Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Chakua: UDA haina leseni ya usafirishaji

CHAMA cha Kutetea Abiria (Chakua), kimeitaka Mamlaka ya Udhibiti Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), kuyakamata magari ya Kampuni ya Usafiri Dar es Salaam (UDA), kutokana na kampuni hiyo...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Chakua nao walalamikia uteuzi wa JK

CHAMA cha Kutetea Abiria (CHAKUA) kimeungana na baadhi ya taasisi za kidini katika kupinga uteuzi uliofanywa na Rais Jakaya Kikwete kwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba kwa kuzibagua taasisi...

 

10 years ago

Michuzi

MAKALA SHERIA: HAITOSHI KUUNDA KAMPUNI, LAZIMA UWE NA LESENI YA BIASHARA, HII NI NAMNA YA KUPATA LESENI YA BIASHARA

Na   Bashir     Yakub
Katika  makala  iliyopita  nilisema  kuwa  vijana  wengi   wajasiriamali  wanaofungua   biashara  za  makampuni   wanao  uwezo  mkubwa   wa kufika mbali   isipokuwa  tatizo  lao  ni  taarifa za  mambo  mbalimbali   kuhusu uendeshaji  wa  kampuni   hizo. 
 Mambo  ya uendeshaji   wa  kampuni  ni  mepesi sana  na  yanawezwa   na  mtu  yeyote isiopokuwa   tatizo   ni   taarifa   na  elimu ya  namna  ya  uendeshaji  kisheria   ili   kampuni   ionekane  ni kampuni.  Nilieleza...

 

10 years ago

StarTV

CHAKUA waitaka Sumatra kuruhusu Daladala kufika Kivukoni.

Na Winifrida Ndunguru,

Dar es Salaam.

 

Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimeitaka SUMATRA, Jeshi la polisi usalama barabarani pamoja na Manispaa ya jiji kukifuta kituo cha Mnazi mmoja kuwa cha kuanzia na kumalizia safari na badala yake kirudishwe kama ilikuwa hapo awali.

Aidha CHAKUA kinaishauri serikali kuruhusu mabasi ya njia nyingine kufika barabara ya kivukoni ili kuondoa usumbufu kwa abiria wa kulipa nauli mara mbili.

Suala la baadhi ya mabasi kutoa tiketi ambayo haina...

 

10 years ago

Michuzi

Chama Cha Kutetea Abiria (CHAKUA) YAITAKA SUMATRA KUSHUSHA NAULI KWA DALADALA NA MABASI YA MIKOANI

Mwenyekiti wa Chama cha Kutetea Abiria Taifa(Chakua),Hassan Mhanjama akionyesha barua kwa waandishi wa habari  (hawapo pichani) ambazo wamejibiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra) katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo Jijini Dar es Salaam.(Picha na Emmanuel Massaka).

Na Chalila Kibuda.
Chama Cha Kutetea Abiria (Chakua) kimesema kuwa kutokana na bei ya mafuta kushuka nchini nauli ya daladala na nauli ya mabasi mikoani inatakiwa kushuka kwa asilimia...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bandari kurahisisha usafirishaji

MAMLAKA ya Bandari nchini kwa kushirikiana na wadau wa maendeleo, imeandaa utaratibu wa kuanzisha teknolojia mpya ya kimataifa itakayotumika kurahisisha shughuli za usafirishaji katika bandari ya Dar es Salaam. Akizungumza...

 

11 years ago

Tanzania Daima

NBS na mageuzi ya usafirishaji

UNAPOZUNGUMZIA kampuni kongwe za usafirishaji abiria na mizigo ndani ya nje ya Mkoa wa Tabora, huwezi kuacha kuitaja kampuni ya NBS Classic Co. Ltd ‘The Pride of Tabora’. Kampuni hiyo...

 

10 years ago

Habarileo

Usafirishaji wa reli waikwaza TPA

Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA, Awadhi Massawe KUSHUKA kwa kiwango cha uondoshaji mizigo bandarini kwa njia ya reli kutoka asilimia 10 mwaka 2008 hadi kufikia asilimia moja hivi sasa, kumeathiri uwezo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kuweza kushindana kikamilifu na bandari za jirani.

 

10 years ago

Vijimambo

USAFIRISHAJI MIZIGO DAR NA ZANZIBAR

TUMA BIASHARA ZAKO KWA NJIA YA BAHARI AMBAYO NI NAFUU KWA UZITO WOWOTE ULE, CONTAINER LETU LINAONDOKA MWISHONI MWA  FEBRUARY, KWA TAARIFA ZAIDI WASILIANA NASI KWA CONTACT HIZO HAPO JUU

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani