Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania wengi sasa wameelimika kuhusu VVU

Miaka 15 kuanzia mwaka 1980 ilikuwa ni kama kupewa hukumu ya kifo pale unapoambiwa kuwa umeambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU).

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Watanzania wengi hawana uelewa kuhusu tatizo la usonji - Mama Salma Kikwete

Na Anna Nkinda – Maelezo
Watanzania wengi hawana uelewa  wa tatizo la usonji (Autism)  kwa watoto hivyo basi uhamasishaji na utoaji wa elimu kwa jamii unahitajika  ili watu watambue  tatizo hilo na kuweza kuwasaidia watoto hao.
Hayo yamesemwa jana na Mke wa Rais Mama Salma kikwete wakati akiongea na Prof. Andy Shih ambaye ni Makamu wa Rais Mwandamizi wa Mambo ya kisayansi kutoka Taasisi ya Kimataifa ya Autism Speaks katika ofisi za Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) zilizopo jijini Dar es...

 

9 years ago

GPL

FAHAMU MAMBO MUHIMU KUHUSU VVU/ UKIMWI

Wiki hii tunachambua Virusi vya Ukimwi (VVU) na ugonjwa wenyewe, tutaangalia hatua kwa hatua hadi mgonjwa anaonekana kuwa ana Ukosefu wa Kinga Mwilini (Ukimwi). Ili mtu ajulikane kuwa ana VVU /Ukimwi, atapitia hatua nne za lazima kama nitakavyoziainisha.
Hatua ya kwanza hujulikana kitaalam kama Primary HIV Infection ambapo mgonjwa hudumu nayo kwa wiki nne baada ya maambukizi. Watu walio katika maambuki katika hatua hii ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanamiliki hisa

Utafiti mpya wa kampuni 100 bora zenye ukubwa wa kati umebaini kuwa asilimia 73 ya wafanyakazi wake ni Watanzania wanaomiliki asilimia 55 ya hisa zote.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Dk. Maro: Watanzania wengi wagonjwa

WATANZANIA wengi ni wagonjwa si tu kutokana na maradhi, bali na hali duni ya maisha inayowakabili. Hayo yalibainishwa jijini Dar es Salaam jana na Dk. Isaac Maro, alipokuwa akiwasilisha mada...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Malaria kuumiza Watanzania wengi

IMEELEZWA kuwa asilimia 91 ya Watanzania wapo hatarini kupata ugonjwa wa malaria kutokana na sababu mbalimbali ikiwemo mazingira wanayoishi. Takwimu hizo zilibainishwa na Kaimu Meneja wa Mpango wa Taifa wa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Watanzania wengi wafungwa Hong Kong

Kasisi raia wa Australia amethibitisha kuwa idadi kubwa ya wafungwa wenye asili ya Afrika wamefungwa Hong Kong, wengi wao ni kutoka Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Tabia za kimaskini zinavyotutesa Watanzania wengi

Umaskini unaondoa utu, umaskini ni udhalilishaji, umaskini ni uhayani.Kwa kutambua ubaya wa umasikini, hata vitabu vya dini vinasisitiza waumini kumwomba Mwenyezi Mungu waondokane nao.

 

9 years ago

Mwananchi

Watanzania wengi wanaugua maradhi ya bawasiri

Bawasiri ni tatizo linalosababishwa na kuvimba, kutuna na kutokeza nje kwa mishipa ya damu iliyoko katika njia ya haja kubwa.

 

11 years ago

Mwananchi

Eti Watanzania wengi siyo raia?

Matukio mengi yanayotokea duniani, mara nyingi huacha fundisho kama siyo mafundishi kwa mtu mwenye akili.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani