Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Suti inavyoweza kukufanya uonekane nadhifu

Suti ni moja mavazi ambayo huwafanya wanaume wa rika zote kuonekani nadhifu.Licha ya sifa hiyo, baadhi ya vijana huona vazi hilo kama sumu kutokana na mwonekano wake kubadilika, huku wengi wakiamini kwamba watu wenye umri mkubwa ndiyo wanaopaswa kuvaa suti.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!

Nawatakia heri ndugu zangu Waislam popote duniani ambao mpo katika funga ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Mwenyezi Mungu awajalie, maana mnatimiza moja ya nguzo muhimu katika imani na Inshallah Mola awafanyie wepesi muweze kutekeleza vyema. Sasa turejee katika mada yetu ambayo naamini itawafumbua wengi. Watu wote wana umuhimu wa kuingia kwenye ndoa lakini kuna tofauti kidogo, kwamba mwanamke anasubiri kufuatwa na mwanaume, wakati...

 

10 years ago

Vijimambo

SWAGG ZA SUTI.


Je, unafahamu suti za harusi zinaweza kuwa za rangi aina yoyote? Kijivu, nyeupe, nyeusi, buluu iliyokolea, buluu ya bahari au hata rangi ya maziwa?
Hivi unafahamu unaweza fanya ubunifu kwa kuzi customize suti hizo?
Angalia tofauti ya mishono ya suti hizi, wamechanganya double na single breast.

 

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 2

KUNA wasichana wengi sana wanatamani kuingia kwenye ndoa. Kila siku wanalia. Wanaingia kwenye uhusiano na wanaume na baada ya muda mfupi wanashangaa wanaachwa!Tatizo ni nini? Wanajiuliza lakini majibu hawapati, wanabaki na tamaa mioyoni mwao. Ndoto inaendelea kuwa ndoto ambayo haitimii siku zote. Hiyo ndiyo sababu iliyonifanya niandike mada hii.Je, wewe msichana mwenye ndoto ya kuolewa, unampa sababu mwanaume wako akuoe? Ndugu...

 

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 3

MACHOZI siyo suluhisho la matatizo. Baadhi ya watu wamekuwa wakilia sana baada ya kukutana na mambo ambayo hawaoni njia za kutokea. Kifupi kulia siyo tiba, zaidi unaweza kuwa unajiumiza badala ya kutafuta utatuzi. Hata katika suala la ndoa, ambalo linawaumiza vichwa vijana wengi wakati mwingine huwatoa machozi. Ninachotaka kukuambia ni kwamba kulia siyo mwisho wa tatizo, kikubwa ni kutafuta njia za kukomesha machozi yako....

 

11 years ago

GPL

MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 4

UNAWEZA kuwa kwenye uhusiano ukashangaa ghafla umeachwa bila sababu za msingi. Siku chache baadaye unaingia kwenye uhusiano ambao nao unaishia kuachwa kwenye mataa.Wapo baadhi ya wasichana wamekuwa na vilio vya namna hiyo. Kila siku wamekuwa wakilia na kusaga meno katika uhusiano wa kimapenzi. Hawana amani kabisa na maisha yao yameharibika. Dada yangu mpendwa, huna haja ya kuwaza mengi kichwani mwako, inawezekana kuna makosa...

 

10 years ago

GPL

NJIA 3 ZA KUKUFANYA UPATE ELIMU BORA KUHUSU MAPENZI

Awali ya yote naomba niseme kwamba, safu hii ni kwa ajili yako wewe msomaji wangu. Huenda una jambo ambalo ungetamani nilijadili hapa au labda una tatizo linalokukosesha amani katika maisha yako ya kimapenzi, usisite kunitumia ujumbe kupitia namba zangu hapo juu nami nitakufanya uwe na amani. Mpenzi msomaji wangu, nilishawahi kusema huko nyuma kwamba mapenzi yanachukua sehemu kubwa sana ya maisha yetu ya kila siku.Tunafanya kazi...

 

10 years ago

GPL

WAFUKUA KABURI, WAMVUA MAITI SUTI

Stori: Gabriel Ng’osha
Jeshi la Polisi Mkoa wa Pwani linawasaka watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi ambao wamebomoa kaburi la marehemu Napegwa Kishaluli (75), mkazi wa Mailimoja Kibaha na kuutoa mwili wake kisha kuiba suti, viatu na soksi alizokuwa amevalishwa. Kaburi likiwa wazi baada ya kufukuliwa. Habari za kipolisi kutoka mkoani Pwani  zinasema kuwa, marehemu alizikwa Aprili 20, mwaka huu lakini siku saba baadaye...

 

10 years ago

Vijimambo

SIDHANI KAMA SHIDA NI SUTI AU WEWE UNASEMAJE?

The suit wasn't the problem, it was the lack of attention to detail, he may do the same thing which  is the no one does.

 

10 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Vua suti ujitwishe debe la dhahabu

Tanzania ina kila aina ya vituko. Muuza nguo anakuletea shati, badala ya kutaja bei anakuuliza “unataka kununua shilingi ngapi?” Una dhahabu mkononi, unapotaka kuiuza mnunuzi haangalii ina ubora au daraja gani. Anakuuliza “dhahabu hii imefanana na ya nani?” Kama inafanana na ile ya Juma utalipwa kama alivyolipwa Juma. Kama imefanana na aliyouza Mr. Smith basi nawe utalipwa kama alivyolipwa Mr. Smith.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani