MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 4
![](http://api.ning.com:80/files/DBD4PE5EidWSLZahzQUjEOCWFf4bE6isZFXdxHqlhxz6nkZ2mTfXzFetbkXUuvXRbOGSeye5Sy4WMKJ45hrd9NxNcyhP*zyz/MAHABA.jpg?width=650)
UNAWEZA kuwa kwenye uhusiano ukashangaa ghafla umeachwa bila sababu za msingi. Siku chache baadaye unaingia kwenye uhusiano ambao nao unaishia kuachwa kwenye mataa.Wapo baadhi ya wasichana wamekuwa na vilio vya namna hiyo. Kila siku wamekuwa wakilia na kusaga meno katika uhusiano wa kimapenzi. Hawana amani kabisa na maisha yao yameharibika. Dada yangu mpendwa, huna haja ya kuwaza mengi kichwani mwako, inawezekana kuna makosa...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/MOGlnOwPxepALQnbZO*I7Pw6f3UOSSS8APBebiJKhun2QwtyxQPyy460CfLu6KlkQHj-pywA0NgXB5jGnreHLxaPwh8MD3qi/mahaba.jpg?width=650)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 2
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/v4Ts6wAJqDrrMgQ4WHaz9-RNt4nfv-zlz7LSQX8W7GqBfYyxHNogYrI9UK5FWLdKq-5vQS5O3Gp7rNT4GazIAh02W9HOW38A/mahaba.jpg)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA! – 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/c2nk1pk6akRsClMUlkc1stKwPN2sal25ZOBfh5jjn*U4YRzJCU2DhLqQLQ4xg5rREMDdl8PWhvtPW6w-*N*T-exZfqSoT-jz/mahaba.jpg)
MPE SABABU ZA KUKUFANYA WAKE WA MAISHA!
9 years ago
Global Publishers31 Dec
Kuoa wake wanne sawa, lakini mpe mkeo haki yake!
Asalam alaikum wapenzi wasomaji wangu wote ambao mmekuwa pamoja katika mada zangu ninazotoa kila wiki, kwa wale wagonjwa poleni sana.
Leo nimeamua kuja na mada hii kwa sababu nimepata malalamiko kutoka kwa msomaji wangu aliyeamua kunywa sumu baada ya kuona mume wake ameoa bila kumwambia na kusubiri kuambiwa na jirani yake aliyempelekea umbeya.
Hivi wanaume mnadhani ni sahihi kuoa bila kuwaandaa wake zenu? Je, dini inasemaje katika suala hili, hakika kama wewe ni muumini wa dini inayoruhusu...
11 years ago
GPLTOP 5 MISS DAR CITY CENTER WAPATIKANA –MAISHA CLUB
5 years ago
BBCSwahili07 Apr
Muigizaji atishiwa maisha yake kwa sababu ya kudansi
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Je unazijua sababu zinazokufanya ufanye mambo mbalimbali unayoyafanya katika maisha?
10 years ago
Michuzi22 Aug
KIKONGWE WA MIAKA 76 AAMUA KUJITENGENEZEA JENEZA LAKE MWENYEWE KWA SABABU YA UGUMU WA MAISHA
Maalbino wanakatwa viungo vyao kwa visingizio vya kupata utajiri kwa watu wasiokuwa na huruma, watoto wadogo wananyimwa haki zao na kuwekwa ndani ya maboksi na wengine...