Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


HEKAYA ZA MLEVI: Nikilewaga na pombe yangu inamwagika

>Ama kweli shibe mwana malevya. Wazungu walikuwa na usemi wa “Too much of anything is harmful.” Chochote kile kinapozidi huzua madhara. Sherehe zikizidi kazi haitafanyika na kazi ikizidi mapumziko yatakosekana.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Uzalendo siyo ugaidi

>Wabantu kuichukulia salamu kuwa ni habari kamili. Kule Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, usishangae kuulizwa kuku na bata “waghonile”?

 

10 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Paka shume sina jalala...

>Mtu mzima anapoambiwa kuwa na mambo ya kitoto, anaweza kupasuka. Siyo kama mtoto ni mjinga saaaaaana, hapana. Ila mtoto huwaza kidogo, kufurahi sana na kupumzika zaidi.

 

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Ni wajibu kuwajibika pasi na kutukanika

Mtu akikwambia kuwa una akili za kitoto, nenda kamshtaki. Sina uhakika kama kuna kifungu cha sheria kinachohalalisha mashtaka ya aina hiyo, ama nianze maombi ya kulipenyeza hilo ndani ya Bunge Maalumu la Katiba. Lakini mtu mzima kuambiwa ana akili za kitoto si jambo dogo.

 

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Maajabu haya yapo Tanzania tu...

>Mungu aliiumba dunia na vyote vilivyomo ndani ya siku sita tu. Katika vyote vilivyoumbwa, binadamu ndiye aliyekuwa wa mwisho kabisa. Akina ngiri, kuku na sisimizi walitutangulia. Mgomba, muhogo na mwembe tulivikuta vikiwa tayari. Lakini upo msemo wa “wa mwisho atakuwa wa kwanza”. Huyu wa mwisho kuumbwa ndiye akateuliwa kuwa kiongozi wa kila alichokikuta.

 

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Eti, mwanangu acheze picha ya ngono?

>Maneno mengi ya Kiswahili yanarudi kama mapya baada ya kupotea kwa muda mrefu. Kwa mfano wasomaji wa Biblia Takatifu wameshakutana na neno “fisadi” katika Agano la Kale.

 

10 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Vua suti ujitwishe debe la dhahabu

Tanzania ina kila aina ya vituko. Muuza nguo anakuletea shati, badala ya kutaja bei anakuuliza “unataka kununua shilingi ngapi?” Una dhahabu mkononi, unapotaka kuiuza mnunuzi haangalii ina ubora au daraja gani. Anakuuliza “dhahabu hii imefanana na ya nani?” Kama inafanana na ile ya Juma utalipwa kama alivyolipwa Juma. Kama imefanana na aliyouza Mr. Smith basi nawe utalipwa kama alivyolipwa Mr. Smith.

 

11 years ago

Mwananchi

HEKAYA ZA MLEVI: Ujana maji moto, uzee maji baridi

>Ukubwa hauna ngoma ya utambulisho, kadhalika uzee hauna parapanda. Pindi yanapokufika basi utayaona na huna budi kuyakubali. Hayupo awaye yote aliyejaribu na kufanikiwa kukwepa majukumu haya yasiyo ya hiyari. Ukimwona mtu anayakwepa, basi uwe na uhakika kuwa anajaribu kukitoroka kivuli chake bila mafanikio.

 

10 years ago

Raia Mwema

9 years ago

Bongo5

Mwana FA: Sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote (Video)

12292738_1516860355279681_1179389451_n

Pengine hukuwa unalijua hili. Mwana FA hajawahi kuishi na baba yake katika maisha yake yote.

FA ametuambia hilo baada ya kumuuliza tofauti ya malezi aliyoyapata kutoka kwa baba yake na yale anayompa mwanae wa kike, Malikah.

“Mimi sijawahi kukaa na baba yangu maisha yangu yote,” anasema.

“Nimekuwa naruka ruka sana, mara nakaa kwa shangazi yangu, mara nakaa kwa babu yangu, kwa bibi yangu ndiyo kwetu ilikuwa, kwa shangazi yangu mwingine hivyo,” ameongeza.

“Experience niliyokuwa naiona ni kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani