Chuo cha Kilimo na mifugo Kaole, Bagamoyo, Kufanya mahafali ya pili Jumamosi hii Julai 12, 2014
![](http://3.bp.blogspot.com/-g0AYHaCPS54/U8A_WH02koI/AAAAAAAF1PA/AS-iaf3ZL88/s72-c/unnamed+(12).jpg)
Na Andrew Chale, BagamoyoCHUO cha Kilimo na Mifugo Kaole (Kaole College of agriculture (KCA), kesho Jumamosi Julai 12, kinatarajia kufanya mahafali yake ya pili chuoni hapo huku wahitimu 291, wakitarajiwa kutunukiwa vyeti mbalimbali.Akizungumza mjini hapa, principle wa chuo hicho, Cuthbert Liwa alisema kuwa, tayari maandalizi yamekamilika na mahafali hayo yatafanyika kwenye viwanja vya chuo hiko.“Jumla ya wahitimu 291, wanatarajiwa kuhitimu na kutunukiwa vyeti vyao. Kati ya hao,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/Hm6Vb5YolMg/default.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s72-c/ndc1.jpg)
RAIS KIKWETE ATUNUKU WAHITIMU WA CHUO CHA TAIFA CHA ULINZI KATIKA MAHAFALI YA KOZI YA PILI
![](http://4.bp.blogspot.com/-RARPED0HsZI/U9O83HRd4oI/AAAAAAACmRA/kO0CTnFUhho/s1600/ndc1.jpg)
11 years ago
Michuzi26 Apr
Mahafali ya Pili Chuo cha Mafunzo ya Jinsia Tanzania Yafanyika
![Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro (kushoto) akiwahutubia wahitimu wa mahafali ya pili ya chuo hicho leo katika viwanja vya TGNP Mabibo jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0208.jpg)
![Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (wa pili kushoto) akitoa hotuba yake kwa wanamahafali wa mafunzo ya jinsia katika chuo cha GTI leo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0183.jpg)
![Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro pamoja na Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian Liundi (kulia) wakiongoza maandamano ya wanamahafali ya pili ya Chuo cha GTI kuelekea ukumbuni kabla ya kuanza kwa hafla hiyo.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/04/IMG_0056.jpg)
Mwenyekiti wa Bodi ya Chuo cha Mafunzo ya Jinsia (GTI), Asseny Muro pamoja na Mkuu wa Chuo cha GTI, Zuki Mihyo (kushoto) na Kaimu Mkurugenzi wa TGNP Mtandao, Lilian...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-vwxCd3th08I/Xsiv3pzEX-I/AAAAAAALrWA/nfnGenGZydk39LgESCklAswzHFdSWPOAQCLcBGAsYHQ/s72-c/3edacdae-f39f-438e-a187-6d250de650a0.jpg)
Mawaziri wa SADC wa Kilimo,Mifugo, Uvuvi kufanya tathimini ya majanga.
Na Chalila Kibuda,Michuzi TV
Mawaziri wa Sekta wa Kilimo,Mifugo,Uvuvi pamoja wa nchi zilizo Kusini Mwa Jangwa la Sahara (SADC) zimekubaliana kufanya tathimini ya miezi mitatu madhara yaliyotokana na majanga mbalimbali ikiwemo na ugonjwa wa Virusi vya Corona ili kuweza kusaidia Sekta hiyo kuimarika.
Akizungumza katika Mkutano huo Mwenyekiti wa Sekta ya Kilimo, Mifugo,Uvuvi na Usalama wa Chakula ambaye ni Waziri wa Mifugo na Uvuvi Luhanga Mpina amesema kuwa Mkutano huo wameazimia kufanya...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s72-c/unnamed%2B(17).jpg)
BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO,SHIRIKA LA MAGEREZA NA KAMPUNI YA TARBIM WAKUTANA LEO MJINI BAGAMOYO
![](http://1.bp.blogspot.com/-TocXudA9ML8/VNN7I4H4UxI/AAAAAAAHB-4/TddFeNSNL5w/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-taIu7fs6Dk0/VNN7JdUBFmI/AAAAAAAHB-8/Q77Xmw6cl2c/s1600/unnamed%2B(19).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-wULp0gMaO7M/VaUYit6qypI/AAAAAAAAAtI/NjCgSJkUfUg/s72-c/iyk_bbq%2B2015.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-PIiGfhUpThI/U8mCTkz0szI/AAAAAAAF3iY/EPhTCvtC1BE/s72-c/reli.jpg)
TAARIFA YA KUAHIRISHWA HUDUMA YA TRENI YA JIJI KESHO JUMAMOSI JULAI 19, 2014!
![](http://2.bp.blogspot.com/-PIiGfhUpThI/U8mCTkz0szI/AAAAAAAF3iY/EPhTCvtC1BE/s1600/reli.jpg)
HATA HIVYO HUDUMA HIYO ITAREJEA TENA KAMA KAWAIDA KUANZIA JUMATATU JULAI 21, 2014 . ATAKAYESIKIA AU KUSOMA TAARIFA HII AMUARIFU NA MWENZIYE.
UONGOZI WA TRL UNASIKITIKA KWA USUMBUFU...
10 years ago
VijimamboKIKAO CHA KWANZA CHA BODI YA MRADI WA KILIMO CHA UMWAGILIAJI GEREZA KIGONGONI - BAGAMOYO
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-99CA0_hp2N0/Uyc6cOu8e_I/AAAAAAAFUPc/nL2yvd_ABMk/s72-c/unnamed+(93).jpg)
CHUO CHA DIPLOMASIA — DAR ES SALAAM, KUFANYA KOZI FUPI YA PROTOCOL AND PULIC RELATIONS TAREHE 31st March - 4th Aprili 2014
![](http://4.bp.blogspot.com/-99CA0_hp2N0/Uyc6cOu8e_I/AAAAAAAFUPc/nL2yvd_ABMk/s1600/unnamed+(93).jpg)
Kozi fupi, Bwana, Juma M. Kanuwa CHUO CHA DIPLOMASIA DAR ES SALAAM, katika kuendeleza wito na wajibu wa kutoa mafunzo ya muda mfupi na mrefu, mnamo tarehe 31stMarch - 4th Aprili 2014 kitafanya kozi fupi ya ITIFAKI NA MAHUSIANO YA UMMA (PROTOCOL AND PUBLIC RELATIONS) Chuoni Kurasini, Dar es salaam, Wawezeshaji wa Mafunzo haya ya muda mfupi kawaida huwa ni mabalozi na wakufunzi waliobobea sana katika mambo ya Diplomasia hivyo kuwapa...