Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Malaria kuumiza Watanzania wengi

IMEELEZWA kuwa asilimia 91 ya Watanzania wapo hatarini kupata ugonjwa wa malaria kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mazingira wanayoishi. Takwimu hizo zilibainishwa na Kaimu Meneja wa Mpango wa Taifa wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa

WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanamiliki hisa

Utafiti mpya wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umebaini kuwa asilimia 73 ya wafanyakazi wake ni Watanzania wanaomiliki asilimia 55 ya hisa zote.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wengi wafungwa Hong Kong

Kasisi raia wa Australia amethibitisha kuwa idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika wamefungwa Hong Kong, wengi wao ni kutoka Tanzania.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanaugua maradhi ya bawasiri

Bawasiri ni tatizo linalosababishwa na kuvimba, kutuna na kutokeza nje kwa mishipa ya damu iliyoko katika njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Tabia za kimaskini zinavyotutesa Watanzania wengi

Umaskini unaondoa utu, umaskini ni udhalilishaji, umaskini ni uhayani.Kwa kutambua ubaya wa umasikini, hata vitabu vya dini vinasisitiza waumini kumwomba Mwenyezi Mungu waondokane nao.

 

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

9 years ago

Michuzi

WATANZANIA WENGI HAWAWEKI AKIBA - SABASABA MOSHINGI

 Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, TPB, Bw. Sabasaba Moshingi, (kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Posta ya Akiba, Kenya, Bi.Anne Karanja, (Katikati), na Mkurugenzi Mtendaji Benki ya Posta Uganda, Bw. Stephene Mukweli, wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa ufunguzi wa mkutano wan ne wa Bodi ya Wadhamini, ya Umoja wa Mabenki ya Afrika Mashariki, ASBEA, uliomalizika Novemba 13, 2015 kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.  Wajumbe wakimsikiliza mtoa mada, Mkurugeni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Watanzania wengi wafa kwa mgonjwa yasiyoambukiza

MAKAMU wa Rais, Dk. Mohammed Gharib Bilal, amesema Watanzania wengi wanakufa kutokana na magonjwa yasiyoambukiza na mengine kwa kutokufanya mazoezi hivyo kuwa na uzito mkubwa. Dk. Bilal, alitoa kauli hiyo...

 

9 years ago

StarTV

Watanzania wengi waonyesha matumaini uteuzi wa Mguful.

Baadhi ya Watanzania wameonyesha imani na matarajio yao makubwa ya maendeleo kutoka kwa Rais mteule wa Jamhuri ya Muaungano wa Tanzania, Dk John Pombe Joseph Magufuli.

Dk Magufuli alitangwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi kuwa ndiye mshindi wa urais katika uchaguzi uliofanyika Oktoba 25.

Katika hekaheka za kutafuta rikizi mkono uende kinywani hali ya Jiji la Dar es salaam katika maeneo ya kufanyia biashara inaonekana kuwa tulivu na maisha yanaendelea.

Rais mteule wa Jamhuri ya Muungano wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani