TAARIFA YA KUAHIRISHWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KESHO JUMAMOSI JULAI 19, 2014!
![](http://2.bp.blogspot.com/-PIiGfhUpThI/U8mCTkz0szI/AAAAAAAF3iY/EPhTCvtC1BE/s72-c/reli.jpg)
UONGOZI WA KAMPUNI YA RELI TANZANIA -TRL UNAWATAARIFU WAKAZI WA JIJI NA WANACHI KWA JUMLA KUSITISHWA KWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI HAPO KESHO JUMAMOSI JULAI 19, 2014, ILI KUPISHA UKARABATI WA MIUNDO MBINU YA RELI KATI YA DAR STESHENI HADI UBUNGO MAZIWA ITAKAYOFANYIKA KWA SIKU ZA JUMAMOSI NA JUMAPILI.
HATA HIVYO HUDUMA HIYO ITAREJEA TENA KAMA KAWAIDA KUANZIA JUMATATU JULAI 21, 2014 . ATAKAYESIKIA AU KUSOMA TAARIFA HII AMUARIFU NA MWENZIYE.
UONGOZI WA TRL UNASIKITIKA KWA USUMBUFU...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s72-c/download+(1).jpg)
Taarifa ya KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA KESHO JUNI 19, 2014
![](http://1.bp.blogspot.com/-pETJMNgSito/U6HPPVmAjvI/AAAAAAAFrjc/3HMdpM37-0c/s1600/download+(1).jpg)
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na wateja wake wa huduma ya treni ya Jiji kuwa hiyo imesitishwa kwa muda wa siku 3 kuanzia kesho Juni 19, 2014 hadi Jumammosi Juni 21, 2014. Aidha huduma hiyo itaanza tena hapo Jumatatu Juni 23, 2014 kwa kufuata ratiba yake ya kawaida. Uamuzi huo unatokana na sababu za kiufundi ikiwemo kufanyiwa matengenezo vichwa vyote vya viwili ambavyo vimekuwa vikihudumia treni hiyo ya Jiji. Vichwa hivyo vinapaswa...
10 years ago
Michuzi25 Jul
TAARIFAKUHUSU KUAHIRISHWA SAFARI YA TRENI YA ABIRIA KWENDA BARA HADI KESHO JIONI JULAI 25, 2015
Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania –TRL unasikitika kuwataarifu wananchi na abiria waliokuwa wasafiri na treni ya leo Ijumaa Julai 24, 2015 kutoka Dar es Salaam kwenda bara kuwa safari hiyo imeahirishwa hadi kesho saa 11 jioni. Kwa mujibu wa taarifa hiyo sababu za kuahirishwa safari hiyo ni ajali ya treni ya mizigo iliyotokea leo Ijumaa Julai 24, 2015 saa 8:15 alasiri maeneo ya Stesheni za Mazimbu –Mkata mkoani Morogoro ambapo ilihusisha mabehewa matano ya treni ya mizigo iliyokuwa...
11 years ago
MichuziKUSITISHWA KWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI HAPO JUMAMOSI NA JUMAPILI
10 years ago
Michuzi13 Nov
Huduma ya Treni ya Jiji yaahirishwa kuanzia leo hadi Jumatatu Novemba 17, 2014
Ufafanuzi wa sababu za kusitishwa huduma umeeleza kuwa kichwa kimojawapo ambacho hutoa huduma kimepelekwa Karakana Kuu ya Morogoro kwa ajili ya ukarabati maalum na kwamba kinatarajiwa kurejeshwa Dar es Salaam jioni ya siku ya...
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-g0AYHaCPS54/U8A_WH02koI/AAAAAAAF1PA/AS-iaf3ZL88/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Chuo cha Kilimo na mifugo Kaole, Bagamoyo, Kufanya mahafali ya pili Jumamosi hii Julai 12, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0AYHaCPS54/U8A_WH02koI/AAAAAAAF1PA/AS-iaf3ZL88/s1600/unnamed+(12).jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-6OT8RS1GtKU/U7xFKlZtKmI/AAAAAAAFy5s/UCGBQsO1W_g/s72-c/unnamed+(13).jpg)
TAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOA WA TABORA LEO JULAI 8, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-6OT8RS1GtKU/U7xFKlZtKmI/AAAAAAAFy5s/UCGBQsO1W_g/s1600/unnamed+(13).jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hNYTE8n1I_E/U7xFK7TN4qI/AAAAAAAFy54/1kevxaQeU3g/s1600/unnamed+(14).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cWi6KatRl5s/U7xFK2jb8CI/AAAAAAAFy5w/2ipXCCUVSC4/s1600/unnamed+(15).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s72-c/download%2B(1).jpg)
KUSITISHWA KWA MUDA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KUANZIA JUMATANO FEBRUARI 25, 2015 HADI JUMATATU MACHI 02, 2015
![](http://3.bp.blogspot.com/-_J_NgJ258yY/VO4pYlWbh2I/AAAAAAAHF2w/wzD8sewVLIE/s1600/download%2B(1).jpg)
Kwa mujibu wa taarifa ya Uongozi wa TRL iliotolewa jioni leo Februari 25, 2015 uamuzi wa kusitisha huduma hiyo umesababishwa na vichwa viwili vya treni hiyo kuharibika na kuhitaji matengenezo makubwa katika Karakana Kuu ya Morogoro .Taarifa imefafanua kuwa kwa vile kimebaki kichwa kimoja...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s72-c/unnamed.jpg)
NAIBU WAZIRI ANGELLAH JASMINI KAIRUKI ZIARANI DAR ES SALAAM KUANZIA KESHO JULAI 14-18, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-uwKDBn54BLw/U8LIFraw7BI/AAAAAAAF13w/MDp1ULBYNkQ/s1600/unnamed.jpg)
Pamoja na kujionea huduma hizi Mh. Naibu Waziri anatarajiwa kujionea ufanisi wa kazi zinazofanywa na...
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s72-c/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
JUST IN: HUDUMA YA TRENI YA ABIRIA YA BARA KUANZA TENA JUMANNE JUNI 24, 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-rAEb8F9Np1Y/U6K4o0Q3ooI/AAAAAAAFrrg/Kvk9M-WiEjc/s1600/ABIRIA+WAKIDANDIA+TRENI.jpg)
Halikadhalika muda wa kuondoka treni kwa siku za Jumanne na Ijumaa...