Sumaye asifu uadilifu wa January, amtaka atoke CCM
Waziri Mkuu wa zamani wa serikali ya awamu ya tatu, Frederick Sumaye amemsifu mgombea ubunge wa Jimbo la Bumbuli kupitia CCM, January Makamba na kusema kuwa haelewi kwa nini anaendelea kungang’nia CCM wakati yeye si fisadi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://2.bp.blogspot.com/-moDlZ1DiB-o/Tt8BR5pv-AI/AAAAAAAAAok/gVt3oYxgVeU/s1600/Kikwete503.jpg?width=650)
MIAKA 38 YA CCM NA FALSAFA YA RAIS BORA LAZIMA ATOKE CCM
11 years ago
Tanzania Daima14 Jul
VITA YA URAIS 2015: Sumaye amvaa January Makamba
WAZIRI Mkuu wa zamani, Frederick Sumaye, amewashukia wale wanaotumia kete ya umri kuwania urais na kwamba, hawafai kuwa viongozi wa taifa la Tanzania. Kauli hiyo, inaonekana ni kujibu mapigo ya...
11 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwenyekiti CCM amtaka DC amwombe radhi
10 years ago
Habarileo14 Jan
Mzee mkoani Dodoma aipa somo la uadilifu CCM
MMOJA wa wazee wa mkoa wa Dodoma Athumani Makole (66) amesema kama Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinapenda kuaminiwa na kuendelea kuongoza nchi ni lazima kwenye Uchaguzi Mkuu ujao wachaguliwe viongozi waadilifu watakaofanya kazi kwa uaminifu ili kurudisha imani yao kwa wananchi.
9 years ago
Mtanzania21 Sep
Sumaye: CCM haishindi
*Asema mizani haijalalia upande mmoja, aponda utafiti wa Makamba
HERIETH FAUSTINE NA TUNU NASSOR, DAR ES SALAAM
WAZIRI Mkuu mstaafu, Frederick Sumaye, amesema endapo haki itatendeka kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka huu, Chama Cha Mapinduzi (CCM) hakitashinda kwa sababu mwaka huu mizani haijalalia upande mmoja kama ilivyozoeleka.
Sumaye aliyasema hayo jana wakati akihojiwa moja kwa moja katika kipindi cha Funguka na Kituo cha Televisheni cha Azam, jijini Dar es Salaam.
Alisema endapo kanuni na...
9 years ago
TheCitizen09 Sep
Nagu : CCM still needs Sumaye
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
CCM wamkemea January Makamba
KAULI ya Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba, ya kuwataka wazee waachane na mbio za urais 2015 kwa madai kuwa ni zamu ya vijana, imeelezwa kuwa ni...
9 years ago
Mwananchi30 Aug
Sumaye ajibu mapigo ya CCM
9 years ago
Mzalendo Zanzibar13 Sep
Sumaye aibua mazito CCM
Waziri Mkuu Mstaafu, Fredrick Sumaye akihutubia mkutano wa kampeni za mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Edward Lowassa uliyofanyika Manyoni, Singida juzi. Na Thobias Mwanakatwe 13th September 2015 Kipindi cha utawala wa CCM […]
The post Sumaye aibua mazito CCM appeared first on Mzalendo.net.