Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Music: Fred Swagg — Nimewaka

Fred Swage 2

Rapper Fred Swagg kutoka Mwanza ameachia wimbo mpya unaitwa “Nimewaka”. Producer Day Dream

Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Fred Swagg aachia ‘Nimewaka’ mtandaoni

IMG-20151102-WA0031

Na Modewjiblog, team

Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki Bongo, Fredrick  Kalala ama jina la usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni  ‘NIMEWAKA’  au ‘Nimelewa’.

Akizungumza na Modewjiblog kwa njia ya simu kutoka jijini Mwanza,  Fred Swagg  mkali wa vibao vya Maandishi  alichowashirikisha Younf Killer na Kad Go.   Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo mpya  wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya rap,  ni maalum kwa watu wa rika zote hasa  sehemu za...

 

11 years ago

Bongo5

Nay wa Mitego kuachia wimbo mpya ‘Nimewaka’, video kushoot Dubai au US!

Nay wa Mitego anatarajia kuachia wimbo wake mpya uitwao ‘Nimewaka’ ambapo pia ametoa sababu ya kuachia nyimbo mfululizo. Nay akiwasili Mwanza kwenye Fiesta Nay ambaye aliachia wimbo wa Mr Nay hivi karibuni ameiambia Bongo5 kuwa inambidi aachie wimbo mpya ili kuwapa mashabiki muziki ambao adai wanaupenda. “Kiukweli kabisa mimi nina mashabiki wengi na wa aina […]

 

10 years ago

Vijimambo

SWAGG ZA SUTI.


Je, unafahamu suti za harusi zinaweza kuwa za rangi aina yoyote? Kijivu, nyeupe, nyeusi, buluu iliyokolea, buluu ya bahari au hata rangi ya maziwa?
Hivi unafahamu unaweza fanya ubunifu kwa kuzi customize suti hizo?
Angalia tofauti ya mishono ya suti hizi, wamechanganya double na single breast.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Fred M’membe matatani tena Zambia

MWANDISHI wa habari nguli wa Zambia ambaye amekuwa mara kwa mara akiingia kwenye misukosuko na serikali karibu zote ambazo zimepata kuundwa Zambia, amekamatwa tena, safari hii chini ya serikali mpya ya sasa inayoongozwa na Rais Edgar Lungu.

Amekamatwa wakati kukiwa na matukio kadhaa yanayotibua uongozi bora na utawala wa sheria nchini humo.

Katikati ya mwezi huu, makundi ya watu waliokuwa na silaha yalivamia mikutano inayohutubiwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani, Hakainde...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani