Tafiti: Wanaume wengi wanaugua tezi dume nchini
TAFITI Nchini zimeonyesha kuwa kila mwaka kumekuwa na ongezeko la kesi mpya za wagonjwa kansa ya tezi dume. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORIC) umeonysha kuwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi21 Aug
Watanzania wengi wanaugua maradhi ya bawasiri
Bawasiri ni tatizo linalosababishwa na kuvimba, kutuna na kutokeza nje kwa mishipa ya damu iliyoko katika njia ya haja kubwa.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-niBE-jCKNig/VHKg1hK7ksI/AAAAAAAGzFg/PdMaSHkcDIA/s72-c/prostate-cancer-awareness-ribbon-nsn6142012.png)
mwandani wa saratani ya tezi dume
![](http://3.bp.blogspot.com/-niBE-jCKNig/VHKg1hK7ksI/AAAAAAAGzFg/PdMaSHkcDIA/s1600/prostate-cancer-awareness-ribbon-nsn6142012.png)
10 years ago
Mwananchi30 Nov
Nilikuwa na saratani ya tezi dume-JK
Rais Jakaya Kikwete amerejea nchini kutoka kwenye matibabu na kuwaeleza Watanzania kuwa alikuwa akiiumwa saratani ya tezi dume.
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-fXK1UDcaVLk/VF9srnPE1JI/AAAAAAADMo8/50mNpQ6Uen8/s72-c/D92A2468.jpg)
JK AFANYIWA UPASUAJI WA TEZI DUME
![](http://3.bp.blogspot.com/-fXK1UDcaVLk/VF9srnPE1JI/AAAAAAADMo8/50mNpQ6Uen8/s1600/D92A2468.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-r4H7AK_Og8g/VF9srDW_m3I/AAAAAAADMo0/6HH_K8pOj6E/s1600/D92A2542.jpg)
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Saratani ya tezi dume ni hatari
 Pamoja na maelezo ya Rais Jakaya Kikwete aliyotoa juzi juu ya ugonjwa wa saratani ya tezi dume mara baada ya kurejea nchini kutoka Marekani alikotibiwa, maswali kuhusu ugonjwa huo bado ni mengi na hivyo kuhitaji ufafanuzi.
10 years ago
Mwananchi28 Nov
Saratani ya tezi dume ni muuaji wa kimyakimya
Watu wengi wamekuwa na shauku ya kutaka kujua ugonjwa wa saratani ya tezi dume, huku wakidhani ni mpya. Lakini ukweli ni kuwa umekuwapo miaka mingi na wengi wameugua.
10 years ago
BBCSwahili09 Nov
Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume
Rais wa Tanzania Jakaya Kikwete amefanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins iliyoko Marekani.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK*WyMK4ZvF-wbTjoFKXERuiOoY*NpQghiIOYF3JwjCdHS3ZCipLgmHQYxS285XryzgYolLCFbfxgxF1cGNOIeWd/cancer20130718200128.jpg?width=650)
FAHAMU SARATANI YA TEZI DUME (PROSTATE CANCER)
Saratani ya tezi dume inashika nafasi ya tatu kwa kusababisha vifo vinavyotokana na kansa kwa wanaume duniani. Ugonjwa huu ni chanzo kikuu cha vifo vinavyosababishwa na saratani kwa wanaume wenye umri wa miaka 70 na kuendelea, hata hivyo, satarani ya tezi dume kwa sasa inawapata sana wanaume kuanzia miaka 25. Kwa ufahamisho tu ni kwamba neno saratani ni jina la ugonjwa ambalo hutokea wakati chembechembe za uhai au seli...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/-*rcMYSmUcXsURABBLfZb-QGcR5KKTlXi2dm1iJJPr42acn7pbXbCC5KBLNDZTkyayNDT8S6F8tKbCpt-biQ57SN9v56ozah/desmondtutu.jpg?width=650)
ASKOFU DESMOND TUTU ANASUMBULIWA NA TEZI DUME
Askofu Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu. ASKOFU Mkuu Mstaafu wa Cape Town, Desmond Tutu, ameahirisha mipango ya ziara zake kwa mwaka mzima ujao kutokana na sababu za kiafya. Taarifa iliyotolewa na taasisi yake imeeleza kuwa Askofu huyo ataanza matibabu hivi karibuni ili kukabiliana na tezi dume ambayo amedumu nayo miaka 15 iliyopita. Binti wa Askofu huyo amemuelezea baba yake mwenye umri wa miaka 82, kwamba hatahudhuria...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania