Fred M’membe matatani tena Zambia
MWANDISHI wa habari nguli wa Zambia ambaye amekuwa mara kwa mara akiingia kwenye misukosuko na serikali karibu zote ambazo zimepata kuundwa Zambia, amekamatwa tena, safari hii chini ya serikali mpya ya sasa inayoongozwa na Rais Edgar Lungu.
Amekamatwa wakati kukiwa na matukio kadhaa yanayotibua uongozi bora na utawala wa sheria nchini humo.
Katikati ya mwezi huu, makundi ya watu waliokuwa na silaha yalivamia mikutano inayohutubiwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani, Hakainde...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo521 Oct
Jose Mourinho huenda akajikuta matatani tena
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s72-c/_MG_1724.jpg)
BREAKING NYUZZZZZ: BENKI YA STANBIC TANZANIA MATATANI TENA
![](http://3.bp.blogspot.com/-iyDyWgzFp8Y/Vl2hBaEQW_I/AAAAAAAIJh0/zB0_sjqDyr0/s640/_MG_1724.jpg)
Amesema kuwa Benki kuu ilifanya ukaguzi wa benki hiyo na mambo mengine walibaini malipo yasiyokuwa ya kawaida kuhusiana na kampuni ya kitanzania inayoitwa Egma,malipo...
10 years ago
Vijimambo03 Feb
SUGE KNIGHT MATATANI TENA, ASHITAKIWA KWA MAUAJI
![](http://api.ning.com/files/kHZNBDqH1Zg9-qgJLW*qlUANVVbhmnpb63hQA6qPNeGQiPlTZZ3VtIjot-IRCBWxDLslb*ReZrvBUdktlmhJ*uLViS5njMfj/fatal.jpg?width=650)
ALIYEKUWA mwanamuziki wa Rap nchini Marekani, Marion "Suge" Knight ameshitakiwa kwa mauaji na jaribio la kutaka kuua baada ya kumgonga mtu mmoja na gari lake hadi kumuua na baadaye kutoroka.
Iwapo itathibitika kuwa alifanya makosa hayo, Suge anaweza kuhukumiwa kifungo cha maisha jela.
Polisi wanasema kuwa Knight alijibizana na watu wawili wiki iliyopita katika eneo la kuegesha magari huko Compton, Los Angeles na baadaye...
10 years ago
VijimamboMWENYEKITI WA CHADEMA IRINGA MJINI AINGIA MATATANI TENA, AMTUKANA MWENYEKITI WAKE WA MKOA, ASHITAKIWA
MWENYEKITI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoa wa Iringa Mustapher Msowela amemshitaki mwenyekiti wa chama hicho jimbo la Iringa Mjini, Frank Nyalusi ambaye jana jeshi la Polisi lilifanikiwa kumtia nguvuni kabla ya kuachiwa kwa dhamana.Nyalusi aliyeshitakiwa katika kituo cha Polisi cha kati cha mjini Iringa jana, anatuhumiwa kumtusi...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s72-c/HS.jpg)
HOJA MTAMBUKA: MEMBE ACHANA NA NDOTO KUBALI YAISHE, MUDA SI RAFIKI KWAKO TENA NA HUNA UBAVU WA KUMNYANYUA DK. MAGUFILI KWENYE KITI CHA URAIS
![](https://1.bp.blogspot.com/-O5-YbPMRe24/Xu-NcOK7KSI/AAAAAAACOEw/GbcYspEzT7YvxJhaqbQnPtBZU73UKDv_ACLcBGAsYHQ/s200/HS.jpg)
Kwa uwezo na maarifa ya Membe kwa taifa alipaswa kuwa mstari wa mbele kueneza mambo mazuri yanayofanywa na serikali na si kuwa sehemu ya kuanzisha taharuki zisizokuwa na mantiki kwa taifa na hasa sisi vijana, ambao tunaamini wao ndio wakutuongoza vyema na si...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-iMzXMcHxuWs/U7uLnf3zC6I/AAAAAAAFw_Y/TP0FNkaGr8Q/s72-c/image.jpeg)
BALOZI WA TANZANIA NCHINI ZAMBIA AKUTANA NA WATANZANIA WAJASIRIAMALI WAISHIO NDOLA ZAMBIA
Katika mkutano huo, Watanzania walikuwa na mengi ya kumweleza Mhe Balozi kupitia risala...
9 years ago
Bongo504 Nov
Music: Fred Swagg — Nimewaka
![Fred Swage 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Fred-Swage-2-300x194.jpg)
Rapper Fred Swagg kutoka Mwanza ameachia wimbo mpya unaitwa “Nimewaka”. Producer Day Dream
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
5 years ago
Michuzi![](https://img.youtube.com/vi/8tjwliudYpQ/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Fred Swagg aachia ‘Nimewaka’ mtandaoni
Na Modewjiblog, team
Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki Bongo, Fredrick Kalala ama jina la usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni ‘NIMEWAKA’ au ‘Nimelewa’.
Akizungumza na Modewjiblog kwa njia ya simu kutoka jijini Mwanza, Fred Swagg mkali wa vibao vya Maandishi alichowashirikisha Younf Killer na Kad Go. Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo mpya wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya rap, ni maalum kwa watu wa rika zote hasa sehemu za...