Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sumaye atetea takrima

WAZIRI Mkuu mstaafu Frederick Sumaye amewananga wanaomuita kuwa muasisi wa takrima akidai kuwa uelewa wao ni mdogo juu ya suala hilo. Wiki iliyopita, Sumaye akiwa katika ibada ya harambee ya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Thea Atetea Chipukizi

Ndumbangwe  Misayo  ‘THEA’ ametaka  wasanii  chipukizi  wathaminiwe  katika  fani  hiyo  kwani  wana umuhimu wao katika  utengenezaji wa Filamu pia.        

Akizungumza  na  safu  hii  katikati  ya  wiki,  Thea  alisema  kila msanii ana  thamani  yake  kutokana  na nafasi yake katika kazi ya Filamu . Hivyo ametaka wathaminiwe  kulingana na kazi zao  badala  ya  kuwawekea  vizuizi vinavyokwamisha  maendeleo  ya  vipaji  vyao .    

"MIMI nimeshirikishwa katika Filamu  na  wasanii  ambao ...

 

10 years ago

Habarileo

AG atetea wabunge wapya

Mwanasheria Mkuu wa Serikali, George MasajuMWANASHERIA Mkuu wa Serikali, George Masaju ametetea uamuzi wa Rais Jakaya Kikwete, wa kuteua wabunge wawili wakati zimebaki siku chache kabla ya kuvunjwa Bunge, huku Spika wa Bunge Anne Makinda, akisema hawatapata kiinua mgongo sawa.

 

11 years ago

Mwananchi

Akitanda atetea kura ya wazi

Mjumbe wa Bunge la Katiba ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha CCK, Costantine Akitanda, ameunga mkono kura ya wazi kwa madai kuwa itawawezesha wananchi kutambua msimamo wa viongozi wao.

 

10 years ago

Mwananchi

Maximo atetea uwezo wa Jaja

Kocha wa Yanga, Marcio Maximo amesisitiza kuwa mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’ ana umuhimu kwa timu hiyo na kama kuna shabiki ana mashaka asubiri ligi itakapoanza.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Ngeleja atetea mjadala wa Katiba

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, William Ngeleja, amesema mjadala wa katiba mpya ni mjadala wenye tija kwa taifa na watanzania kwa ujumla. Ngeleja ambaye pia ni Mbunge wa Sengerema,...

 

11 years ago

Habarileo

Askofu atetea uwepo wa Lowassa

RAIS wa Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, Askofu Tarcisius Ngalalekumtwa amemtetea Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akisema alihudhuria jubilee ya miaka 25 ya uaskofu wake kwa sababu alialikwa kama walivyoalikwa viongozi wengine.

 

11 years ago

Habarileo

Warioba atetea mfumo wa serikali 3

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph WariobaMWENYEKITI wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba ametetea mfumo wa serikali tatu, ambazo umependekezwa kwenye Rasimu ya Katiba, kuwa utapunguza gharama za uendeshaji wa Serikali ya Muungano kuliko ilivyo sasa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbasa atetea pensheni ya wazee

MBUNGE wa Biharamulo, Dk. Anthony Mbasa (CHADEMA), amesema kamwe serikali haiwezi kufanya jambo lolote la maana pasipo kuongeza pensheni za wazee na kuwalipa kwa wakati. Dk. Mbasa alitoa kauli hiyo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pinda atetea mbio za mwenge

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda, jana alitetea mbio za mwenge wa uhuru kwa kusema zinahamasisha jamii ione umuhimu wa kujitolea katika shughuli za maendeleo. Pinda alitoa kauli hiyo bungeni jana alipokuwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani