Daladala kurejea Posta, Kivukoni
MAMLAKA ya Usafirishaji Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imetangaza kurejesha safari za daladala kwenda Kivukoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na Tanzania Daima jijini Dar es Salaam jana, Ofisa Mfawidhi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima31 Dec
Kituo cha Kivukoni kurejea — Sumatra
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imewataka wananchi kutosikiliza uvumi kuwa kituo cha daladala Kivukoni hakitarudishwa hadi utakapoanza utaratibu wa mabasi yaendayo kasi. Akizungumza na...
10 years ago
StarTV24 Dec
CHAKUA waitaka Sumatra kuruhusu Daladala kufika Kivukoni.
Na Winifrida Ndunguru,
Dar es Salaam.
Chama cha kutetea Abiria Tanzania CHAKUA kimeitaka SUMATRA, Jeshi la polisi usalama barabarani pamoja na Manispaa ya jiji kukifuta kituo cha Mnazi mmoja kuwa cha kuanzia na kumalizia safari na badala yake kirudishwe kama ilikuwa hapo awali.
Aidha CHAKUA kinaishauri serikali kuruhusu mabasi ya njia nyingine kufika barabara ya kivukoni ili kuondoa usumbufu kwa abiria wa kulipa nauli mara mbili.
Suala la baadhi ya mabasi kutoa tiketi ambayo haina...
9 years ago
Dewji Blog10 Oct
Posta waadhimisha Siku ya Posta Duniani jijini Dar es Salaam
Wafanyakazi na wadau wa Shirika la Posta nchini (TPC), wa ndani na nje ya nchi wakiwa katika Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Posta Duniani kwenye jengo la Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA), jijini Dar es Salaam jana. Maadhimisho hayo, huadhimishwa duniani kote Oktoba 9. (Picha zote na Kassim Mbarouk- www.bayana.blogspot.com)
Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa Shirika la Posta Tanzania (TPC), Elia Madulesi (kulia), akiteta jambo na mmoja wa Maofisa wa shirika hilo, wakati...
11 years ago
Tanzania Daima13 Feb
Usafiri Kivukoni warejea
MAMLAKA ya Udhibiti wa Usafiri wa Majini na Nchi Kavu (Sumatra), imesema kuanzia leo usafiri wa mabasi ya kwenda Kivukoni na Mnazi Mmoja unaanza rasmi. Akizungumza na Tanzania Daima jijini...
11 years ago
Habarileo31 May
Ufinyu wa bajeti wakwamisha barabara ya Kivukoni -Makutano
SERIKALI kwa sasa haina mpango wa kuijenga kwa kiwango cha lami barabara ya kutoka Kivukoni Kinesi -Makutano Kinesi hadi Kuruya katika barabara kuu ya Mwanza hadi Sirari kutokana na ufinyu wa bajeti ya serikali.
11 years ago
GPL11 years ago
MichuziMATUKIO YA KUKATIKA KWA MAWASILIANO YA BARABARA YA KIVUKONI CHA KILOMBERO
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s72-c/IMG_2763.jpg)
TASWIRA YA BARABARA YA KIVUKONI FRONT JIJINI DAR ES SALAAM LEo
![](http://1.bp.blogspot.com/-E0jCD6ZrPlc/UxR7DQiaVCI/AAAAAAAFQys/y5swYSrOd9s/s1600/IMG_2763.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-FqZ6szqbug4/UxR7DifudlI/AAAAAAAFQyw/UB_O_FRe1QM/s1600/IMG_2764.jpg)
10 years ago
Dewji Blog04 Jun
DC Ilala, Orijino Komedi washiriki wiki ya Mazingira kata ya Kivukoni