taarifa kutoka idara ya habari
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s72-c/MMG_2917.jpg)
WAZIRI WA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI AWAAGIZA WAKUU WA IDARA KUANDAA TAARIFA ZA IDARA ZAO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-vHy4YLOZJR0/Vm6aahiLptI/AAAAAAAIMRk/lOITpPLwUKk/s640/MMG_2917.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-PeMavfyeBsY/Vm6aRt_5nmI/AAAAAAAIMRY/8aipDHh_aiI/s640/MMG_2894.jpg)
10 years ago
GPLTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA BASATA
GODFREY L. MNGEREZA ATEULIWA KUWA KATIBU MTENDAJI WA BASATA Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) linapenda kuwatangazia Wasanii na wadau wote wa Sanaa nchini kwamba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete kwa kifungu namba 5 (1) cha Sheria namba 23 ya mwaka 1984 iliyolianzisha Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) amemteua ndugu Godfrey Lebejo Mngereza kuwa Katibu Mtendaji wa Baraza la Sanaa la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/t08dki1KeXxCk*4BayWxQ85IbT6d1sCD7u5aDA5ktKsFTpIgf*MFgMEwsTpr7pgCud17yF5I0uzaLuAxIsYBbdslCDY5m-VM/yangalogo.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA YANGA
Uongozi wa klabu ya Young Africans unapenda kuwajulisha wanachama wake, wapenzi wa soka na wadau kwa ujumla kuwa taarifa za kuhama kwa wachezai wake Didier Kavumbagu na Frank Domayo kwenda kujiunga na Azam FC zisiwakatishe tamaa, ni mapenzi ya wachezaj wenyewe kwani walishakubaliana na uongozi kila kitu juu ya kuendelea kuitumikia Yanga kabla ya siku mbili hizi kuonekana wakiwa wamejiunga na wana ramba ramba. Yanga tayari ina...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/8YffHj8eU_Y/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-39AL2DfScAs/VOx9IoAoVyI/AAAAAAAC0ak/FkVzUihsyXA/s72-c/1-8d45276b5e.jpg)
11 years ago
GPL![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/07/138.jpg?width=650)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA NHC
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba NHC Bw. David Shambwe akisoma taarifa ya shirika hilo kukanusha taarifa zilizoandikwa na gazeti moja la kila siku na mitandao ya kijamii kuwa Mkurugenzi wa Shirika hilo Bw. Nehemia Mchechu Kyando ameundiwa zengwe na baadhi ya wabunge ili aondolewe katika shirika hilo, wanaofuatia katika picha ni Muungano Saguya Kaimu, Mkuu wa Kitengo cha Huduma kwa Jamii, Bw. Martin Mdoe, Mkuu wa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/knSjhwKOr7sxpJvglx3VPNnzS8GN0FMEGw70TnthOkWc9Le8LK-LYpcXd8JaBPJxQR4002z4-jmLbyvAmOI*BNUarFHHEtFu/twawezalogo.jpg)
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA TWAWEZA
MWAKA MMOJA KABLA YA UCHAGUZI, WANANCHI WENGI HAWAJAAMUA NANI AWE RAIS
WATANZANIA WENGI HAWARIDHIKI NA UTENDAJI WA WABUNGE NA HAWATAWACHAGUA TENA 12 Novemba 2014, Dar es Salaam: Mwananchi mmoja kati ya watatu (33%) Tanzania Bara hajui ni nani atayekuwa chaguo lake la Rais kwenye uchaguzi mkuu ujao. Hakuna mgombea hata mmoja anayependwa na wapiga kura kwa zaidi ya 15%. Kwa mujibu wa takwimu zilizokusanywa na Twaweza mwezi...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/OA_1ADJ66GY/default.jpg)
DONDOO ZA TAARIFA ZA HABARI KUTOKA TV MBALIMBALI LEO KUPITIA SIMU TV
CHANNEL 10.SIMUtv: Hatimaye serikali ya Tanzania imekubali mapendekezo ya kuwaingiza mabaharia katika utafiti kwenye sekta ya mafuta na gesi. https://www.youtube.com/watch?v=MwReNguQ3G4
SIMUtv: Kiongozi wa ACT Zitto Kabwe amewashauri Wakazi wa mikoa ya kusini Kuwashauri Wabunge wao kuhusu Mswaada wa Gesi kutojadiliwa. https://youtu.be/2fQQbAGvuts
SIMUtv: CHADEMA Maendeleo CHADEMA kimetoa rai kwa Mwanachama yeyote kuchukuliwa hatua endapo atabainika kukigawa chama...
SIMUtv: Kiongozi wa ACT Zitto Kabwe amewashauri Wakazi wa mikoa ya kusini Kuwashauri Wabunge wao kuhusu Mswaada wa Gesi kutojadiliwa. https://youtu.be/2fQQbAGvuts
SIMUtv: CHADEMA Maendeleo CHADEMA kimetoa rai kwa Mwanachama yeyote kuchukuliwa hatua endapo atabainika kukigawa chama...
10 years ago
Vijimambo25 Jan
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI KUTOKA JESHI LA WANANCHI (JWTZ)
![](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2015/01/index27.jpg)
Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania linapenda kutoa taarifa kwa wananchi na Vyombo vya Habari kuhusu mgogoro wa eneo la TONDORONI lililopo katika Wilaya ya Kisarawe kama ilivyokaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari hapa nchini.Taarifa zilizotolewa na kukaririwa na baadhi ya Vyombo vya Habari kwamba Wanajeshi wametumia nguvu kuwatoa wananchi eneo la TONDORONI na baadhi yao kudai kupotelewa na mali zao siyo za kweli na ni za kuwapotosha wananchi kwa sababu wananchi hao walitaarifiwa...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania