TAARIFA KWA UMMA: PDB YAHAMIA OFISI MPYA JENGO LA AIRTEL
Tunapenda kuwataarifu wadau wetu kuwa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB) inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) zimehama kutoka ghorofa ya sita jengo la Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kwenda ghorofa ya kwanza jengo la Airtel, makutano ya Barabara za Ally Hassan Mwinyi na Rashid Kawawa, eneo la Morocco, Dar es Salaam.
Wasiliana nasi kwa anuani zetu mpya ambazo ni:-Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi, S.L.P 3815,Dar es Salaam.Simu: +255 22 292...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi5 years ago
MichuziWaziri Mwakyembe azitaka ofisi za Umma kutoa taarifa kwa wanahabari
11 years ago
Michuzi10 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN yaadhimisha siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa na kutoa matokeo ya utafiti wa upatikanaji wa taarifa kwenye ofisi za umma nchini Tanzaniaâ€â€Ž
9 years ago
Dewji Blog29 Sep
MISA-TAN:Yasherekea Siku ya Kimataifa ya Haki ya kupata taarifa na kuzindua utafiti wa kupata taarifa Ofisi za Umma
Afisa Utafiti na Maelezo wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika) Bwana Sengiyumva Gasirigwa (wa kwanza kushoto) akitoa ufafanuzi alipokuwa anafungua mkutano huo kwa waandishi wa habari na wageni waalikwa kutoka kwenye taasisi mbalimbali za Serikali kwenye siku ya kimataifa ya haki ya kupata taarifa ambayo uadhimishwa Septemba 28 kwa kila mwaka.
Mwenyekiti msaidi wa Taasisi ya vyombo vya habari Kusini mwa Afrika (MISA-TAN), Bwana...
9 years ago
MichuziMISA TANZANIA YASHEREKEA SIKU YA KIMATAIFA YA HAKI YA KUPATA TAARIFA NA KUZINDUA UTAFITI WA UPATIKANAJI WA TAARIFA KWENYE OFISI ZA UMMA NCHINI TANZANIA
Mwenyekiti msaidi wa Misa-Tanzania-Media Institute of Southern Africa (Taasisi ya vyombo...
11 years ago
Michuzi30 Apr
TAARIFA YA MABADILIKO YA ANUANI YA OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA
OFISI YA RAIS, MENEJIMENTI YA UTUMISHI WA UMMA UTUMISHI HOUSE 8 BARABARA YA KIVUKONI 11404 DAR ES SALAAM au PRESIDENT’S OFFICE, PUBLIC SERVICE MANAGEMENT UTUMISHI HOUSE 8 KIVUKONI ROAD 11404 DAR ES SALAAM
Anuani hii inachukua nafasi ya Sanduku la Posta 2483, Dar es salaam. Hivyo, mawasiliano yote yazingatie...
9 years ago
Michuzi10 years ago
Michuzi08 Aug
TAARIFA KWA UMMA: KUHAKIKI TAARIFA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KURA
07/08/201511/08/20152Pwani na...