HEKAYA ZA MLEVI: Vua suti ujitwishe debe la dhahabu
Tanzania ina kila aina ya vituko. Muuza nguo anakuletea shati, badala ya kutaja bei anakuuliza “unataka kununua shilingi ngapi?†Una dhahabu mkononi, unapotaka kuiuza mnunuzi haangalii ina ubora au daraja gani. Anakuuliza “dhahabu hii imefanana na ya nani?†Kama inafanana na ile ya Juma utalipwa kama alivyolipwa Juma. Kama imefanana na aliyouza Mr. Smith basi nawe utalipwa kama alivyolipwa Mr. Smith.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi22 Mar
HEKAYA ZA MLEVI: Uzalendo siyo ugaidi
11 years ago
Mwananchi05 Jul
HEKAYA ZA MLEVI: Maajabu haya yapo Tanzania tu...
11 years ago
Mwananchi15 Feb
HEKAYA ZA MLEVI: Nikilewaga na pombe yangu inamwagika
10 years ago
Mwananchi25 Oct
HEKAYA ZA MLEVI: Paka shume sina jalala...
11 years ago
Mwananchi03 May
HEKAYA ZA MLEVI: Ni wajibu kuwajibika pasi na kutukanika
11 years ago
Mwananchi01 Feb
HEKAYA ZA MLEVI: Eti, mwanangu acheze picha ya ngono?
11 years ago
Mwananchi03 Aug
HEKAYA ZA MLEVI: Ujana maji moto, uzee maji baridi
9 years ago
StarTV17 Nov
Ukosefu Soko La Vitunguu Swaumu lasababisha Debe mbili kuthamanishwa kwa debe moja
Ukosefu wa soko la uhakika la Vitunguu Swaumu umesababisha wakulima wa zao hilo kuingia hasara baada ya wanunuzi kuwataka wauze debe mbili kwa malipo ya debe moja.
Wakulima wa Vitunguu Swaumu katika eneo la Ilula wilayani Kilolo mkoani Iringa wamesema changamoto hiyo inawakwamisha kutokana na kilimo hicho kutokuwa mkombozi kwao.
Vitunguu swaumu ni jamii ya vitunguu ambayo ilianza kutumika duniani kwa zaidi ya miaka 100 iliyopita, na nchi za awali kabisa kulitumia zao hili zinatajwa kuwa...
11 years ago
Mwananchi01 Jun
‘JK vua koti la CCM, vaa la urais’