Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wengi wanaugua maradhi ya bawasiri

Bawasiri ni tatizo linalosababishwa na kuvimba, kutuna na kutokeza nje kwa mishipa ya damu iliyoko katika njia ya haja kubwa.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Tafiti: Wanaume wengi wanaugua tezi dume nchini

TAFITI Nchini zimeonyesha kuwa kila mwaka kumekuwa na ongezeko la kesi mpya za wagonjwa kansa ya tezi dume. Utafiti uliofanywa na Taasisi ya Saratani ya Ocean Road (ORIC) umeonysha kuwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malaria kuumiza Watanzania wengi

IMEELEZWA kuwa asilimia 91 ya Watanzania wapo hatarini kupata ugonjwa wa malaria kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mazingira wanayoishi. Takwimu hizo zilibainishwa na Kaimu Meneja wa Mpango wa Taifa wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanamiliki hisa

Utafiti mpya wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umebaini kuwa asilimia 73 ya wafanyakazi wake ni Watanzania wanaomiliki asilimia 55 ya hisa zote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa

WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wengi wafungwa Hong Kong

Kasisi raia wa Australia amethibitisha kuwa idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika wamefungwa Hong Kong, wengi wao ni kutoka Tanzania.

 

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

10 years ago

Mwananchi

Tabia za kimaskini zinavyotutesa Watanzania wengi

Umaskini unaondoa utu, umaskini ni udhalilishaji, umaskini ni uhayani.Kwa kutambua ubaya wa umasikini, hata vitabu vya dini vinasisitiza waumini kumwomba Mwenyezi Mungu waondokane nao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wengi wafa kwa mgonjwa yasiyoambukiza

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amesema Watanzania wengi wanakufa kutokana na magonjwa yasiyoambukiza na mengine kwa kutokufanya mazoezi hivyo kuwa na uzito mkubwa. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi sasa wameelimika kuhusu VVU

Miaka 15 kuanzia mwaka 1980 ilikuwa ni kama kupewa hukumu ya kifo pale unapoambiwa kuwa umeambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani