Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sudan kuwa mwenyeji wa Cecafa 2016

Sudan ndiyo itakayokuwa mwenyeji wa michuano ya Kombe la Cecafa mwaka huu, Shirikisho la Soka Afrika Mashariki na Kati limetangaza.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

BBC

Sudan named as 2016 Cecafa Cup hosts

Sudan will host this year's 2016 Council of East and Central Africa Football Association Senior Challenge Cup.

 

9 years ago

Vijimambo

ZANZIBAR MWENYEJI WA MKUTANO WA MAONESHO YA ZAO LA KAHAWA KWA MARA YA KWANZA MWAKANI 2016

Viongozi wa Wizara ya Biashara Zanzibar wakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi wakimsubiri Mgeni Rasmin kumpokea wakiwa katika viwanja vya Hoteli ya Serena Shangani Zabnzibar.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja Mhe Abdallah Mwinyi Khamis alipowasili katika viwanja vya Hoteli ya Serena Shangani Zanzibar kwa ajili ya Uzinduzi wa Mkutano wa Maonesho ya Kahawa unaotarajiwa kufanyika mwakati Febuari 2016, utafanyika kwa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Cameroon kuwa mwenyeji wa S.Leone

Cameroon imekubali kuandaa mikondo yote mbili ya mechi ya kufuzu kwa dimba la AFCON2015 dhidi ya Sierra Leone

 

11 years ago

Michuzi

Tanzania kuwa mwenyeji wa mashindano ya karate.

Na Rose Masaka-MAELEZO Umoja wa Wapiganaji wa Sanaa ya Mapigano Duniani (UPAM) unaandaa shindano la kimataifa la wapiganaji ambalo linatarajiwa kufanyika nchini kati ya Mwezi Desemba mwaka huu na mwanzoni mwa mwaka ujao kutokana na ruhusa itakayotolewa na Serikali kwa mamlaka zinazohusika. Kauli hiyo imetolewa leo na Rais wa UPAM Prof. Maurizi Mardina alipokuwa akiongea na waandishi wa habari jijini Dar es salaam Profesa Mardina amesema kuwa mchezo wa kupigana ni mchezo mzuri ambao unahitaji...

 

9 years ago

BBC

South Sudan in Cecafa Cup last eight

South Sudan qualify for the quarter-finals of the 2015 Cecafa Senior Challenge Cup in Ethiopia after beating Malawi on Friday.

 

9 years ago

BBCSwahili

CECAFA: Malawi yaichapa Sudan.

Michuano ya CECAFA CHALENJI CUP inaendelea kushika kasi huko Ethiopia, huku Malawi ikiifunga Sudan 2-1.

 

9 years ago

Michuzi

MWANZA KUWA MWENYEJI WA MAOMBI YA KUMWOMBEA JPM.

Na Nyakongo Manyama-MAELEZO

Mkoa wa Mwanza unatarajiwa kuwa mwenyeji wa mkutano wa kumwombea Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli na Taifa kwa ujumla.
Maombi hayo yanatarajiwa kufanyika Jumatano ya wiki ijayo katika Viwanja vya Furahisha. Kauli hiyo imetolewa na Mwenyekiti wa  Good News For All Ministry  Askofu Dkt.Charles Gadi wakati wa mkutano wake na waandishi wa wahabari leo jijini Dar es salaam.
Amesema kuwa wanachukua fursa hiyo kumuombea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Kenya na Sudan kumenyana fainali cecafa

Timu za Kenya na Sudan zimefuzu kucheza fainali za CECAFA 2013 baada ya kushinda mechi zao za nusu fainali

 

9 years ago

BBCSwahili

Sudan, Rwanda zasonga mbele Cecafa

Timu mbili za Sudan na Rwanda zimefuzu kwa hatua ya nusu fainali ya michuano ya Cecafa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani