Steps wadai filamu za nje zinaua soko la movie za kibongo
Kampuni ya usambazaji wa filamu nchini, Steps Entertainment imesema kuongeza kwa filamu za nje nchini kumeharibu soko la filamu za wasanii wa ndani.
Akizungumza na Bongo5 jana, meneja wa makoso wa Steps, Kambarage Ignatus alisema uwezo wa Steps umeshuka kutoka kwenye kusambaza filamu 14 kwa mwezi hadi filamu 6 mpaka 8.
“Filamu za nje zimeharibu soko, sisi tunauza filamu shilingi 4000-5000, filamu za nje zinauzwa shilingi 700-1000. Sisi wateja wetu wengi ni third class halafu ni wanawake na...
Bongo5
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo514 Dec
Wapeni movie nzuri, wabongo wanaweza kwenda kuangalia filamu za kibongo kwenye majumba ya sinema
![12356420_957636774330521_1441234626_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/12356420_957636774330521_1441234626_n-300x194.jpg)
Jumamosi hii nilipata bahati ya kwenda kuangalia filamu ya Going Bongo kwenye jumba la sinema la Century Cinemax lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam.
Going Bongo ni filamu pekee iliyochezwa na Watanzania, inayooneshwa hapo. Kwa wiki hii filamu zingine zinazooneshwa ni pamoja na The Peanut Movie, The Good Dinosaur, Tamasha, Spectre, Hate Story 3, In The Heart of The Sea na zingine.
Mimi niliangia kuangalia Going Bongo kuanzia saa mbili usiku, ikiwa ni siku ya pili tangu ianze...
10 years ago
MichuziBodi ya Filamu yakutana na Viongozi wa Kampuni ya Steps kujadili Maendeleo ya Tansia ya Filamu Nchini.
11 years ago
Tanzania Daima24 Jun
Wema aziponda filamu za Kibongo
STAA wa filamu za Bongo, Wema Sepetu, amesema filamu nyingi za Bongo ni za makochi na juisi, hivyo kwa sasa ameamua kuja tofauti. Akizungumza jijini Dar es Salaam juzi, Wema...
10 years ago
CloudsFM06 Feb
JB amtaja ‘’muuaji’ wa filamu za Kibongo
‘’Unajua zamani filamu zilikuwa chache sana ndiyo maana kila shabiki alikuwa anaitafuta sana filamu ndiyo maana zilikuwa na thamani lakini sasa hivi...
10 years ago
Bongo Movies25 Feb
Filamu za Kibongo za Zidi Kupasua Anga!
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.
"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii .BongoMovie ..MkeMchafu humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake . but lengo lakuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I...
10 years ago
Bongo Movies09 Dec
JB ajibu 'post' iliyowekwa na Zamaradi kuhusu filamu za kibongo - "Tatizo liko wapi" ?
Baada ya mwanadada mdau wa filamu nchini, Zamaradi mketema kufunguka yake juu ya filamu za bongo – bongomovies, hatimaye mwigizaji mkongwe nchini Jacob Steven - JB ameamua kuandika haya yafuatayo hapo chini kuelezea baadhi ya mambo anayohoji Zamaradi kama ifuatavyo.
“Kwako Zamaradi na wengine wote.
Kwanza napenda niwashukuru wote kwa jinsi mnavyotuwazia mema. Naomba nichukue nafasi hii kuwapongeza waigizaji wote wa Tz na waandaaji wa filamuU kwa kuthubutu kutengeneza filamu hizi...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-5bXsj43xcyc/U8WPwECJWYI/AAAAAAAF2iw/VX9qPxCIcvo/s72-c/unnamed7.jpg)
Wajue Baadhi ya Actors wa Kimarekani Walioshirikiana na Ma Actors wa Kibongo kwenye movie ya Cultural Wars
![](http://3.bp.blogspot.com/-5bXsj43xcyc/U8WPwECJWYI/AAAAAAAF2iw/VX9qPxCIcvo/s1600/unnamed7.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-6lyrXgDZLdQ/U8WPuBWPWBI/AAAAAAAF2io/KI-V7aXHZ20/s1600/unnamed1.jpg)
Ili kuwajua BOFYA HAPA
Jipatie DVD kupitia: www.create.space.com/405841www.amazon.com/dp/B00LEX1DRG
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Wasambazaji wa Filamu za nje watakiwa kufuata sheria ya Ukaguzi wa Filamu!
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bibi. Joyce Fissoo akisisitiza jambo juu ya Sheria ya Ukaguzi wa Filamu nchini kwa baadhi ya wawakilishi wa Wasambazaji wa Filamu za nje nchini wakati walipokutana ofisini kwake jana jijini Dar es Salaam.
Na: Frank Shija, WHVUM
[DAR ES SALAAM] Wasambazaji wa Filamu za nje wametakiwa kuwasilisha filamu wanazosambaza katika ofisi za Bodi ya Filamu kwa ajili ya ukaguzi mapema ifikapo tarehe 30 mezi huu.
Agizo hilo limetolewa na Katibu Mtendaji wa Bodi...
10 years ago
Bongo Movies15 Sep
Hii ndio filamu ya Kibongo itakaayoneshwa kwenye jumba la cinema la Mlimani City kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu.
Kwa mara nyingine tena wapenzi wa bongo movies tunatapa fursa ya kwenda kuangalia moja ya kazi za kipekee na ubunifu zaidi kwenye Tasnia ya filamu nchini. Kwa wakazi wa jijini Dar es Salaam, basi tukutane pale kwenye jumba la cinema la mlimani city kuanzia tarehe 19 mpaka 25 mwezi huu kutazama filamu mpya na ya Kipekee Samaki mchangani. iliyotengenezwa na kampuni ya Kijiweni production chini ya usimamizi wa mtayarishaji Wlison Rumisha.
"Filamu hii inaanza na siku ya faraja kwa ajili ya...