Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


USIOMBE GONJWA HILI LIKUPATE

Stori: MAKONGORO OGING’
MARY Izengo (52), mkazi wa Kijiji cha Umanda- Msalala, Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza anateseka kiasi cha kutamani afe kufuatia gonjwa la ajabu alilonalo huku akisema ndugu, wakiwemo watoto wake wamemtenga. Mchungaji Mary Izengo.
Akizungumza na Uwazi mwishoni mwa wiki iliyopita ndani ya Wadi Namba 23, Jengo la Sewa Haji kwenye Hospitali ya Taifa Muhimbili, mwanamke huyo alisema usiombe...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ESHA BUHETI GONJWA GONJWA, TUMUOMBEENI

Stori: Shakoor Jongo
MUIGIZAJI aliyelamba tuzo ya Muigizaji Bora wa Kike katika Tamasha la Zanzibar Festival Film ‘ZIFF’ mwaka huu, Esha Salim Buheti hali yake siyo nzuri na anahitaji maombi ili apone kutokana na kusumbuliwa na tatizo la uvimbe kwenye kizazi. Mwigizaji, Esha Salim Buheti akiwa hoi kitandani. Akizungumza na Ijumaa lililokwenda kumjulia hali katika Hospitali ya TMJ iliyopo Mikocheni jijini Dar,...

 

10 years ago

GPL

USIOMBE KUZALIWA WA PILI!

Unajua uzuri wa makala hii iliyotukuka ni kuwa kabla sijaandika kitu huwa nafanya utafiti wa hali ya juu. Naanza mwaka kwa kutangaza kuwa nimetumia fedha nyingi kulipa kamati mbalimbali kufanya utafiti na kugundua kuwa magazeti yetu ya hapa Bongo kumbe yanasomwa mpaka peponi. Najua wapinzani wa makala hii iliyotukuka tayari wameshaanza kunyanyua mabango ya kubisha, ngojeni niwape ushahidi. Nyie hamjaona kwenye magazeti mtu akifa...

 

10 years ago

Mwananchi

Usiombe kukutana na mabeki hawa

Utamu wa soka ni mabao na hilo ndilo jambo linalowavutia mashabiki wengi duniani kote, lakini msimu huu Ligi Kuu Bara tumeshuhudia mabeki wakitamba.

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Maradhi yote ugua ila BT usiombe

“…Eee bwana wee isiwe tabu huu muembe chukua wewe isipokua embe tu zikizaliwa nitachukua mie! Sasa huo muembe unautaka wa nini? Kivuli?…”Alihoji bwana Othman. Hio ilikua ni shabihisho ya funga mwaka alioitoa bwana Othman Masoud, aliyekua […]

The post Maradhi yote ugua ila BT usiombe appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

GPL

USIOMBE YAKUKUTE YALIYOMTOKEA MREMBO HUYU

Issa Mnally
MAMBO mengine ni ya kuyasikia yakiwatokea wenzako na usiombe yakakukuta kama ilivyomtokea msichana huyu ambaye hakufahamika jina lake mara moja baada ya kuchukua kipigo ‘hevi’ ambacho nusura apoteze maisha yake, maeneo ya Sinza Afrikasana, juzi Jumatatu. Dada huyo akilia baada ya kupokea kichapo kikali. Mashuhuda wa tukio hilo wanasema, binti huyo akiwa na mwanaume mmoja, walionekana wakitoka katika...

 

10 years ago

GPL

GONJWA LA AJABU

Na Makongoro Oging’ MAAJABU ya Mungu! Ukisema wewe unaumwa sana, inawezekana hujawaona wagonjwa wengine! Faiza Masaka Paga (23)(pichani), mkazi wa Chanika –Msumbiji, Ilala jijini Dar amekumbwa na gonjwa la ajabu ambalo mpaka sasa madaktari hawajajua ni nini kwani sehemu ya kiuno na kalio upande wa kushoto imevimba na kumfanya aonekane ana kama nundu kubwa ya kutisha! Faiza Masaka mkazi wa Chanika akionyesha jinsi...

 

11 years ago

GPL

GONJWA LA AJABU LAMTESA

Stori: Makongoro oging’
Lawrent Lawrian, 42 (pichani), ni mkazi wa Kijiji cha Nyakisogo, Wilaya ya Biharamlo, mkoani Kagera, amekuwa mwenye huzuni na kukosa raha kwa muda wa miaka 35 kutokana na gonjwa la ajabu linalomtesa ambalo limemsababishia mambo mengi ikiwa ni pamoja na kutoendelea na masomo. Kijana Lawrent Lawrian, akiwa na uvimbe wa ajabu kichwani mwake. Gonjwa hilo la ajabu ni uvimbe kama nundu kichwani wenye...

 

11 years ago

GPL

AMANDA NA GONJWA LISILOELEWEKA

Stori: Gladness Mallya
STAA wa sinema za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ amepatwa na ugonjwa wa ajabu  ambao haujulikani. Staa wa sinema za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’. Katika mazungumzo na paparazi wetu, Amanda alisema: “Naumwa sana na nimechukua vipimo vingi ikiwemo malaria na presha pale Agha Khan (hospitali) lakini hakijagundulika chochote ingawa mwili wote unauma.”… ...

 

11 years ago

GPL

GONJWA JINGINE LAIBUKA BONGO

Mbu wa Aedes aegypti anayesambaza gonjwa hatari la Chikungunya pamoja na homa ya Dengue. Majanga! Huku hali ya sintofahamu ikiendelea kuwakumba wakazi wengi wa Jiji la Dar es Salaam na nchi nzima kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa homa ya Dengue, gonjwa lingine hatari lisilo na chanjo wala tiba limezuka, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukujuza. Gonjwa hilo liitwalo Chikungunya, linasambazwa na virusi wa jamii ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani