Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Vigogo Rubada wasimamishwa

Steven Wassira

Waziri wa kilimo, chakula na ushirika  Steven Wassira

Na Arodia Peter, Dar es Salaam
SERIKALI imewasimamisha kazi vigogo watatu wa Mamlaka ya Ustawishaji Bonde la Mto Rufiji (Rubada) kwa muda usiofahamika.
Vigogo hao wamesimamishwa kazi baada ya kutuhumiwa kwa ubadhilifu wa zaidi ya Sh bilioni 2.3.
Akizungumza na waandishi wa habari Dar es Salaam jana, Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen Wasira, aliwataja vigogo hao ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Aloyce Masanja, Mkurugenzi wa Mipango...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Vigogo 3 wasitishwa kazi Rubada

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Stephen WassiraKAIMU Mkurugenzi wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Aloyce Masanja na wenzake wawili wamesimamishwa kazi kwa tuhuma za ubadhirifu wa fedha na kujilimbikizia madaraka.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasira asimamisha vigogo watatu Rubada

Wizara ya Kilimo na Chakula imewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana wakurugenzi watatu wa Mamlaka ya Ustawishaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada), baada ya kukutwa na tuhuma mbalimbali.

 

9 years ago

Habarileo

Vigogo wa Ocean Road, DART wasimamishwa

MAWAZIRI wawili jana ‘walitumbua majipu’ baada ya kutangaza kusimamishwa kazi kwa Mtendaji Mkuu wa Mradi wa Mabasi yaendayo Haraka (DART), Asteria Mlambo na Kaimu Mkurugenzi wa Taasisi ya Saratani ya Ocean Road, Dk Diwani Msemo, wote wakipisha uchunguzi dhidi yao.

 

10 years ago

Habarileo

Vigogo H/shauri Kilolo wasimamishwa kazi

Rukia MuwangoHALMASHAURI ya wilaya ya Kilolo, mkoani Iringa imewasimamisha kazi kwa muda usiojulikana, vigogo wake wanne ili kupisha uchunguzi wa tuhuma zinazoelekezwa dhidi yao.

 

11 years ago

Habarileo

RUBADA wahimizwa kutimiza malengo

WAJUMBE wa Bodi ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada), wamehimizwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika muda wao wa miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa mamlaka hiyo.

 

10 years ago

IPPmedia

Suspend RUBADA for probe, PAC directs


IPPmedia
Suspend RUBADA for probe, PAC directs
IPPmedia
The Public Accounts Committee (PAC) has ordered that the Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) be suspended immediately to pave the way for investigation over apparent misuse of public funds. PAC chairman Zitto Kabwe said yesterday that the ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Chiza aipa changamoto Bodi Rubada

WAJUMBE wa Bodi mpya ya Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (Rubada) wametakiwa kutimiza malengo yote waliyojiwekea katika kipindi chao cha miaka mitatu kwa kuongeza ufanisi zaidi wa...

 

10 years ago

TheCitizen

Top Rubada officials in Sh2.6bn scandal

The government yesterday sacked senior officials of the Rufiji Basin Development Authority (Rubada) and put them under investigation over the disappearance of more than Sh2.3 billion development funds.

 

10 years ago

Michuzi

Waziri Wasira awasimamisha kazi watendaji watatu wa RUBADA

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mheshimiwa, Stephen M. Wasira (Mb), ametangaza kuwasimamisha kazi watendaji watatu wa Mamlaka ya Kuendeleza Bonde la Mto Rufiji (Yaani Rufiji River Basin Development Authority – RUBADA) kutokana na tuhuma mbalimbali za ubadhirifu wa fedha za umma na matumizi mabaya ya madaraka.
Akitoa agizo hilo leo mbele ya Waandishi wa Habari, Waziri Wasira aliwataja Watendaji hao kuwa ni Bwana Aloyce L. Masanja – Kaimu Mkurugenzi Mkuu; Bibi Tabu Ndatulu – Mkurugenzi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani