VIDEO FUPI YA EVELINA MOCEVICIUTE- Alivyowafagilia Watanzania na Tabia zao za Kiungwana
![](http://img.youtube.com/vi/rtp8_5Jw1KE/default.jpg)
Na Freddy Macha
Ulikuwa na wenzio Tanzania kwa miezi sita...Mbeya vijijini. Ulikaa na wananchi. Vipi ulijisikaje katika eneo hili la Afrika? "...Lilikuwa jambo la kipekee. Ilitupa changamoto na utofauti mkubwa, ambao sin’tokawia kulirudia tena.
Kama nilivyokueleza awali kila siku tuliyokuwa vijijini ilikuwa kama wadhifa fulani. Maana tulitaka kuwa sehemu mahsusi ya jumuiya...wenyeji walitukaribisha, walituhusisha katika mambo yao...tulikaa na familia zao, tunashukuru sana kwa hilo....
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/WV0F5mhfoGY/default.jpg)
10 years ago
Mwananchi20 Jan
Tabia za kimaskini zinavyotutesa Watanzania wengi
9 years ago
Bongo518 Dec
Video: Tazama filamu fupi ya Kiswahili ‘Nani?’
![nani](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/nani-300x194.jpg)
Hii ni filamu fupi ya Kiswahili iitwayo Nani? iliyoongozwa na kutayarishwa na Hefemi. Jionee.
Jiunge na Bongo5.com sasa Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook, Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Bongo5!
11 years ago
Mwananchi19 Dec
Tabia hatarishi kwa maisha ya Watanzania;nyingi ni hatari kiafya
9 years ago
MillardAyo15 Dec
Video 3 fupi za comedy: Dalali muongo wa nyumba, girlfriend asiejua kumpikia boyfriend na mwizi
Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa chini ni cha dalali wa nyumba ambaye ni mjanjamjanja ila aliumbuka pale alipopeleka Wateja kwenye mtaa wenye nyumba iliyowazi, akawa anawaambia jinsi huo mtaa ulivyo salama lakini kinaachoonekana kwenye video ni tofauti na anachosema. Unapokutana na […]
The post Video 3 fupi za comedy: Dalali muongo wa nyumba, girlfriend asiejua kumpikia boyfriend na mwizi appeared...
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
Watanzania watakiwa kupima afya zao
WAZIRI wa Afya na Ustawi wa jamii, Dk. Seif Rashid, amewataka Watanzania kujijengea utaratibu wa kupima afya zao mara kwa mara badala ya kusubiri wafikie dalili za ugonjwa hatua mbaya....
9 years ago
MillardAyo16 Dec
Video 2 fupi za comedy:Mwizi wa gari alivyotegwa, Boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka
Kuna vipisi vya sekunde 15 kila kimoja hapa kwenye hii post ya vichekesho/vituko vilivyotengenezwa ambapo hiki cha kwanza hapa kinahusu boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka na cha pili kinahusu Mwizi wa gari alivyotegwa. Pale Boyfriend anapojidai msamaria kumbe girlfriend tayari ameshajua anachepuka… A video posted by millard ayo (@millardayo) on Dec 15, 2015 […]
The post Video 2 fupi za comedy:Mwizi wa gari alivyotegwa, Boyfriend anapojidai msamaria...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s72-c/_MG_2358.jpg)
WATANZANIA WATAKIWA KULINDA SHAHADA ZAO ZA KUPIGIA KURA
![](http://1.bp.blogspot.com/-QyeM3VCSkhc/VhAAdiwPfhI/AAAAAAADALQ/nnY0BNdwdbo/s640/_MG_2358.jpg)
Dkt Magufuli ameishauri tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC kutimiza wajibu wake wa kutenda haki kwa wagombea wote wa ngazi za Uraisi,pia amewataka Wananchi wakatae kulaghaiwa...
9 years ago
Bongo505 Sep
Video: Tazama kionjo cha video mpya ya Belle 9 — ‘Shauri Zao’