Usajili jina la biashara sasa warahisishwa
Mchakato wa kusajili jina la biashara kwa sasa utakamilika ndani ya saa nane za kazi badala ya zaidi ya siku saba kama awali.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Tanzania Daima12 Sep
Brela yarahisisha usajili jina la biashara
WAKALA wa Usajili wa Biashara na Leseni (Brela) umetangaza kupunguzwa kwa muda wa usajili wa jina la biashara. Sasa usajili wa jina la biashara utafanyika kwa saa nane za kazi...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-p0Yu2kEradQ/VAymwna7A_I/AAAAAAAGhQU/-9zKwY7v_Tk/s72-c/IMG_0193.jpg)
9 years ago
Habarileo03 Oct
Kikwete azindua usajili biashara kwa mtandao
RAIS Jakaya Kikwete amezindua huduma ya usajili jina la biashara kwa njia ya mtandao inayotolewa na Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni Nchini (BRELA), ambayo imeondoa mazingira ya rushwa na kuokoa muda.
9 years ago
Bongo528 Dec
Mr Blue adai jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa alilianzisha yeye!
![10576220_206062963068992_1265041402_n](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/10576220_206062963068992_1265041402_n-300x194.jpg)
Mr Blue anadai chake.. kwa mujibu wa Kabayser, jina ‘Simba’ analotumia Diamond sasa kwenye post zake kwenye mitandao ya kijamii alilianzisha yeye wiki kadhaa zililopita baada ya kupewa na mashabiki wake.
“Naikumbuka hii post niliipost miezi saba iliyopita pale watu waliponiita jina la simba…ila inanishangaza kuona baada ya muda watu wengi wakijiita jina hili …hiii inanionesha kuwa mi ni mbunifu wa hali ya juu..na watu husubiri mimi nifanye ili waige….#mfanowakuigwa$,” Blue ameandika kwenye...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-vSH-9VHCLi0/VHw9GxUKFQI/AAAAAAAG0fg/gKnCA1K7wWU/s72-c/African-Barrick-Gold1.jpg)
Kampuni ya AFRICAN BARRICK GOLD yabadili jina,sasa kuitwa “Acacia”
![](http://2.bp.blogspot.com/-vSH-9VHCLi0/VHw9GxUKFQI/AAAAAAAG0fg/gKnCA1K7wWU/s1600/African-Barrick-Gold1.jpg)
Acacia ni mti ambao ndiyo chimbuko la jina letu jipya, ni mti unaonekana kuwa ni...
10 years ago
Michuzi25 Jun
11 years ago
Bongo504 Aug
Agnes Masogange apata uraia wa Afrika kusini na kubadili jina, sasa aitwa ‘Thando’
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s72-c/iStock_000019688253Small-2.jpg)
JE UNAITAMBUA SIRI YA HERUFI YA MWANZO YA JINA LAKO BASI SOMA HAPA KUIJUA SASA
![](http://3.bp.blogspot.com/-42hoMhp4nWg/VSy0OJFmK-I/AAAAAAABLdE/jwX7WPi12Cg/s1600/iStock_000019688253Small-2.jpg)
HERUFI AMwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira.
HERUFI BMwenye jina linaloanziana na herufi B ni mtu, mkarimu, muaminifu, na hupenda kazi. Ni Jasiri, shujaa na mkatili katika vita au pale anapotaka kulinda vilivyo katika himaya yake.
HERUFI CMwenye jina linaloanziana na herufi C ni mtu wa...
11 years ago
Michuzi25 Jul