Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Tabia za kimaskini zinavyotutesa Watanzania wengi

Umaskini unaondoa utu, umaskini ni udhalilishaji, umaskini ni uhayani.Kwa kutambua ubaya wa umasikini, hata vitabu vya dini vinasisitiza waumini kumwomba Mwenyezi Mungu waondokane nao.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Tabia hatarishi kwa maisha ya Watanzania;nyingi ni hatari kiafya

>Kwa siku kadhaa kuanzia leo, safu hii itaangazia baadhi ya tabia na mienendo ya Watanzania ambayo wataalamu wanasema ni hatari kwa maisha yetu.

 

9 years ago

Michuzi

VIDEO FUPI YA EVELINA MOCEVICIUTE- Alivyowafagilia Watanzania na Tabia zao za Kiungwana

Na Freddy Macha
Ulikuwa na wenzio Tanzania kwa miezi sita...Mbeya vijijini. Ulikaa na wananchi. Vipi ulijisikaje katika eneo hili la Afrika? "...Lilikuwa jambo la kipekee. Ilitupa changamoto na utofauti mkubwa, ambao sin’tokawia kulirudia tena.
Kama nilivyokueleza awali kila siku tuliyokuwa vijijini ilikuwa kama wadhifa fulani. Maana tulitaka kuwa sehemu mahsusi ya jumuiya...wenyeji walitukaribisha, walituhusisha katika mambo yao...tulikaa na familia zao, tunashukuru sana kwa hilo....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa

WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanamiliki hisa

Utafiti mpya wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umebaini kuwa asilimia 73 ya wafanyakazi wake ni Watanzania wanaomiliki asilimia 55 ya hisa zote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malaria kuumiza Watanzania wengi

IMEELEZWA kuwa asilimia 91 ya Watanzania wapo hatarini kupata ugonjwa wa malaria kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mazingira wanayoishi. Takwimu hizo zilibainishwa na Kaimu Meneja wa Mpango wa Taifa wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanaugua maradhi ya bawasiri

Bawasiri ni tatizo linalosababishwa na kuvimba, kutuna na kutokeza nje kwa mishipa ya damu iliyoko katika njia ya haja kubwa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wengi wafungwa Hong Kong

Kasisi raia wa Australia amethibitisha kuwa idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika wamefungwa Hong Kong, wengi wao ni kutoka Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi sasa wameelimika kuhusu VVU

Miaka 15 kuanzia mwaka 1980 ilikuwa ni kama kupewa hukumu ya kifo pale unapoambiwa kuwa umeambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani