Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


SWAHILI BLUES BAND YA TANZANIA YATUA ADDIS ABABA KWA MWALIKO WA DR MULATU

 Swahili Blues Band ya Tanzania ikiwa katika uwanja wa kimataifa wa Mwl JK Nyerere tayari kuanza safari ya kuelekea mjini Addis Ababa. Bendi ikikaribishwa rasmi na mwenyeji wao Dr Mulatu katika klabu ya African Jazz VillageLeo Mkanyia akihojiwa na moja ya redio ya Addis Ababa akiwa na Dr Mulatu
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte. 
Swahili Blues Band ilifika mjini...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

HISTORIA YAANDIKWA MJINI ADDIS ABABA- WHEN PRINCE OF SWAHILI BLUES MET THE LEGENDARY KING OF ETHIO JAZZ

 Hannival akipapasa zeze la Kihabeshi Timu kamili ya Ethio-Swahili  Fusion wakishambulia Juma Setumbi akipongezwa na mkongwe Dr Mulatu
Shabiki kutoka Brazil akimpongeza Dr Mulatu Leo Mkanyia akimkaribisha rasmi King of Ethio Jazz Dr Mulatu Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaa Wadada wa Kihabeshi wakitwanga Swahili Blues kihabeshi habeshi
Dr Mulatu na Leo wakishambulia jukwaaMkongwe Dr Mulatu akimtoa kamasi Leo

Siku ya Jumamosi ya tarehe 4 April 2015 mjini Addis Ababa, historia iliandikwa pale...

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI BLUES BAND YA ANZA KUJIPATIA UMAARUFU NJE YA NCHI YA TANZANIA

 Swahili Blues Band ya Tanzania ikiwa katika uwanja wa kimataifa wa Mwl JK Nyerere tayari kuanza safari ya kuelekea mjini Addis Ababa.
 Bendi ikikaribishwa rasmi na mwenyeji wao Dr Mulatu katika klabu ya African Jazz VillageLeo Mkanyia akihojiwa na moja ya redio ya Addis Ababa akiwa na Dr Mulatu
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte. 
Swahili Blues Band ilifika mjini...

 

10 years ago

Vijimambo

LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND

 Leo Mkanyia alipata mwaliko kutoka Nottingham University hili kushiriki kwenye tamasha la kuraise awareness juu ya Ebola. Leo akiwa chuoni hapo aliimba wimbo alioupa jina la "Pamoja' wimbo huo wa pamoja aliupiga kwenye tamasha hilo kwa kushirikiana na Nottingham Academy Choir. Wimbo huo pia alipata nafasi ya kurekodiwa na utakuwa tayari kwa kusambanzwa kwenye vituo vya radio hapa nchini.

  Hapa Leo akiimba wimbo huo wa pamoja na wanafunzi wa chuoni hapa kama unavyoona pembini Profesa...

 

10 years ago

Michuzi

Ziara Ya Swahili Blues Band Mjini Nairobi


Makadam na Prasad wakiwajibikaWapenzi wakipigishwa mpumwende.
Baada ya ziara ya mafanikio ya mwezi mmoja mjini Addis Ababa, bendi ya Swahili Blues chini ya uongozi wa Leo Mkanyia imefanya ziara nyingine mjini Nairobi.
Bendi hiyo yenye maskani yake katika hoteli ya nyota tano ya Serena iliyo katikati ya mji wa Dar es Salaam ilianza ziara yake katika klabu maarufu inayojulikana kama Choices iliyopo katika barabara ya Baricho kwenye kitongoji cha Industrial Area. Shoo hiyo kabambe ilifanyika siku...

 

10 years ago

Vijimambo

SWAHILI BLUES BAND WANG'A KATIKA TAMASHA LA DOADOA


Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha Watu wakisasambuka mwanzo mwisho
Leo Mkanyia Ang'aa katika Tamasha la DoaDoa
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.
Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

SWAHILI BLUES BAND WAKANDAMIZA VILIVYO KATIKA TAMASHA LA DOADOA


Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha Watu wakiserebuka mwanzo mwisho
Leo Mkanyia Ang'aa katika Tamasha la DoaDoa
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...

 

10 years ago

Michuzi

MWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO- JUMA SETUMBI ANG'ARA


Mkongwe Dr Mulatu akijituma

Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyake
Dr Mulatu na Leo wakishebedue
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.

Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...

 

10 years ago

Vijimambo

MWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO NCHINI ETHIOPIA- JUMA SETUMBI ANG'ARA


Mkongwe Dr Mulatu akijituma
Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyakeDr Mulatu na Leo wakishebedue
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.

Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...

 

11 years ago

Michuzi

UBALOZI WA TANZANIA ADDIS ABABA WASHEREHEKEA MIAKA 50 YA MUUNGANO

Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia Mhe Naimi Aziz na Mwambata Jeshi Brig. Gen. Bishoge wakiwa wamesimama  kwa heshima wakati wimbo wa Taifa ukiimbwa na kwaya ya Kamisheni ya Umoja wa Afrika jijini Addis Ababa.  Aliyesimama kwenye podium ni Bw. Samwel Shelukindo, Afisa Mambo ya Nje Mkuu ambaye alikuwa MC katika sherehe hizo.   Mhe. Balozi Naimi Aziz akitoa hotuba katika sherehe hizo.  Mhe. Balozi Naimi Aziz akikata keki ya Miaka 50 na wageni waalikwa. Kutoka kushoto ni Balozi wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani