SWAHILI BLUES BAND WAKANDAMIZA VILIVYO KATIKA TAMASHA LA DOADOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb-GCihYJ2Y/VVQTIJm-MWI/AAAAAAADm2s/ADBxsMJk1GM/s72-c/SDOnh131CwDg9flPJ7Tr5rmYh_md0nHxpVru3lfRus8%2CMA654KTJev4R7bLJ_wVlcg4GtmnmeKTYF3To1rSPWVs.jpg)
Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha Watu wakiserebuka mwanzo mwisho
Leo Mkanyia Ang'aa katika Tamasha la DoaDoa
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb-GCihYJ2Y/VVQTIJm-MWI/AAAAAAADm2s/ADBxsMJk1GM/s72-c/SDOnh131CwDg9flPJ7Tr5rmYh_md0nHxpVru3lfRus8%2CMA654KTJev4R7bLJ_wVlcg4GtmnmeKTYF3To1rSPWVs.jpg)
SWAHILI BLUES BAND WANG'A KATIKA TAMASHA LA DOADOA
![](http://3.bp.blogspot.com/-Fb-GCihYJ2Y/VVQTIJm-MWI/AAAAAAADm2s/ADBxsMJk1GM/s640/SDOnh131CwDg9flPJ7Tr5rmYh_md0nHxpVru3lfRus8%2CMA654KTJev4R7bLJ_wVlcg4GtmnmeKTYF3To1rSPWVs.jpg)
Mkamuzi yalikuwa siyo ya kitoto kama unavyoona kwenye picha
![](http://4.bp.blogspot.com/-OEIH4tTp9xU/VVQSmqgbtrI/AAAAAAADm2M/pm6vJcPEdD8/s640/Juma%2BSetumbi%2Balitesa%2Bkwenye%2Bconga.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-pl8CQgjynBc/VVQSngYVqZI/AAAAAAADm2U/aChOgYX4FoA/s640/Leo%2Bakiimba%2Bkwa%2Bhisia%2Bkali%2Bsana.jpg)
Baada ya ziara ya mafanikio katika jiji la maraha la Nairobi, kundi zima la Swahili Blues Band chini ya uongozi wa Leo Mkanyia walielekea mjini Jinja Uganda kushiriki katika Tamasha la muziki la DoaDoa.
Tamasha la DoaDoa ni maalumu kwa wanamuziki kutoka Afrika ya Mashariki kushiriki na kutambulishwa kwenye jukwaa la kimataifa. DoaDoa wanatoa fursa mahsusi kwa...
10 years ago
MichuziMWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO- JUMA SETUMBI ANG'ARA
Mkongwe Dr Mulatu akijituma
Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyake
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.
Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...
10 years ago
VijimamboMWISHO WA ZIARA YA SWAHILI BLUES BAND WAFANA VILIVYO NCHINI ETHIOPIA- JUMA SETUMBI ANG'ARA
Mkongwe Dr Mulatu akijituma
Dr Mulatu akikong'ori vigoma vyake
Ziara ya Swahili Blues Band mjini Addis Ababa ilimalizika rasmi siku ya Jumamosi ya tarehe 11 April 2015 katika klabu mpya na maarufu ya African Jazz Village.
Kama ilivyo kawaida, shoo ilianza rasmi saa tatu na nusu usiku pale Swahili Blues Band ilipopanda jukwaani na kuanza kuporomosha nyimbo zao mfululizo. Waliendelea na midundo hiyo kwa muda wa saa moja na ilipotimia saa nne na nusu ndipo Leo Mkanyia...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s72-c/IMG-20141109-WA0013.jpg)
LEO MKANYIA WA BAND YA SWAHILI BLUES BAND
![](http://1.bp.blogspot.com/-VFvAs_BEezc/VF_bkvX9iBI/AAAAAAAAqBM/XRtPCq3lKEQ/s1600/IMG-20141109-WA0013.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-irrnSlxNqH8/VF_bkX3ZjOI/AAAAAAAAqBI/8brxAJF5SME/s1600/IMG-20141109-WA0020.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-u6E7WXa4O1Q/VUgCr_a7klI/AAAAAAADmCo/23hjbQEMn9E/s72-c/PYojInlRd4g_BW3q0t2mVSJFzMVD2VZH79MupWHkNTs%2COaDRB_UGTcrUEKC6OrYw-4r7sbAva31S5isLw5yLZy4.jpg)
Ziara Ya Swahili Blues Band Mjini Nairobi
![](http://3.bp.blogspot.com/-u6E7WXa4O1Q/VUgCr_a7klI/AAAAAAADmCo/23hjbQEMn9E/s640/PYojInlRd4g_BW3q0t2mVSJFzMVD2VZH79MupWHkNTs%2COaDRB_UGTcrUEKC6OrYw-4r7sbAva31S5isLw5yLZy4.jpg)
Makadam na Prasad wakiwajibika
![](http://3.bp.blogspot.com/-SZdVdtlVMGM/VUgCs6Rz1MI/AAAAAAADmCw/uOvYvV4efts/s640/mfjv0beQX0yz81DjIKULBV18xbOExIE2u_Sxh40R-M0%2C_h8TjOfk1Hm2UjH-VQr3rYhj0-IRM_qUhSEoTW_KuNE.jpg)
Baada ya ziara ya mafanikio ya mwezi mmoja mjini Addis Ababa, bendi ya Swahili Blues chini ya uongozi wa Leo Mkanyia imefanya ziara nyingine mjini Nairobi.
Bendi hiyo yenye maskani yake katika hoteli ya nyota tano ya Serena iliyo katikati ya mji wa Dar es Salaam ilianza ziara yake katika klabu maarufu inayojulikana kama Choices iliyopo katika barabara ya Baricho kwenye kitongoji cha Industrial Area. Shoo hiyo kabambe ilifanyika siku...
10 years ago
VijimamboSWAHILI BLUES BAND YA ANZA KUJIPATIA UMAARUFU NJE YA NCHI YA TANZANIA
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...
10 years ago
MichuziSWAHILI BLUES BAND YA TANZANIA YATUA ADDIS ABABA KWA MWALIKO WA DR MULATU
Leo Mkanyia and Swahili Blues Band iko mjini Addis Ababa Ethiopia kwa mwaliko maalumu toka kwa gwiji la muziki barani Afrika na ulimwenguni kote Dr Mulatu Astakte.
Swahili Blues Band ilifika mjini...
10 years ago
Bongo524 Oct
Video: Mfahamu Leo Mkanyia, mwanzilishi wa Swahili Blues
10 years ago
Michuzi09 Nov
Mwasisi wa Swahili Blues Leo Mkanyia Azidi Kutikisa Kimataifa
![Embedded image permalink](https://pbs.twimg.com/media/B17kVxzIIAERTK4.jpg)
Siku chache zilizopita, Leo alirekodi wimbo wake mpya uitwao 'Pamoja.' Miongoni mwa yatakayoonekana katika video ya wimbo huo ni performance ya kihistoria ya msanii huyo katika moja ya vyuo vikuu vikubwa hapa Uingereza, Nottingham University, ambapo Leo alifanikiwa kuwaimbisha Kiswahili baadhi ya...