Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Brela yarahisisha usajili jina la biashara

WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetangaza kupunguzwa kwa muda wa usajili wa jina la biashara. Sasa usajili wa jina la biashara utafanyika kwa saa nane za kazi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Usajili jina la biashara sasa warahisishwa

Mchakato wa kusajili jina la biashara kwa sasa utakamilika ndani ya saa nane za kazi badala ya zaidi ya siku saba kama awali.

 

9 years ago

Michuzi

KIKWETE AIPONGEZA BRELA KWA USAJILI WA KISASA

 Na Mwandishi wetu, Dar es SalaamRais Jakaya Kikwete (Pichani)ameridhishwa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kwa hatua iliyofikiwa ya kuweza kusajili jina la biashara kwa njia ya mtandao na kupata cheti ndani ya saa moja.
“Hatua hii ya BRELA ni nzuri, wanastahili pongezi na wengine waige,” alisema Dkt. Kikwete kwenye mkutano wa Nane wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Pongezi za Dkt. Kikwete zilikuja wakati wa kipindi cha majadiliano juu...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Brela na harakaki za kusajili majina ya biashara

HIVI karibuni, kuhusu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wake na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi ilitangaza siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa...

 

5 years ago

Michuzi

BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO

Wakala ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewahimiza Mama lishe wa Mkoa wa Pwani kurasimisha biashara zao kwa kuzisajili ili waweze kulinda biashara zao na kupata fursa mbalimbali.

Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.

Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...

 

10 years ago

Michuzi

BIASHARA NI MATANGAZAO NA JINA LENYE MVUTO....

 Hapa ni Makuyuni, DodomaHapa ni Kondoa

 

9 years ago

Habarileo

Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao

RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.

 

10 years ago

Habarileo

Wizara yarahisisha mawasiliano

Kamishna wa Madini, Paul MasanjaWIZARA ya Nishati na Madini imeandaa mkakati wa mawasiliano katika sekta ndogo ya gesi na mafuta ili kusaidia upashanaji wa habari zinazohusu sekta hiyo.

 

11 years ago

Mwananchi

Sumatra yarahisisha usafiri kufika Sabasaba

>Mamlaka ya Udhibiti wa Usafiri wa Nchi Kavu na Majini (Sumatra), imetoa ruksa kwa daladala zinazofanya safari zake katika njia nyingine kwenda hadi Viwanja vya Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (DITF), ili kusaidia usafirishaji wa abiria.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani