Sumaye atetea takrima
WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amewananga wanaomuita kuwa muasisi wa takrima akidai kuwa uelewa wao ni mdogo juu ya suala hilo. Wiki iliyopita, Sumaye akiwa katika ibada ya harambee ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies28 Jun
Thea Atetea Chipukizi
Ndumbangwe Misayo ‘THEA’ ametaka wasanii chipukizi wathaminiwe katika fani hiyo kwani wana umuhimu wao katika utengenezaji wa Filamu pia.
Akizungumza na safu hii katikati ya wiki, Thea alisema kila msanii ana thamani yake kutokana na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe kulingana na kazi zao badala ya kuwawekea vizuizi vinavyokwamisha maendeleo ya vipaji vyao .
"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu na wasanii ambao ...
10 years ago
Habarileo28 Mar
AG atetea wabunge wapya
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, George Masaju ametetea uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, wa kuteua wabunge wawili wakati zimebaki siku chache kabla ya kuvunjwa Bunge, huku Spika wa Bunge Anne Makinda, akisema hawatapata kiinua mgongo sawa.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Akitanda atetea kura ya wazi
10 years ago
Mwananchi30 Aug
Maximo atetea uwezo wa Jaja
10 years ago
Tanzania Daima16 Sep
Ngeleja atetea mjadala wa Katiba
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...
11 years ago
Habarileo12 Jul
Askofu atetea uwepo wa Lowassa
RAIS wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amemtetea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akisema alihudhuria jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wake kwa sababu alialikwa kama walivyoalikwa viongozi wengine.
11 years ago
Habarileo03 Jan
Warioba atetea mfumo wa serikali 3
MWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.
11 years ago
Tanzania Daima22 Jun
Mbasa atetea pensheni ya wazee
MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima28 May
Pinda atetea mbio za mwenge
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alitetea mbio za mwenge wa uhuru kwa kusema zinahamasisha jamii ione umuhimu wa kujitolea katika shughuli za maendeleo. Pinda alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...