Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


CHAKUA waitaka Sumatra kuruhusu Daladala kufika Kivukoni.

Na Winifrida Ndunguru,

Dar es Salaam.

 

Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimeitaka SUMATRA, Jeshi la polisi usalama barabarani pamoja na Manispaa ya jiji kukifuta kituo cha Mnazi mmoja kuwa cha kuanzia na kumalizia safari na badala yake kirudishwe kama ilikuwa hapo awali.

Aidha CHAKUA kinaishauri serikali kuruhusu mabasi ya njia nyingine kufika barabara ya kivukoni ili kuondoa usumbufu kwa abiria wa kulipa nauli mara mbili.

Suala la baadhi ya mabasi kutoa tiketi ambayo haina...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Chama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI

Mwenyekiti wa Chama cha Kutetea Abiria Taifa(Chakua),Hassan Mhanjama akionyesha barua kwa waandishi wa habari  (hawapo pichani) ambazo wamejibiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka).

Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kituo cha Kivukoni kurejea — Sumatra

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imewataka wananchi kutosikiliza uvumi kuwa kituo cha daladala Kivukoni hakitarudishwa hadi utakapoanza utaratibu wa mabasi yaendayo kasi. Akizungumza na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Daladala kurejea Posta, Kivukoni

MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetangaza kurejesha safari za daladala kwenda Kivukoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Mfawidhi...

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yarahisisha usafiri kufika Sabasaba

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imetoa ruksa kwa daladala zinazofanya safari zake katika njia nyingine kwenda hadi Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), ili kusaidia usafirishaji wa abiria.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yafunga kituo cha daladala Mwenge D’Salaam

Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) imetangaza kuhamisha kituo maarufu cha daladala cha Mwenge kwenda eneo la Makumbusho.

 

5 years ago

Bongo5

Sumatra yatoa ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho-Mnazi Mmoja

Mamlaka ya Udhibiti na Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (SUMATRA), imetolea ufafanuzi wa nauli za daladala kwa njia ya Makumbusho- Mnazi mmoja kupitia Kambarage, Shekilango na Kigogo.

Ifuatayo ni taarifa ya mchanganuo wa nauli za daladala katika maeneo hayo;

Na Emmy Mwaipopo

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!Share on Whatsapp

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chakua nao walalamikia uteuzi wa JK

CHAMA cha Kutetea Abiria (CHAKUA) kimeungana na baadhi ya taasisi za kidini katika kupinga uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kuzibagua taasisi...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Chakua: UDA haina leseni ya usafirishaji

CHAMA cha Kutetea Abiria (Chakua), kimeitaka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kuyakamata magari ya Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), kutokana na kampuni hiyo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani