Taasisi ya Mo Dewji yasaidia kituo cha vijana
TAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa elimu katika kijiji cha Kisangara, Mwanga mkoani Kilimanjaro.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog27 Oct
Mo Dewji Foundation yatanua mbawa, yasaidia uboreshaji wa kituo cha Furahini Mkoani K’njaro
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
Na Mwandishi wetu
TAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha upatikanaji wa elimu katika kijiji cha Kisangara mkoani Kilimanjaro.
Imeelezwa kuwa taasisi hiyo ya bilionea Mo Dewji imetoa shilingi milioni 7 kusaidia ujenzi wa miundombinu...
9 years ago
Vijimambo27 Oct
MO DEWJI FOUNDATION YATANUA MBAWA, YASAIDIA UBORESHAJI WA KITUO CHA FURAHINI MKOANI KILIMANJARO
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20151002_113258.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakifurahia masomo wanayopatiwa ya kujiandaa na elimu ya sekondari katika kituo hicho cha Furahini mkoani Kilimanjaro.
![User comments](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/10/20150624_120510.jpg)
Baadhi ya vijana hao wakiwa darasani wakiendelea na masomo katika jengo la kituo hicho cha Furahini ambacho kinatarajiwa kukabaratiwa na kwa msaada wa Mo Dewji Foundation.
Na Mwandishi wetuTAASISI ya misaada ya Mo Dewji Foundation imekubali kufadhili mradi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini (FYLC) wenye lengo la kuboresha...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s72-c/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHINI.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6Gs7aJwealA/Vl5yubthM-I/AAAAAAAAXeI/sJigzz3rBfU/s640/IMG_9840%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-W8H3fgERAmo/Vl5zJNjLCCI/AAAAAAAAXgI/Wqy_Hx-tlHs/s640/IMG_9901%2B%25281024x683%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2Dzcjc5YBsk/Vl5zO53fpBI/AAAAAAAAXgs/os0AqcZ4z48/s640/IMG_9922%2B%25281024x683%2529.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s72-c/unnamed+(28).jpg)
EPZA YASAIDIA KITUO KIDOGO CHA POLISI CHA MAKUBURI KIBANGU, DAR ES SALAAM
![](http://1.bp.blogspot.com/-R9gvbev0ehY/Ux2hsZajWGI/AAAAAAAFSqk/xkBnl0abp9U/s1600/unnamed+(28).jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s72-c/k1.jpg)
JUST IN: KITUO CHA MICHEZO CHAENDELEA KUJIZATITI Aliyekuwa Kocha kwenye Ligi Kuu ya Uingereza aja Tanzania kuongoza kituo cha vijana cha michezo
![](http://3.bp.blogspot.com/-Ebc98k8dWa0/Vg1je5XS_eI/AAAAAAAH8Nw/Jq5mzxltNS8/s640/k1.jpg)
11 years ago
MichuziNMB YASAIDIA KITUO CHA WALIMU TEMEKE
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fjWaeipjLuA/U4LqAUgtX6I/AAAAAAAFlA0/yshY54F57Xc/s72-c/unnamed+(34).jpg)
TTCL YASAIDIA KITUO CHA MAMA HURUMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-fjWaeipjLuA/U4LqAUgtX6I/AAAAAAAFlA0/yshY54F57Xc/s1600/unnamed+(34).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-ugEc4wqLlnI/U4LqDB-atVI/AAAAAAAFlA8/bQwadLXFB6M/s1600/unnamed+(35).jpg)
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Excel yasaidia kituo cha watoto Msimbazi Centre
KAMPUNI ya Excel Management and Outsourcing Limited, imetenga sh milioni 70 mwaka huu kwa ajili ya kusaidia jamii nchini. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Deogratius Kilawe, alieleza hayo jijini Dar...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-PD7nE7BENA4/XmZYX1yKQoI/AAAAAAALiTo/oy5tbqHFQo4cn0tTEySrbqYAzo3fVXIYgCLcBGAsYHQ/s72-c/97b14184-d89e-4c26-9d07-81c906714a42.jpg)
BENKI YA TPB YASAIDIA UJENZI WA KITUO CHA AFYA MTII
Akikagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Mkuu wa Wilaya ya Same Rosemary Senyamule, ameipongeza benki ya TPB kwa msaada mkubwa ilioutoa kwa ajili ya kumalizia eneo la OPD la kituo hicho ili kianze kutoa huduma kwa jamii. “Natoa shukrani zangu zadhati kwa benki...