Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Daladala kurejea Posta, Kivukoni

MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetangaza kurejesha safari za daladala kwenda Kivukoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Mfawidhi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kituo cha Kivukoni kurejea — Sumatra

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imewataka wananchi kutosikiliza uvumi kuwa kituo cha daladala Kivukoni hakitarudishwa hadi utakapoanza utaratibu wa mabasi yaendayo kasi. Akizungumza na...

 

10 years ago

StarTV

CHAKUA waitaka Sumatra kuruhusu Daladala kufika Kivukoni.

Na Winifrida Ndunguru,

Dar es Salaam.

 

Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimeitaka SUMATRA, Jeshi la polisi usalama barabarani pamoja na Manispaa ya jiji kukifuta kituo cha Mnazi mmoja kuwa cha kuanzia na kumalizia safari na badala yake kirudishwe kama ilikuwa hapo awali.

Aidha CHAKUA kinaishauri serikali kuruhusu mabasi ya njia nyingine kufika barabara ya kivukoni ili kuondoa usumbufu kwa abiria wa kulipa nauli mara mbili.

Suala la baadhi ya mabasi kutoa tiketi ambayo haina...

 

9 years ago

Dewji Blog

Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam

Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Usafiri Kivukoni warejea

MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema kuanzia leo usafiri wa mabasi ya kwenda Kivukoni na Mnazi Mmoja unaanza rasmi. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...

 

11 years ago

Habarileo

Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano

SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.

 

11 years ago

GPL

UCHAFU WAONGEZEKA SOKO LA SAMAKI KIVUKONI DAR

Wazoa taka wakiwa kazini katika soko hilo.…

 

11 years ago

Michuzi

MATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera ( kulia) akionesha kitu wakati Meneja wa Tanrords Mkoa wa Morogoro, Mhandisi Dorothy Mtenga ( kushoto ) akiangalia eneo la maji lililijaa katika mto  Kilombero mei 5, mwaka huu, wakati Mkuu huyo wa Mkoa na kamati yake ya Ulinzi na Usalama ya Mkoa ilipotembelea eneo la Kivukoni kuona madhara ya mafuriko. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, akiwa ndani ya boti kwenye mto Kilombero , mei 5, mwaka huu ,tayari kuanza safari ya kurejea eneo sehemu ya...

 

11 years ago

Michuzi

TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo

 Taswira za barabara ya Kivukoni Drive jijini Dar es salaam inayoendelea kukarabatiwa na kujengwa njia ya mabasi yaendayo haraka. Hapa ni nje ya Mahakama Kuu

 

10 years ago

Dewji Blog

DC Ilala, Orijino Komedi washiriki wiki ya Mazingira kata ya Kivukoni

 Mkuu wa Wilaya ya Ilala, Raymond Mushi (kushoto) akishiriki zoezi la usafi katika fukwe ya Bahari ya Hindi eneo la Aga Khan kata ya Kivukoni ikiwa ni maadhimisho ya wiki ya Mazingira huku akishirikiana na viongozi wa kampuni iliyopewa zabuni ya kusafisha manispaa ya Ilala Green Waste Pro Ltd pamoja na wafanyakazi wa manispaa ya Ilala jana asubuhi. Wa pili kushoto ni Meneja wa mwendeshaji wa kampuni ya  Green Waste Pro Ltd, Abdallah Mbena.    Mkurugenzi wa Green WastePro Ltd Ndg. Mark...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani