Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SWAGG ZA SUTI.


Je, unafahamu suti za harusi zinaweza kuwa za rangi aina yoyote? Kijivu, nyeupe, nyeusi, buluu iliyokolea, buluu ya bahari au hata rangi ya maziwa?
Hivi unafahamu unaweza fanya ubunifu kwa kuzi customize suti hizo?
Angalia tofauti ya mishono ya suti hizi, wamechanganya double na single breast.

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo5

Music: Fred Swagg — Nimewaka

Fred Swage 2

Rapper Fred Swagg kutoka Mwanza ameachia wimbo mpya unaitwa “Nimewaka”. Producer Day Dream

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

 

9 years ago

Dewji Blog

Fred Swagg aachia ‘Nimewaka’ mtandaoni

IMG-20151102-WA0031

Na Modewjiblog, team

Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki Bongo, Fredrick  Kalala ama jina la usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni  ‘NIMEWAKA’  au ‘Nimelewa’.

Akizungumza na Modewjiblog kwa njia ya simu kutoka jijini Mwanza,  Fred Swagg  mkali wa vibao vya Maandishi  alichowashirikisha Younf Killer na Kad Go.   Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo mpya  wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya rap,  ni maalum kwa watu wa rika zote hasa  sehemu za...

 

11 years ago

Mwananchi

Suti inavyoweza kukufanya uonekane nadhifu

Suti ni moja mavazi ambayo huwafanya wanaume wa rika zote kuonekani nadhifu.Licha ya sifa hiyo, baadhi ya vijana huona vazi hilo kama sumu kutokana na mwonekano wake kubadilika, huku wengi wakiamini kwamba watu wenye umri mkubwa ndiyo wanaopaswa kuvaa suti.

 

10 years ago

GPL

WAFUKUA KABURI, WAMVUA MAITI SUTI

Stori: Gabriel Ng’osha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi ambao wamebomoa kaburi la marehemu Napegwa Kishaluli (75), mkazi wa Mailimoja Kibaha na kuutoa mwili wake kisha kuiba suti, viatu na soksi alizokuwa amevalishwa. Kaburi likiwa wazi baada ya kufukuliwa. Habari za kipolisi kutoka mkoani Pwani  zinasema kuwa, marehemu alizikwa Aprili 20, mwaka huu lakini siku saba baadaye...

 

10 years ago

Vijimambo

SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?

The suit wasn't the problem, it was the lack of attention to detail, he may do the same thing which  is the no one does.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani