Brela yarahisisha usajili jina la biashara
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetangaza kupunguzwa kwa muda wa usajili wa jina la biashara. Sasa usajili wa jina la biashara utafanyika kwa saa nane za kazi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi25 Jun
10 years ago
Mwananchi12 Sep
Usajili jina la biashara sasa warahisishwa
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-WnyBEbtezs8/Ve0LwS0CcOI/AAAAAAAH26g/aV2D-wsBT7s/s72-c/images.jpg)
KIKWETE AIPONGEZA BRELA KWA USAJILI WA KISASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-WnyBEbtezs8/Ve0LwS0CcOI/AAAAAAAH26g/aV2D-wsBT7s/s1600/images.jpg)
“Hatua hii ya BRELA ni nzuri, wanastahili pongezi na wengine waige,” alisema Dkt. Kikwete kwenye mkutano wa Nane wa Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) hivi karibuni jijini Dar es Salaam.
Pongezi za Dkt. Kikwete zilikuja wakati wa kipindi cha majadiliano juu...
10 years ago
Tanzania Daima04 Nov
Brela na harakaki za kusajili majina ya biashara
HIVI karibuni, kuhusu Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kupitia Ofisa Mtendaji Mkuu wake na Msajili wa Makampuni, Frank Kanyusi ilitangaza siku 90 kwa wamiliki na wakurugenzi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4OMEg3JkJgg/XlpouShYxiI/AAAAAAALgIQ/OhJgsn2PH7cw9EIwIcqX5n0fOr3yr_OJACLcBGAsYHQ/s72-c/98187af8-e45f-4bef-9220-2c2cc6833f3c.jpg)
BRELA YAWATAKA MAMA LISHE KURASIMISHA BIASHARA ZAO
Rai hiyo imetolewa katika Tamasha la Mama Lishe festival lililofanyika siku ya jana tarehe 28 Februari 2020, kwenye Viwanja vya Shule ya Sekondari Chanzige, Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani.
Akizungumza katika Tamasha hilo Msaidizi wa Usajili Mwandamizi kutoka BRELA, Bi. Leticia Zavu amebainisha kwamba mara...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p0Yu2kEradQ/VAymwna7A_I/AAAAAAAGhQU/-9zKwY7v_Tk/s72-c/IMG_0193.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao
RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.
10 years ago
Habarileo24 Jun
Wizara yarahisisha mawasiliano
WIZARA ya Nishati na Madini imeandaa mkakati wa mawasiliano katika sekta ndogo ya gesi na mafuta ili kusaidia upashanaji wa habari zinazohusu sekta hiyo.
11 years ago
Mwananchi04 Jul
Sumatra yarahisisha usafiri kufika Sabasaba