Kocha wa timu ya Mafunzo, Hemed Morocco amesema kikosi cha Simba kinaendelea kuimarika, hasa safu ya viungo na ushambuliaji huku akidai bado kuna tatizo kubwa katika ulinzi wa pembeni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani