Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumatra yarahisisha usafiri kufika Sabasaba

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imetoa ruksa kwa daladala zinazofanya safari zake katika njia nyingine kwenda hadi Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), ili kusaidia usafirishaji wa abiria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB YARAHISISHA MAISHA VIWANJA VYA SABASABA

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kutembelea Maonyesho ya 39 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB inatoa huduma za kibenki katika maonyesho hayo ikiwa ni pamoja na kufungua akaunti kwa wateja wapya na kutoa huduma za kuweka na kutoa fedha katika tawi linalotembea iliyopo katika viwanja vya Sabasaba. Kushoto ni Mkurugenzi wa Masoko, Utafiti na Huduma (Na Mpiga Picha Wetu) 
  Mkurugenzi...

 

10 years ago

StarTV

CHAKUA waitaka Sumatra kuruhusu Daladala kufika Kivukoni.

Na Winifrida Ndunguru,

Dar es Salaam.

 

Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimeitaka SUMATRA, Jeshi la polisi usalama barabarani pamoja na Manispaa ya jiji kukifuta kituo cha Mnazi mmoja kuwa cha kuanzia na kumalizia safari na badala yake kirudishwe kama ilikuwa hapo awali.

Aidha CHAKUA kinaishauri serikali kuruhusu mabasi ya njia nyingine kufika barabara ya kivukoni ili kuondoa usumbufu kwa abiria wa kulipa nauli mara mbili.

Suala la baadhi ya mabasi kutoa tiketi ambayo haina...

 

11 years ago

Mwananchi

USAFIRI: Sumatra yaiamuru Uda kushusha nauli

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetoa amri kwa Shirika la Usafiri Dar es Salaam kutoza viwango sawa vya nauli  kama vinavyotozwa na daladala za kawaida.

 

10 years ago

Habarileo

Sumatra yazuia vyombo vya usafiri wa majini

MAMLAKA ya Usafirishaji wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imevizuia kutoa huduma kwa muda usiojulikana vyombo vyote vya usafirishaji wa majini vya mkoani hapa hadi hapo vitakapokaguliwa.

 

10 years ago

Habarileo

Wizara yarahisisha mawasiliano

Kamishna wa Madini, Paul MasanjaWIZARA ya Nishati na Madini imeandaa mkakati wa mawasiliano katika sekta ndogo ya gesi na mafuta ili kusaidia upashanaji wa habari zinazohusu sekta hiyo.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Brela yarahisisha usajili jina la biashara

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetangaza kupunguzwa kwa muda wa usajili wa jina la biashara. Sasa usajili wa jina la biashara utafanyika kwa saa nane za kazi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Precision air yarahisisha malazi kwa wateja wake

KATIKA jitihada za kuboresha huduma kwa wateja wake, shirika la ndege la Precision Air (PW), limeingia ubia na tovuti ya Jovago.com barani Afrika kwa ajili ya kurahisisha huduma ya malazi...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mamlaka ya usafiri wa anga yadhamini kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la kimataifa la usafiri wa anga — ICAO

05

Kaimu Mkurugenzi  Mkuu wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) Charles Chacha(kushoto) akiongea wakati wa uzinduzi wa kongamano la mafunzo ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege. katikati ni Meneja mratibu wa safari za ndege Afrika Frederic Legrand, Kongamano hilo linazihusisha nchi za Afrika linafanyika hapa nchini kwa  siku tatu kuanzia leo...

 

10 years ago

Michuzi

MAMLAKA YA USAFIRI WA ANGA YA DHAMINI KONGAMANO LA MAFUNZO YA MFUMO MPYA WA SHIRIKA LA KIMATAIFA LA USAFIRI WA ANGA (ICAO)

Afisa wa Kanda ya Afrika wa ICAO Papa Issa Mbengue (kushoto)akisisitiza jambo juu ya mfumo mpya wa shirika la Kimataifa la usafiri wa Anga (ICAO) lenye kulenga ufanisi wa wataalamu wa kuongoza ndege ,vyombo vya usafiri wa anga pamoja na mitambo ya kuongonzea ndege wakati wa Kongamano la mafunzo ya ufanisi wa masuala ya uongozaji wa ndege linalofanyika kwa siku tatu katika hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam kwa udhamini wa Mamlaka ya usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) wanaomsikiliza ni ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani