Suspend RUBADA for probe, PAC directs
IPPmediaSuspend RUBADA for probe, PAC directs
IPPmedia
The Public Accounts Committee (PAC) has ordered that the Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) be suspended immediately to pave the way for investigation over apparent misuse of public funds. PAC chairman Zitto Kabwe said yesterday that the ...
IPPmedia
Habari Zinazoendana
10 years ago
TheCitizen21 Jan
PAC directs TRA, Treasury to roll out 2014 Vat Act
11 years ago
IPPmedia22 May
Speaker directs probe into UDA ownership controversy
IPPmedia
IPPmedia
A few days after the government and Simon Group - each claimed the ownership of Dar es Salaam Transport Company (UDA); the Parliament has now directed Parliamentary Committee on Ethics, Privilege and Powers to conduct a thorough investigation of ...
10 years ago
Mtanzania09 Apr
Vigogo Rubada wasimamishwa
![Steven Wassira](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Stephen-Wassira-300x180.jpg)
Waziri wa kilimo, chakula na ushirika Steven Wassira
Na Arodia Peter, Dar es Salaam
SERIKALI imewasimamisha kazi vigogo watatu wa Mamlaka ya Ustawishaji Bonde la Mto Rufiji (Rubada) kwa muda usiofahamika.
Vigogo hao wamesimamishwa kazi baada ya kutuhumiwa kwa ubadhilifu wa zaidi ya Sh bilioni 2.3.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliwataja vigogo hao ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Aloyce Masanja, Mkurugenzi wa Mipango...
10 years ago
Habarileo09 Apr
Vigogo 3 wasitishwa kazi Rubada
KAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Aloyce Masanja na wenzake wawili wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kujilimbikizia madaraka.
11 years ago
Habarileo02 May
RUBADA wahimizwa kutimiza malengo
WAJUMBE wa Bodi ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada), wamehimizwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika muda wao wa miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa mamlaka hiyo.
10 years ago
Mwananchi09 Apr
Wasira asimamisha vigogo watatu Rubada
11 years ago
Tanzania Daima02 May
Chiza aipa changamoto Bodi Rubada
WAJUMBE wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada) wametakiwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika kipindi chao cha miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa...
10 years ago
TheCitizen09 Apr
Top Rubada officials in Sh2.6bn scandal
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-62bVmKZQx40/VSUuzlVsAPI/AAAAAAAHPnU/WrJL2WJrZLw/s72-c/unnamed%2B(58).jpg)
Waziri Wasira awasimamisha kazi watendaji watatu wa RUBADA
Akitoa agizo hilo leo mbele ya Waandishi wa Habari, Waziri Wasira aliwataja Watendaji hao kuwa ni Bwana Aloyce L. Masanja – Kaimu Mkurugenzi Mkuu; Bibi Tabu Ndatulu – Mkurugenzi wa...