FRED MWANJALA WA MAELEZO TV ATEMBELEA UDOM
![](https://img.youtube.com/vi/8tjwliudYpQ/default.jpg)
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi13 Aug
Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) atembelea vitengo vya Mawasiliano Serikalini
![](https://3.bp.blogspot.com/-sD8ZVd9p_Mo/U-ttQWIoc8I/AAAAAAABsQY/sDcpjk4WrhI/s1600/IMG_9656.jpg)
Afisa Habari wa Wizara ya Maji na Umwagiliaji Bw. Dennis Kiilu akimueleza jambo Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah Mwambene (hayupo pichani) wakati wa Ziara ya Mkurugenzi huyo katika Vitengo vya Mawasiliano Serikalini yenye lengo la kuangalia utendaji kazi na ufanisi wa vitengo hivyo katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila siku leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Afisa Habari wa Wizara hiyo Bi. Fatuma Malende
![](https://1.bp.blogspot.com/-rQwCcA4ydH8/U-ttaXvmYHI/AAAAAAABsQg/dHC8rdvO8WA/s1600/IMG_9678.jpg)
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) Bw. Assah...
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-R5XjpaarlVc/VC_Mr9kNtyI/AAAAAAAGnto/dsSJ-t_nHQc/s1600/u2.jpg)
JK ATEMBELEA CHUO CHA SAYANSI YA AFYA UDOM, AFUNGA KIKAO KAZI CHA VIONGOZI DODOMA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s72-c/unnamed%2B(25).jpg)
Zaidi ya wanafunzi 60,000 wa UDOM kufurahia Airtel WI-FI - Airtel yazinduzi mnara wa pili UDOM
![](http://4.bp.blogspot.com/-ovEfPauQmFo/VUKsJ9rBw_I/AAAAAAAHUak/zFFDqECj9Ag/s1600/unnamed%2B(25).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-5Xo0SpqrF7E/VUKsKXlPpMI/AAAAAAAHUao/Xu0zraAuctc/s1600/unnamed%2B(26).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BSuXIHP3ZuQ/VUKsKVRqL_I/AAAAAAAHUas/6Tq65ZnsvSc/s1600/unnamed%2B(27).jpg)
9 years ago
Bongo504 Nov
Music: Fred Swagg — Nimewaka
![Fred Swage 2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Fred-Swage-2-300x194.jpg)
Rapper Fred Swagg kutoka Mwanza ameachia wimbo mpya unaitwa “Nimewaka”. Producer Day Dream
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
9 years ago
Dewji Blog03 Nov
Fred Swagg aachia ‘Nimewaka’ mtandaoni
Na Modewjiblog, team
Mwanamuziki anayekuja kwa kasi katika tasnia ya muziki Bongo, Fredrick Kalala ama jina la usanii akijulikana zaidi, Fred Swagg ameachia wimbo mpya mtandaoni ‘NIMEWAKA’ au ‘Nimelewa’.
Akizungumza na Modewjiblog kwa njia ya simu kutoka jijini Mwanza, Fred Swagg mkali wa vibao vya Maandishi alichowashirikisha Younf Killer na Kad Go. Ameeleza kuwa katika wimbo wake huo mpya wa Nimewaka, upo katika mahadhi ya rap, ni maalum kwa watu wa rika zote hasa sehemu za...
10 years ago
Raia Tanzania31 Jul
Fred M’membe matatani tena Zambia
MWANDISHI wa habari nguli wa Zambia ambaye amekuwa mara kwa mara akiingia kwenye misukosuko na serikali karibu zote ambazo zimepata kuundwa Zambia, amekamatwa tena, safari hii chini ya serikali mpya ya sasa inayoongozwa na Rais Edgar Lungu.
Amekamatwa wakati kukiwa na matukio kadhaa yanayotibua uongozi bora na utawala wa sheria nchini humo.
Katikati ya mwezi huu, makundi ya watu waliokuwa na silaha yalivamia mikutano inayohutubiwa kiongozi wa chama kikuu cha upinzani, Hakainde...
9 years ago
Mwananchi08 Oct
Fred Minziro apigiwa chapuo kurejea Yanga
10 years ago
MichuziErick na Fred Omondi kutumbuiza Siku Ya Msanii
![](http://3.bp.blogspot.com/-hP1nocqZma8/VEDYHZQjAoI/AAAAAAAGrJ8/6fvu2wDUplY/s1600/Eric-Omondi.jpg)
Mratibu wa Siku Ya Msanii, Justin Jones...